Tabia ya mtu ngozi we uoni anaendelea kuahidi ndege azungumzii maendeleo ya watu sio kipaumbele chakeCCM itatangazwa mshindi lakini hawatashinda Kura. Mfumo unawabeba
Pamoja na hayo mh Rais natumai atakuwa amejifunza mambo mengi sana muhimu kuhusu Tanzania na Watanzania.
Natumai miaka yake mi4 ya mwisho atayafanyia kazi bila hivyo atamweka mahali pagumu zaidi atakayegombea 2025.