Uchaguzi 2020 Dalili zote zinaonesha anga limeikataa CCM

Uchaguzi 2020 Dalili zote zinaonesha anga limeikataa CCM

Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!

Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.

Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.

CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!

Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
Ndoto za mchana
 
Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!

Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.

Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.

CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!

Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
No. You are wrong. They have every instrument to forcefully remain in power. The entire electoral commission is comprised of CCM zealots. The security system including the police force, and the judiciary are all out to protect them. Refer Dr. Bashilu's statement.
 
No. You are wrong. They have every instrument to forcefully remain in power. The entire electoral commission is comprised of CCM zealots. The security system including the police force, and the judiciary are all out to protect them. Refer Dr. Bashilu's statement.
Yahya Jammeh licha ya kujaza ndugu zake kwenye tume bado alichinjiwa baharini.
 
Avatar yako tu inazungumza yote usingepoteza muda wako kuandika huu utopolo

avatar haina shida maana mm ni fun wa magufuli ndio ila mpaka sasa kwenye kutembea tembea kwangu sjaona mtu yoyote anaeikubali cdm, ata ukipitia comments youtube yaaani hakuna mtu ana imani na cdm ni uku tu mmejazana
 
Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!

Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.

Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.

CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!

Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
Zaidi naona CCM inaelekea kuungana, kurudisha Wahenga (Strategists), Lakini yote yatategemea ZANUPF kama itaangushwa au La.
 
Mbele ya Lissu hawakatizi hata mtaa, watabanwa hatari
 
Halafu maccm yajifanye kufanya ule mchezo wa Jecha kitanuka walai mwaka huu
Aaah wewe, CCM inashinda kwa aslimia 85 kwenda juu. Mimi nazunguka sana kuhojiana na watu hasa bodaboda, mamantilie, washona viatu, mafundi cherehani n.k. Magufuli ametubeba Sana kwa Utekelezaji mzuri wa ilani ya chama.

Nyie andikeni tuubhumu usiku mnalala. Sisi wenzenu tunaandika na tunai gia Mtaani kumwaga sera. Tukikutana na mambo yasiyoeleweka tunatoa ufafanuzi wananchi wanaelewa. Nyie kaeni mseme tuu mtaibiwa kura
 
Piga chini chama cha mboga mboga ,tushachoka nacho sera zile zile umaskni uko pale pale.
Hawana jipya,kwa ujumla washakwama.
 
halafu baadae mje mseme nchi toka uhuru haina ndege zake zenyewe. Kijana unaamka unaenda kukaa kijiweni au kucheza pool halafu unataka ukopeshwe na Serikali. mkopo wa chuo hujalipa unataka ukopeshwe mwingine
Wanaokubali chadema ni wale ambao wanakaa vijiweni na wasiopenda maendeleo chanya .
 
Back
Top Bottom