Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakiandika vinyuzi vyao hapa, wanajiona wako peke yaoHaya ndio matokeo ya kufanya research kupitia coment za hapa jf na kwenye magroup ya chadema!
Tz ni kubwa jamani hawa walioko huku mitandaoni ni tone tu!
Kingine nmeona kwenye post za BBC kule facebook kuhusu Lisu, coment za raia wengi wa kule upepo haupo kwa Lisu kabisa.
UnabiiHuu uzi na unabii uliomo naendelea kuuchukulia serious zaidi
Mganga yupi anaweza kuwasaidia Gwajima Na Meko washinde kwenye nafasi zao ?Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!
Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.
Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.
CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!
Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
Hata kura za Fb Magu haongozi acha kudanganya hapa. Mwanzo mlisema kuwa Lisu anaongoza Fb na JF lakini hivi sasa mmekuja na hoja kuwa Lisu anaongoza JF ila Fb anaongoza Magu. Fb watumiaji wengi ni vijana na mgombea wenu hana ushawishi kabisa kwa vijana kutokana na Sera sake mbovu za elimu, ajira, mikopo, mishahara, na afya. Kwa ufupi hakuna sekta yenye unafuu awamu hiiSasa mbona we ndio umepanic kwa kumuita mtu usiemjua dada?
Nenda facebook kwenye page za BBC na VOA uone maoni ya raia kuhusu Lisu! Na wale ndio wapiga kura!
Au wewe unategemea maoni mnayopeana huko kwenye magroup yenu ya chadema?
Kura za kumuwezesha Lisu ziko huku field ambako Lisu hana ushawishi wowote.
Hiyo 20% unayoiimba kila siku umeijuaje? Au ndivyo mmpanga huko Tumeccm? We are watching.Namba zipi? Huu upepo wa Lisu ndio namba?
Kwahiyo wewe ulitegemea katika huu uchaguzi wa vyama vingi huko upinzani kusiwe na purukushani zozote? Sasa ungekuwa uchaguzi wa vyama vingi huo?
Lisu atatoa tu changamoto ya uchaguzi lakini hataambulia hata 20% ya kura.
Hata kanu walisema hivyo hivyo Leo hata udiwani awapatiMaskini,
Ni i mpumbavu pekee anaefikri Lisu huyu ndio atashinda urais mbele ya Magu na ccm
Waliozulumiwa korosho zaoMaskini,
Ni i mpumbavu pekee anaefikri Lisu huyu ndio atashinda urais mbele ya Magu na ccm
FB ni kwa wanafiki wanaotegemea kula yao kwa kuuza sura. Wanaoamini Tanzania inawezekana bila CCM hawapotezi muda kwenda FB kwa sababu vyombo vyote vya dola vinatumika kuwalinda wezi katika hilo bonde la kashfa. Nzi ukiwaona wanatua pahala kwa wingi, hapo lazima kuna dampo na CCM ni dampo ya kweli kweli.Kingine nmeona kwenye post za BBC kule facebook kuhusu Lisu, coment za raia wengi wa kule upepo haupo kwa Lisu kabisa.
Tatizo ni moja tu mililo nalo, mnataka kubeti hadi kwenye Maisha yetu..Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!
Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.
Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.
CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!
Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!