kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Tatizo vijana sio wa kuwaamini sikuizi wote wapo CCM wanasifu na kuabuduDah...suala la ajira ni kombora baya sana la kuipiga ccm. Hii hatari sana. Hela za hayo mabombadiya angekopesha vijana wajiajiri...