Freelancer
JF-Expert Member
- Sep 22, 2008
- 2,965
- 2,147
Chadema haitaweza kufikisha asilimia 30 ya kura ikisimama yenyewe kama yenyewe. Huu ni ukweli ambao wenye mahaba yao hawawezi kuukubali mpaka pale watapokutana na uhalisia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo “hewa na upepo” mnauona ninyi washirikina tu, wengine hatuuoni!Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!
Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.
Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.
CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!
Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
Hivi Kuna mtanzania anamhitaji Magufuli kwa Sasa? Nje ya ninyi wateule wake hakuna hata mmoja atakaye mpigia kura Magufuli.Ndio atapiga kura kumuwezesha Lisu kuwa rais?
Ccm (chama dola) ya JPM ichinjwe?... anyway tusubiri tuone.Naionea huruma CCM itakavyochinjwa kikatili.
Ungemnukuu Polepole kabisa, maana ndiye aliyesema hio kauli kabla hajakengeuka!CCM inabebwa na vyombo vya dola, ccm bila kubebwa kwisha
Hivi ndugu yangu siku hizi akili unazitumia wakati gani?Kwahiyo JK atampigia kampeni Lisu mwaka huu?
Mbona mnajifurhisha?
We acha tu kuna project kibao Zina kwama Sababu ya mitajiDah...suala la ajira ni kombora baya sana la kuipiga ccm. Hii hatari sana. Hela za hayo mabombadiya angekopesha vijana wajiajiri...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jiwe na kundi lake wana hali ngumu Sana. Jiwe anaweza akajitoa kwenye kinyang'anyiro.
Hahahhaha.. Mnachekesha kweli nyieHivi Kuna mtanzania anamhitaji Magufuli kwa Sasa? Nje ya ninyi wateule wake hakuna hata mmoja atakaye mpigia kura Magufuli.
Pia wanasahau kuwa wanaondika kwenye mitandao wengi siyo wavumilivu wa foleni ya kupiga kuraHaya ndio matokeo ya kufanya research kupitia coment za hapa jf na kwenye magroup ya chadema!
Tz ni kubwa jamani hawa walioko huku mitandaoni ni tone tu!
Kingine nmeona kwenye post za BBC kule facebook kuhusu Lisu, coment za raia wengi wa kule upepo haupo kwa Lisu kabisa.
Lipumbavu weweHuu mwaka dadangu utafurahi
Ni Salum Mwalimu yule aliyegombea na Mtulia KinondoniMgombea mwenza keshapatikana au watamuomba tena Duni Haji?!
Lissu 2025 atakuwa ni moto mwingine.Mkuu, hata mfanya mazingaombwe huwa anaishiwa tricks ... na hapo ndipo panakuwa mwisho wa maonyesho.
Kwa kweli CCM is running out of tricks. New tricks are required for them to survive in this game. This time around naamini watashinda kwa ubabe ... lakini by 2025 haitawezekana. I can imagine wagombea wa CCM 2025 ..... Mwigulu, Kigwa, January, Makonda, Tulia, Polepole, Bashiru, Kabudi .... Tuombee Corona isituchafulie hewa!!