Dalili zinazoonesha umepungukiwa nguvu za kiume

Dalili zinazoonesha umepungukiwa nguvu za kiume

Tutawashtaki we subiri
Wanaidiss sana hii kitu, wakati ni msaada mkubwa sana.

Unajua mkuu hizi propaganda za kuisema sana hii kitu ndo imefanya mtu anakua na hofu sana akipiga nyeto. Matokeo yake kinachomfanya aperfom vibaya ni hofu aliyonayo tu kwasababu ya maneno mbofumbofu kama ya hii thread na wala sio nyeto.
 
Wanaidiss sana hii kitu, wakati ni msaada mkubwa sana.

Unajua mkuu hizi propaganda za kuisema sana hii kitu ndo imefanya mtu anakua na hofu sana akipiga nyeto. Matokeo yake kinachomfanya aperfom vibaya ni hofu aliyonayo tu kwasababu ya maneno mbofumbofu kama ya hii thread na wala sio nyeto
Wengi wao huwa ni wauza madawa mkweche ya nguvu za kiume ko wanasingizia punyeto ya watu kuwa ina madhara kitu ambacho siyo kweli.

Tuwakatae
 
View attachment 1865072

Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi

Sehemu za Siri Zinasinyaa taratibu baada ya goli moja.

Mwili unahisi ganzi pamoja na sehemu za Siri.

Hamu inakata ghafla Mara baada ya kutoa Manii ,ule uchangamfu unapotea kabisa.

Nyeti zinasimama Vizuri Lakini ukitaka kuingiza kwa mwanamke Zinasinyaa .Hapo Wengi huhisi kwamba Wamerogwa Lakini ukweli Ni Kwamba hawajarogwa ila hali hii inasababishwa na Kujichua Yani punyeto au Kutazama video za ngono.(porn addiction)

Kupoteza hamu ya tendo la ndoa.

Kushindwa kurudia Mara ya Pili - unakuta ukishatoa Wazungu Mara Moja, Basi mashine inakata Moto haisimami Tena hata ufanyeje inazidi kulala.

Mashine kulala Ndani ya Uke ,unakuta upo katika ya Game ,mzigo unalala ghafla na kulegea Ndani kwa Ndani.

Sasa hayo Matatizo hayampati Mwanaume kutoka Mbinguni ,Bali Yanavisababishi vyake .
Ukiona Hali Kama hiyo inakupata Kuna kitu kimesababisha.

Sababu yawezekani Ni;
Ulijichua,Umpenzi wa video za ngono,Ulaji wako Ni mbovu-Unakuta ulikuwa Vizuri mwanzoni Lakini baadae unakumbwa na upungufu wa nguvu za kiume.Hapa wengi wana vitambi,uzito mkubwa nk.Wengi wanakula vyakula ambavyo havina virutubisho vya kuupa Mwili Nguvu.Ni vyakula ambavyo Ni Vitamu Mdomoni tu lakini havisaidii chochote Mwilini Bali kuuboa na kuuchakaza pole pole .

Mwili wako Ni zao la kile unachokula.
Usidharau kula ukawa unajilia vyakula vibaya ,matokeo yake utaugua.
Mwisho wa siku ukicheza ngoma ya Wakubwa Hisia zitakuwa Ni za kutafuta na tochi
Sababu nyingine ni pale unapokutana na mwanamke ambaye uke wake unatoa harufu au shombo mie hapo lazima mbor ilale.. inakera sana
 
Sasa ulimtongozea nini?!
mitikasi km iyo inahappen dude kutokana na location hasa sisi wannaume mybe umelewa unajikuta unaondoka na mt asbh wajiuliza ilikuaje kuaje ama umeshikika unataka pakupoa chap af kuna mnyabi anajilenngeta ivo yn vitu vipo sio kuwa una aproach unatongozaje kt hukipendi
 
Mimi nikiwa na mizuka ,hata demu awe flat ,sijui chuchu ,sijui mbaya aisee ,nikilala na mwanamke yeyote ngoma lazima isimame wimaa ...

Na lazima nimpelekee moto ..

Hao wanaosema sijui pisi mbaya ,mimi hakunaga pisi mbaya ,kunasiku nilimwona kichaa tu kavaa vibaya ,yupo yupo na nyonyo zinaonekana nje ,tako hiloo ,yupo jalalani , ngoma ilidindaa hatari kidogo nimufuate ,badae akili ikachukua nafasi yake
 
Mbona zoez twafanya?
Wake zetu mnaboa sana, wakati mkiwa mnase x mnapenda kulana denda hamkumbuki hivyo viribatumbo ni vizuizi. Aidha kwa kujitetea huwa nawavulia kofia; mnadai ni matumbo ya uzazi wakati ni kwa sababu ya kufakamia vyakula, vibia-nyie, mitori-nyie, vitimoto-nyie, visusio-nyie; kweli vitambi vitakosekana? Kama ni kuzaa, Zari si ana watoto 5 lakini ona tumbo lake, menina ana watoto wangapi? Ona tumbo lake! Chokolate wa xxxxvideo si ana watoto, lakini tumbo lipo wapi? Muone warumi
 
Back
Top Bottom