Dalili zinazoonesha umepungukiwa nguvu za kiume

Tutawashtaki we subiri
Wanaidiss sana hii kitu, wakati ni msaada mkubwa sana.

Unajua mkuu hizi propaganda za kuisema sana hii kitu ndo imefanya mtu anakua na hofu sana akipiga nyeto. Matokeo yake kinachomfanya aperfom vibaya ni hofu aliyonayo tu kwasababu ya maneno mbofumbofu kama ya hii thread na wala sio nyeto.
 
Wengi wao huwa ni wauza madawa mkweche ya nguvu za kiume ko wanasingizia punyeto ya watu kuwa ina madhara kitu ambacho siyo kweli.

Tuwakatae
 
Sababu nyingine ni pale unapokutana na mwanamke ambaye uke wake unatoa harufu au shombo mie hapo lazima mbor ilale.. inakera sana
 
Sasa ulimtongozea nini?!
mitikasi km iyo inahappen dude kutokana na location hasa sisi wannaume mybe umelewa unajikuta unaondoka na mt asbh wajiuliza ilikuaje kuaje ama umeshikika unataka pakupoa chap af kuna mnyabi anajilenngeta ivo yn vitu vipo sio kuwa una aproach unatongozaje kt hukipendi
 
Mimi nikiwa na mizuka ,hata demu awe flat ,sijui chuchu ,sijui mbaya aisee ,nikilala na mwanamke yeyote ngoma lazima isimame wimaa ...

Na lazima nimpelekee moto ..

Hao wanaosema sijui pisi mbaya ,mimi hakunaga pisi mbaya ,kunasiku nilimwona kichaa tu kavaa vibaya ,yupo yupo na nyonyo zinaonekana nje ,tako hiloo ,yupo jalalani , ngoma ilidindaa hatari kidogo nimufuate ,badae akili ikachukua nafasi yake
 
Mbona zoez twafanya?
Wake zetu mnaboa sana, wakati mkiwa mnase x mnapenda kulana denda hamkumbuki hivyo viribatumbo ni vizuizi. Aidha kwa kujitetea huwa nawavulia kofia; mnadai ni matumbo ya uzazi wakati ni kwa sababu ya kufakamia vyakula, vibia-nyie, mitori-nyie, vitimoto-nyie, visusio-nyie; kweli vitambi vitakosekana? Kama ni kuzaa, Zari si ana watoto 5 lakini ona tumbo lake, menina ana watoto wangapi? Ona tumbo lake! Chokolate wa xxxxvideo si ana watoto, lakini tumbo lipo wapi? Muone warumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…