Hawa ni wale waliodekishwa barabara ile 2015 sasa bado wana mawenge..Mbona uku mtaani CCM ipo shwari tu.au mtoa mada amelala usingizi mzito unaota!?.
Unamaanisha wale wa bbc wao hawapo mtandaoni ? 😂😂😂😂Haya ndio matokeo ya kufanya research kupitia coment za hapa jf na kwenye magroup ya chadema!
Tz ni kubwa jamani hawa walioko huku mitandaoni ni tone tu!
Kingine nmeona kwenye post za BBC kule facebook kuhusu Lisu, coment za raia wengi wa kule upepo haupo kwa Lisu kabisa.
Hata JK ambaye walikuwa wamtegemee, kauli za kule Masasi zinadhibitisha kuwa amewachoka na particularly Jiwe.... Mh. Mkapa ambaye alikuwa tegemeo la Chama kipindi hiki muhimu naye Mbingu zimemtwaa! Tuisikilize sauti kutoka Mbinguni ina ujumbe gani watanzania!
Namba zipi? Huu upepo wa Lisu ndio namba?Shida hujui kiwa maisha ni namba na namba zimeikataa CCM!
Historia inakwenda kubadilika october 28 nukuu kauli yangu.
Kwahiyo JK atampigia kampeni Lisu mwaka huu?Hata JK ambaye walikuwa wamtegemee, kauli za kule Masasi zinadhibitisha kuwa amewachoka na particularly Jiwe.
JK ni mtu mzima bado hajasahau ile kejeli kuwa wastaafu wengine wanawashwa.
Pia mteule wa Chadema ameanza kutambuliwa na wazee wa CCMView attachment 1526877
Wapo mitandaoni na nilikuwa namaanisha anapofanya research yake ya mitandaoni awe anapita na huko piaKwamb
Unamaanisha wale wa bbc wao hawapo mtandaoni ? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Magu ndo Hatoambulia hata 20% ya kura subiri utajioneaNamba zipi? Huu upepo wa Lisu ndio namba?
Kwahiyo wewe ulitegemea katika huu uchaguzi wa vyama vingi huko upinzani kusiwe na purukushani zozote? Sasa ungekuwa uchaguzi wa vyama vingi huo?
Lisu atatoa tu changamoto ya uchaguzi lakini hataambulia hata 20% ya kura.
Bado madhara ya kudekishwa barabara yanawagharimu kwenye vichwa vyao.Hawa ni wale waliodekishwa barabara ile 2015 sasa bado wana mawenge..
Mimi nmemshauri asijejikuta anavaa pichu kichwani siku matokeo yanatangzwa,
CCM inakwishaje wakati kuna wanachama wa CCM ndani yenu kwa mslai ya CCM?CCM kwisha habari yake.
Hongera kwa kujiandaa kumfurusha yesu wa lugolaAnza kutafuta shughuli nyingine maana maigizo yenu yanafikia tayari october!
yesu wenu wa Kangi Lugola atafurushwa hatoamini
Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingu na mwanzo wa ngoma ni lele!
Kuelekea Oktoba 28 dalili zote zinaonesha CCM kukataliwa na anga la Tanzania.
Kutakua na matukio mengi mfululizo kuelekea Oktoba 28 ambayo yatabadili kabisa mwelekeo na upepo wa CCM dhidi ya upinzani.
CCM imeishiwa pumzi kabisa na kwa wataalamu wa alama za nyota tunaweza thibitisha hili kwamba upepo si mzuri kwa CCM na ile 'hewa' imeondoka kwenye paa la CCM!
Namba hazikubali kwa CCM na kwa mazingira haya Tanzania inakwenda kuandika historia mpya!
Duh...hii hali haiwezi kubadilishiwa gia angani
CCM inakwenda na maji
CCM inabebwa na vyombo vya dola, ccm bila kubebwa kwisha
Dah...suala la ajira ni kombora baya sana la kuipiga ccm. Hii hatari sana. Hela za hayo mabombadiya angekopesha vijana wajiajiri...
Safi sana!
Mkuu, hata mfanya mazingaombwe huwa anaishiwa tricks ... na hapo ndipo panakuwa mwisho wa maonyesho.
Kwa kweli CCM is running out of tricks. New tricks are required for them to survive in this game. This time around naamini watashinda kwa ubabe ... lakini by 2025 haitawezekana. I can imagine wagombea wa CCM 2025 ..... Mwigulu, Kigwa, January, Makonda, Tulia, Polepole, Bashiru, Kabudi .... Tuombee Corona isituchafulie hewa!!
CCM iende na mashuka yao ya kijani
Jiwe na kundi lake wana hali ngumu Sana. Jiwe anaweza akajitoa kwenye kinyang'anyiro.
Tundu Lissu ameweka historia katika nchi yetu, watoto wetu na vizazi vijavyo vitasoma habari ya kijana kutoka Singida Mashariki aliyebadili upepo wa siasa Tanzania.
Nani dada? Leta kinyeo hicho uone kazi yake.Kama kwa hali hii tu unashindia dagaa sijui yesu wenu jiwe akigaragazwa utashindia nini bi dada
Wewe unaniita mimi dada unanifahamu?Mbona umepanic ghafla? Lugha za matusi hutoka kifuani pa wajinga na wapumbavu.