Upinzani ulikua uchukue nchi 2015..... ukishindwa kuchukua 2025 ndo basi tenaTrue zipo fact hadi sasa ccm bye bye upinzani nyia nyeupe.
1.Mama hausiki bara ajenda ya uzanzibar na uanamke ni ngeni kwa wengi.
2.Tozo
3.vitu bei juu hasa vifaa vya ujenzi
4.Ccm hawana mtu anaeuzika kwa sasa
5.ishu ya machinga
6.Ishu ya Mbowe
7.Hakuna tena mwenye ubavu wa kuwalazimisha wakurugenzi waibe kura,kupita bila kupingwa hakupo tena.
8.sukuma gang,waunga juhudi,covid 19,na chawa wa Magu wapo kinyume na mama.
9.Wapiga kura wengi ni vijana ambao awaijui ccm, wanachama wengi wa ccm ni wazee idadi yao inapungua KILA siku.
10.Ugumu wa maisha kwa watz wengi wanakwenda iadhibu vibaya sana ccm
Niliwahi sema humu huwezi shindana na wakati.Yalitokea Zambia, Malawi,Ghana , nigeria ndo yanayokwenda tokea tza 2025.
Ilikuwa hivi raisi aliye madarakani alifariki akashika wa mpito kuelekea uchaguzi mkuu ulipofanyika chama tawala kilipigwa vibaya sana.Yote macho nchi sio chama ccm itakufa tza ipo milele kufa kwa ccm nchi haiwezi teteleka Katu.
Raha ya JF ni kwamba watu wanafukua makaburi tuTunaendelea kukumbushana..... CCM imekataliwa naturally ni suala la muda tu.
Kiroho ccm ilishakufa tangu 2015Niliwahi sema humu huwezi shindana na wakati.
Ukishindwa 2025 tunaajiri watu wa kutuongoza toka nje ya nchi,kama tunaweza ajiri makocha toka nje kwann tusiajiri raisi na mawaziri toka nje ya nchiUpinzani ulikua uchukue nchi 2015..... ukishindwa kuchukua 2025 ndo basi tena
Aaaaaaaaaaaaamen!Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!
Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.
Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 na kuendelea huko mbele hata kama Magufuli atashinda ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.
CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!
Siuoni uhai wa CCM kunanzia 2020 na kuendelea ni suala la muda tuu huu uzi utakua kama rejea.
Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
Mungu awabariki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyie majamaa huwa mnachekesha sana aisee!Kabisa mkuu
Kuna kila dalili hiki kibibi hakitoboi 2025Mchawi wa ccm ni katiba yao ndio kifo chao 2025 hata kama police na TISS wafanye Sana Kazi ngumu kuiokoa ccm.
Kama unataka kuingia bungeni kutafuna kodi zetu anza sasa kujijenga kupitia upinzani njia nyeupe 2025 watakuwa na wabunge wengi sana bungeni.
Nani kasema?Kuna kila dalili hiki kibibi hakitoboi 2025
Nani wa kuiua?CCM inakwenda kufa natural death ni suala la muda tu.
Ccm haiwezi kufa!Natural death huwa haihitaji mtu wa kuua.
Unaita kibibi wakati juzi ulikuwa unamshangilia alipomchamba Ndugai?Nakwambia hivi, CCM inakwenda kujifia kwa natural death... hiki kibibi ni njia tu yakufika huko