Uchaguzi 2020 Dalili zote zinaonesha anga limeikataa CCM

Uchaguzi 2020 Dalili zote zinaonesha anga limeikataa CCM

Chadema haitaweza kufikisha asilimia 30 ya kura ikisimama yenyewe kama yenyewe. Huu ni ukweli ambao wenye mahaba yao hawawezi kuukubali mpaka pale watapokutana na uhalisia.
 
Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!

Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.

Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.

CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!

Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
Hiyo “hewa na upepo” mnauona ninyi washirikina tu, wengine hatuuoni!
 
Ndio atapiga kura kumuwezesha Lisu kuwa rais?
Hivi Kuna mtanzania anamhitaji Magufuli kwa Sasa? Nje ya ninyi wateule wake hakuna hata mmoja atakaye mpigia kura Magufuli.
 
Kwahiyo JK atampigia kampeni Lisu mwaka huu?

Mbona mnajifurhisha?
Hivi ndugu yangu siku hizi akili unazitumia wakati gani?
Nani kazungumzia JK kumpigia kampeni Lissu?
 
Umenikumbusha yale maneno ya Mh Membe kuwa from June to Sept ni safari ndefu lolote laweza kutokea.
 
Sisiem iko na wakati mgumu sana kuwahi kutokea tangu kuundwa kwake.
 
Mimi bado natafakari kwa Nini lisu hakukutana na changamoto siku ya ujio wake Kama tulivyo zoea kwenye mikusanyiko ya wapinzan

Au ndio kapewa fulsa amzofishe membe?
 
Hivi Kuna mtanzania anamhitaji Magufuli kwa Sasa? Nje ya ninyi wateule wake hakuna hata mmoja atakaye mpigia kura Magufuli.
Hahahhaha.. Mnachekesha kweli nyie
 
Haya ndio matokeo ya kufanya research kupitia coment za hapa jf na kwenye magroup ya chadema!

Tz ni kubwa jamani hawa walioko huku mitandaoni ni tone tu!

Kingine nmeona kwenye post za BBC kule facebook kuhusu Lisu, coment za raia wengi wa kule upepo haupo kwa Lisu kabisa.
Pia wanasahau kuwa wanaondika kwenye mitandao wengi siyo wavumilivu wa foleni ya kupiga kura
 
Lipumbavu wewe
Acha panic na hasira!! This time CCM mnakabidhi nchi!
FB_IMG_1596551643127.jpg
 
Mkuu, hata mfanya mazingaombwe huwa anaishiwa tricks ... na hapo ndipo panakuwa mwisho wa maonyesho.

Kwa kweli CCM is running out of tricks. New tricks are required for them to survive in this game. This time around naamini watashinda kwa ubabe ... lakini by 2025 haitawezekana. I can imagine wagombea wa CCM 2025 ..... Mwigulu, Kigwa, January, Makonda, Tulia, Polepole, Bashiru, Kabudi .... Tuombee Corona isituchafulie hewa!!
Lissu 2025 atakuwa ni moto mwingine.
 
Back
Top Bottom