Dalili zinazoonesha umepungukiwa nguvu za kiume

waonee huruma usimwagike snn homeboi hawatakuja watakimbia
 
we ugonjwa wako ama matamanio yako kwa mwannadada ni awe na chuchu mwiba na mshundundu hata kama awe reception 0 we kwako yechu yn hata awe punguan we fulesh t point ni ile ile ana zile accesories ww unapenda na ndomana anakuvutia
 

Hii hoja dhaifu sana na ni insane constant in transferability si sehemu ya body changes, udhaifu wake wa mwili mwanamke hausiki, ukiwa mtamu kiafya huu utopolo haupo kabisa.
 
kwamba ukishashusha manii awamu ya kwanza uume unatakiwa usimame imara kama ngumi hakuna kulala, eeh?!..
acha kutisha wanaume wenzako mkuu, sex ni satisfaction ya mwili na damu mpaka kucha yan unatakiwa ukimaliza mshindo mmoja ufeel ile shangwe upumzike kisha ukitaka kuendelea utaendelea baada ya mapumziko mafupi au marefu kulingana na maumbile na hii haihusiani kabisa na upungufu, sasa vijana wengi wanajiharibu kisaikolojia wenyewe na kujipa maradhi ambayo hawana..
mind you watu hutofautiana kuna wale wa mishindo saba kwa dakika 40 na wapo wa mshindo mmoja kwa dakika 40, hukumu kila mtu kwa maumbile yake..
asante..
 
Hili swali ni kisingizio cha utopolo , umefikaje nae kitandani au akili za kumnyandua zimechagizwa na nini? Mwenye shida aje PM mbona simple sana kuwa sawa kupiga game la maana tatizo ni kutojithamini hasa mlo sahihi na tabia sahihi
huwez kula kitu huna apitite nacho bn hata km uwe na njaa vp utakula t kukata njaa lkn hutafurahia utakula iyo bs t
 

MSAADA KIVIP MKUU?
 
Mkuu nimekua mteja wa nyeto huu mwaka wa 10+ kiukweli ninamaswali mengi kichwani majibu sipati kabisa kila mtu akiongea kuhusu nyeto najifeel attacked ila naimani nitaacha tu
Fanya kwa kiasi tu, ukijiendekeza ndio utaona huwezi kuacha.

Kama unapiga kila siku jaribu kuwa unapiga hata mara 2 kwa wiki.
 
Hili swali ni kisingizio cha utopolo , umefikaje nae kitandani au akili za kumnyandua zimechagizwa na nini? Mwenye shida aje PM mbona simple sana kuwa sawa kupiga game la maana tatizo ni kutojithamini hasa mlo sahihi na tabia sahihi
Matharani ni mkeo wa ndoa lkn amepoteza mvuto kwasababu ya kutojijari Matharani uchafu utapataje hamu ya kumpasua??.
 
Sawa ngoja tuache
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…