Asa sii unazila pia maake zina utelezi haziishiiKuna mmoja nilimpa pipi alambe kidogo baada ya goli la Kwanza, yeye badala ya kuilamba kistaarabu akaing'ata huku akijua kabisa sina pipi nyingine zaidi ya hiyo niliyompa, kimoyo Moyo nikajisemea "amepanga kunimaliza".
Cc realMamy majoto Al-mukheef.
Ndo maana yake.
Duh mkuu cha msingi omba tu usikutene nao maishani mwako
Mamy tuambie visa vyako π€£Mimi ndo naonyeshaga dalili ππ
Yule ana meno makali maana siyo kwa kutafuna kule.Asa sii unazila pia maake zina utelezi haziishii
Aisee, bora ulijiondoa mapema, inawezekana alikua anaenda kwa mkewe π€¦ββοΈAkienda mkoani simu haipatikani au haipokelewi mpaka arudi hata Kama ni wiki nzima. Nikasema I'm too young to die for love.
Hhhhhhh nakubali bossYule ana meno makali maana siyo kwa kutafuna kule.
HahahaHhhhhhh nakubali boss
Ntumie picha yake sasa πHahaha
Duuh miezi miwili, hapo uhusiano hamna tenaKuna mahusiano ya mwanamme kuwa mwanza mwanamke yupo dar?
Halafu mwanamke anakaa kimya miezi miwili, wewe kuweza
Unamuonea sana RihannaIlikuwaje, je alibadilika tabia, alipunguza mawasiliano, uligundua uaminifu hakuna au jambo gani lilitokea ukajua wewe na yeye hamna future na mtaachana.
View attachment 3243126
View attachment 3243130
"Nalivua pendo by Mwasiti" ikawaburudishe
View: https://youtu.be/izcxbUPTrUQ?si=hIdmOxxm9T1OTO0B
Nakutumia piemNtumie picha yake sasa π
Usisahau sasa π πNakutumia piem
Toa hofu mkuu, nitatupiaUsisahau sasa π π
Nakuamini mzee wanguToa hofu mkuu, nitatupia
Maranyng "mawasiliano baina enu" yakipwaya au kupunguaa....apo mahusiano yenu yapo ICU...Dalili nilizoziona wadau ni kama ifuatavyo;
1.
2.
3.
4
5. Ngoja nitarejea
Mie na mahusiano nakumbuka demu mmoja tuu nilimpenda sanaMahusiano yalipokuwa mapya alikuwa anamumunya kwa ustadi wa hali ya juu utafikiri alikuwa kibogoyo, kadiri siku zilivyozidi kwenda mambo yalizidi kubadilika, natumai ningeendelea naye angeutafuna kabisa muwa wangu wa thamani.
mzabzab kuwa makini kwenye mahusiano.