Uchaguzi 2020 Dalili zote zinaonesha anga limeikataa CCM

Uchaguzi 2020 Dalili zote zinaonesha anga limeikataa CCM

Dah...suala la ajira ni kombora baya sana la kuipiga ccm. Hii hatari sana. Hela za hayo mabombadiya angekopesha vijana wajiajiri...
Tatizo vijana sio wa kuwaamini sikuizi wote wapo CCM wanasifu na kuabudu
 
Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!

Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.

Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.

CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!

Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
kuna maneno muhimu sana hukuandika ambalo ni "KWA MTAZAMO WANGU"
KUMBUKA: wewe sio msemaji wa Watanzania wala sio muwakilishi wa kundi flani la watanzania hivyo, ni vizuri uwe unatumia hayo maneno " kwa mtazamo wangu au kwa mawazo yangu"
 
kuna maneno muhimu sana hukuandika ambalo ni "KWA MTAZAMO WANGU"
KUMBUKA: wewe sio msemaji wa Watanzania wala sio muwakilishi wa kundi flani la watanzania hivyo, ni vizuri uwe unatumia hayo maneno " kwa mtazamo wangu au kwa mawazo yangu"
MATAGA shida yako nini
 
Namba zipi? Huu upepo wa Lisu ndio namba?

Kwahiyo wewe ulitegemea katika huu uchaguzi wa vyama vingi huko upinzani kusiwe na purukushani zozote? Sasa ungekuwa uchaguzi wa vyama vingi huo?

Lisu atatoa tu changamoto ya uchaguzi lakini hataambulia hata 20% ya kura.
lisu atafanyaje atatoa nini?hahahaha tutaelewana tu
 
Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!

Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.

Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.

CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!

Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
Hahahahahaha Nyumbu bwana kwa kujifariji hamjambo
 
Yani CCM iende tu khaaaa Mambo mabaya waliyolifanyia taifa yanatosha
 
Haya ndio matokeo ya kufanya research kupitia coment za hapa jf na kwenye magroup ya chadema!

Tz ni kubwa jamani hawa walioko huku mitandaoni ni tone tu!

Kingine nmeona kwenye post za BBC kule facebook kuhusu Lisu, coment za raia wengi wa kule upepo haupo kwa Lisu kabisa.
Hao wanaopost BBC so ndio kundi dogo kabisa ? Au umeamua tu kuhamisha magoli
Ccm walichozingua ni kitendo Cha wajumbe kuwatosa makavu wale waliounga juhudi za muheshimiwa wakitokea upinzani, Hilo swala wanafiki wengi wamejiuliza Kama ni worth it
 
Labda kama wewe ni mwanaume na ulipopewa hii ID na password hapo lumumba hukupewa descriptions z mtumiaji wa kwanza alikua akijitambulishaje hapa!

Hili ndo tatizo la hapo Lumumba unapewa tu password bila kujua aliyewahi itumia hyo ID alikuwaje.

Crimea niliyezoea kumsoma ni mwanamke tena wa daraja ya Chini aliyejaa wivu, husda, chuki na hila ya hali ya juu. Cheki hata avatar inatambulisha Crimea ni mwanamke wa namna gani.

Sorry najua umechukua zamu mpya na mwajiri hajakupa wajihi wa Crimea.
Chapa spana adi akili ziwarudii
 
Haya ndio matokeo ya kufanya research kupitia coment za hapa jf na kwenye magroup ya chadema!

Tz ni kubwa jamani hawa walioko huku mitandaoni ni tone tu!

Kingine nmeona kwenye post za BBC kule facebook kuhusu Lisu, coment za raia wengi wa kule upepo haupo kwa Lisu kabisa.
Kwaio unasema waliopo mitandaoni ni tone tu halafu hapo hapo comments za facebook zinaonesha upepo haupo kwa Lissu?
 
Mtoa post anaota kabisa siyo bule!
Kama anabisha ngoja tuone.
 
Kweli Mr zero.
Mkuu, hata mfanya mazingaombwe huwa anaishiwa tricks ... na hapo ndipo panakuwa mwisho wa maonyesho.

Kwa kweli CCM is running out of tricks. New tricks are required for them to survive in this game. This time around naamini watashinda kwa ubabe ... lakini by 2025 haitawezekana. I can imagine wagombea wa CCM 2025 ..... Mwigulu, Kigwa, January, Makonda, Tulia, Polepole, Bashiru, Kabudi .... Tuombee Corona isituchafulie hewa!!
 
Kwaio unasema waliopo mitandaoni ni tone tu halafu hapo hapo comments za facebook zinaonesha upepo haupo kwa Lissu?
Research ya mleta mada ime base kwenye mitandao hasa kwenye page za vigogo wa chadema!
Sasa nmemkumbusha research yake iende hadi kule facebook kwenye page za BBC, VOA na Dw aone maoni ya wananchi walio huru wanasemaje juu ya Lisu.

Huwezi kuchukua maoni ya pro chadema kwenye page zao na kusema eti huo ndio mtazamo wa wananchi wote.
 
Naona mnadanganyana
Tundu Lissu ameweka historia katika nchi yetu, watoto wetu na vizazi vijavyo vitasoma habari ya kijana kutoka Singida Mashariki aliyebadili upepo wa siasa Tanzania.
 
Back
Top Bottom