Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kwahio mmeamua kunisimanga sioDah ahsante mkuu! Hili ni gundu haswaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahio mmeamua kunisimanga sioDah ahsante mkuu! Hili ni gundu haswaa
Sikusimangi wewe babe ni huyu mwingine😀Kwahio mmeamua kunisimanga sio
Thank you Ethanso sorry
Mwengine yupi sasa, we naona adabu imeanza kulega lega! Leo nakuja kukuliza hapo kwenye 6*6 wacha nijikoki na vitu vyangu vile!Sikusimangi wewe babe ni huyu mwingine😀
[emoji1787]anakuanika Sana Leo hyu binti..Mzee kuna mahali unapwaya,jichunguze[emoji23]Mwengine yupi sasa, we naona adabu imeanza kulega lega! Leo nakuja kukuliza hapo kwenye 6*6 wacha nijikoki na vitu vyangu vile!
Hahaha eti eeh 😆 nitahakikisha huto tudole tunacho taipu utopolo nimetulainisha leo![emoji1787]anakuanika Sana Leo hyu binti..Mzee kuna mahali unapwaya,jichunguze[emoji23]
vijana wa sekondari mnajadili ishu za mademu nlifikir ni issue ya mke kumbe uzinzi mtupu, ndio mnategemea kuingia uchumi wa kati nyie?Unapokuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi mwanamke ambaye hakupendi kwa dhati basi utamgundua kwa dalili zifuatazo;
- Hataki kuambata na wewe katika matembezi na ikitokea anakuwa mtu wa masharti mara akuambie tangulia nakuja au pengine kutembea nawe kwa umbali.
- Anapata kigugumizi kukutambulisha kwa rafiki zake na ndugu na inapotokea amebanwa hafikishi ujumbe kwa kiwango timilifu.
- Haoneshi kubana matumizi kwa ajili ya maendeleao, kwake ni kufuja mali na anapokosa kupewa pesa ni mwepesi kulalamika na wakati mwingine kununa kabisa.
- Anaahilisha mara kwa mara kukutana na wewe tena bila kukueleza sababu za msingi Au kukutungia uongo wa dhahili na kuusisitiza bila kuona aibu.
- Anapokuwa akitoa maelezo ya mwanaume amtakaye sifa zake zinakuwa hayalingani na wewe. Anaweza kukuambia napenda kuishi na mwanaume mwenye gari au mwenye mwili mkubwa, sifa ambazo wewe huna!
- Hacheki kwa furaha hata kama ukimchekesha haoneshi furaha ya moyoni. Tena mara nyingine anakuwa mkimya na mshiwishi mkubwa wa kuachana kutoka kwenye matembezi yenu ya jioni. “Aaah, mi nimechoka narudi nyumbani”
- Anajaribu kukuunganisha na wanawake wengine na haoni vibaya anaposikia unamfukuzia mwingine badala yake anakutia moyo wa kuendelea na usaliti wako. Hana wivu kabisa.
- Hajuti anapokukosea, mwepesi wa kujitenga, kutokuzungumza nawe na mwingi wa kukusukumia makosa hata kama yeye ndiye aliyekukosea.
- Msambazaji wa habari za udhaifu wako na mtu asiyekusifia mbele za wenzake. Si balozi mwema kwa familia yake, haishi kukuponda mbele ya wazazi na ndugu zake.
- Mwepesi wa kupokea na si wa kutoa mmiliki wa mali zako na mkumbatiaji wa mali zake pia. Msiri wa mipango yake na mtu anayependa kujua zaidi ya kwako kuliko wewe kujua yake.
Dah kumbe dadaako aisee, tumpeleke kwa Dokta mwaka tu atamsaidia!..ndiyo Kusema kwamba dadaangu analibwanda kweli kitandani?
Nauza pampaz bei nafuu beby niungie wateja puliz 😂😂😂Pole ila si dhambi bana!kama kweli unalimwaga pia endelea mkuu! Life is too short 😀😀
Anapita mtoto sembuse hako kapipe aargh, afu sijawahi kusikia mwanamke amefia kifuani kwa mwanaume ila naskiaga mwanaume kafia kifuani kwa watu shauri yako , haijawahi kukomolewa ile ndude babe😀😀🙌🏃♀️Hahaha eti eeh 😆 nitahakikisha huto tudole tunacho taipu utopolo nimetulainisha leo!
Ndio maana nakupenda bby! Haupoi yani wala hauboi 🥰🥰🥰😍😍😍Anapita mtoto sembuse hako kapipe aargh, afu sijawahi kusikia mwanamke amefia kifuani kwa mwanaume ila naskiaga mwanaume kafia kifuani kwa watu shauri yako , haijawahi kukomolewa ile ndude babe😀😀🙌🏃♀️
😀😀 afu wewe ndo petrol kabisa nakuona unavochochea moto, nikifukuzwa naye nahamia kwako akii😀[emoji1787]anakuanika Sana Leo hyu binti..Mzee kuna mahali unapwaya,jichunguze[emoji23]
Thank youu😛😍Ndio maana nakupenda bby! Haupoi yani wala hauboi 🥰🥰🥰😍😍😍
Mimi sipendi vikojozi[emoji23]..mambo ya kuanika godoro nje kila siku alafu limebonyea katkati km mtumbwi me siyawezi asee[emoji3][emoji3] afu wewe ndo petrol kabisa nakuona unavochochea moto, nikifukuzwa naye nahamia kwako akii[emoji3]
Wacha wee [emoji16]Thank youu[emoji14][emoji7]
[emoji848][emoji848]Huu ujumbe wako unaitwa mwana ukome..umejua kumpa jibu la kumkomeshaAnapita mtoto sembuse hako kapipe aargh, afu sijawahi kusikia mwanamke amefia kifuani kwa mwanaume ila naskiaga mwanaume kafia kifuani kwa watu shauri yako , haijawahi kukomolewa ile ndude babe[emoji3][emoji3][emoji119][emoji2088]
Yeye ndy ana tatizo,aache kuzunguka mbuyu[emoji16]Nauza pampaz bei nafuu beby niungie wateja puliz [emoji23][emoji23][emoji23]