Damascus: Waasi wa HTS wauzingira mji wa Homa nchini Syria

Russia kuishiwa resos hajaanza Jana wala leo unavyo sema wewe ila bado tu anapigana miaka sasa pole kijana
 
Ya kwamba Uturuki adungue ndege za Urusi ?
Hawezi thubutu huo ujinga.
Kashasema. Unadhani Uturuki angeweza mtishia USSR hata kidogo? Lakini hawa Uturuki ni juz juz tu tulikuwa upande wao Ottoman Empire leo tena tunashindwa waunga mkono wanapopambana na Kafir Putin.
 
Mkuu upo deep sana kwenye diplomatic ya kimataifa

Nimekufuatilia unavunja sana
 
Kaa kimya ,hujui unalooandika we dogo ?
Hii mada nzito kwako
Umefanya utafiti ukajua hilo kundi la HTS Lina chimbuko la aina gani ya watu ?
Unajua chochote kuhusu makundi ya uasi kama ISIS na Alnusra ambao ndio walikuwa waanzilishi wakubwa wa vurugu katika vita vya wenyewe kwa wenyewe hapo Syria ? .
Unajua jinsi walivyofanya mauaji na uharibifu wa kutisha kwa miji kama Allepo Syria na Mosul kule Iraq ?
Hao vibaka wa HTS ni wale wale mercenaries waliokuwa ISIS na Γ€lnusra na ndio hao hao washenzi waliteketeza raia huko Iraq Mosul na Syria mini kama Allepo na kuiharibu vibaya .
Leo hii unapata wapi ujasiri wa kumcriticise IRAN na proxies zake za kulinda amani humo kwenye hayo mataifa ?
Bila Iran na makundi yake hawa magaidi wangeteketeza raia wengi zaidi kwenye hizo nchi kwa mgongo wa Sunni WA kuanzisha dolar na kiislamu ,na kuna tetesi zinasema hawa washenzi wa HTS wengine wanaongea lugha ya kiukraine ,so unaweza pata picha kwamba hawa ni mercenaries na magaidi waliokusanywa na nchi zenye maslahi Syria ili kulinda stakes zao dhidi ya IRan na Russia , na hao si wengine ni Israel ,USA , Turkey bila kumsahau mnafiki Saud
Mpaka hapo hata kama una akili ndogo kama nyumbu utakuwa umeelewa nani ni gaidi kati ya IRan na hao washenzi unaowaona wa maana sana (USA , Israel ,Turkey ,Saud nk )
 
Kaa kimya ,hujui unalooandika we dogo ?
Hii mada nzito kwako
Umefanya utafiti ukajua hilo kundi la HTS Lina chimbuko la aina gani ya watu ?
Unajua chochote kuhusu makundi ya uasi kama ISIS na Alnusra ambao ndio walikuwa waanzilishi wakubwa wa vurugu katika vita vya wenyewe kwa wenyewe hapo Syria ? .
Unajua jinsi walivyofanya mauaji na uharibifu wa kutisha kwa miji kama Allepo Syria na Mosul kule Iraq ?
Hao vibaka wa HTS ni wale wale mercenaries waliokuwa ISIS na Γ€lnusra na ndio hao hao washenzi waliteketeza raia huko Iraq Mosul na Syria mini kama Allepo na kuiharibu vibaya .
Leo hii unapata wapi ujasiri wa kumcriticise IRAN na proxies zake za kulinda amani humo kwenye hayo mataifa ?
Bila Iran na makundi yake hawa magaidi wangeteketeza raia wengi zaidi kwenye hizo nchi kwa mgongo wa Sunni WA kuanzisha dolar na kiislamu ,na kuna tetesi zinasema hawa washenzi wa HTS wengine wanaongea lugha ya kiukraine ,so unaweza pata picha kwamba hawa ni mercenaries na magaidi waliokusanywa na nchi zenye maslahi Syria ili kulinda stakes zao dhidi ya IRan na Russia , na hao si wengine ni Israel ,USA , Turkey bila kumsahau mnafiki Saud
Mpaka hapo hata kama una akili ndogo kama nyumbu utakuwa umeelewa nani ni gaidi kati ya IRan na hao washenzi unaowaona wa maana sana (USA , Israel ,Turkey ,Saud nk )
 
Lilax maana yake nini sheikh wangu?
 
Usipate taabu op. 3 inakuja general wa Iran kahakikishia waandishi juzi walimuuliza, May be anasuburi silaha za trump ndio aziangamize huwezi jua kwenye hili tumwachie Ayatollah mwenyewe ndio anajua nini kitafaa Kwa muda Gani. Israeli ni wajinga wanahisi wao watakaa Kwa utulivu Kwa haya wanayoyafanya Lebanon siku wakipata AD systems Ngoma itakua tamu Sana ya hizbollah
 
Russia suala la Ukraine linamuumiza kichwa Putin. Na mara kadhaa kashasema yupo tayari wakae wayajenge. NATO hawataki. Wanataka Ukraine aendelee kumsumbua Putin.
Put in angekua anania na mazungumzo suala jepesi tu ni kuondoka Ukraine basi ila anaendelea kuwatwanga huku akiwavuruga EU unaona wanavyo vurugana pamoja na nato wao
 
Kila mtu nadhani anajua lengo la mzungu dhidi ya Syria ni lipi ila shida atatoboa muda una majibu mara ya kwanza kama alifeli hata mara hii anaweza akafeli ingawaje pia kufaulu pia anaweza akafaulu ila ngoja tungojee
Moja ya agenda ya Marekani ni kupitisha bomba la mafuta na gesi toka central Asia huko kwenda Europe nchi moja nadhani ni Azerbaijan kama sikosei , wamejaribu miaka mingi imeshindikana na ndio maana wana ugomvi na Assad miaka yote ,kwa sababu aligoma , na pia Russia hawezi ruhusu hii kitu ,kwa sababu analinda soko lake la nishati hapo Europe ,na pua USA ana interest ya mafuta kwenye baadhi ya territories humo Syria , pia Saud anachuki ya muda mrefu na Syria kwa sababu amekuwa mtiifu kwa IRan na kuwa na ushirikiano nao ,Saud ni kiongozi wa Sunni Muslims so ugomvi wake na Iran malipizi no kufund mercenaries WA ugaidi huko Iraq na Syria na ndio sababu ya IRan kuamua kutengeneza Shida militias za kupambana na hawa washenzi , Israel ni supporter wa hawa magaidi pia na yeye inajulikana lengo lake ni ili kuleta chaos karibu na IRan , Turkey naye ana support hawa magaidi akiamini wakiingia madarakani atakuwa na upper age ya kuwazima wakurdi kitu ambacho ni ndoto
Kumbuka IRan ni lazima atumie Syria na Iraq kama buffer zones dhidi ya hujuma za Israel na kutumia kama conduit ya kusafirisha silaha kwenda kwa Hezbollah ambao ni proxy wake ili kujilinda na threats za Israel
 
πŸš¨πŸ‡΅πŸ‡ΈπŸ”» BREAKING: Al-Qassam Brigades have announced targeting an IDF Infantry Force of 50 soldiers using an Anti-Personnel Mine, in the Tal Al-Hawa neighborhood, south of Gaza City, Northern Gaza Strip.
 
Ona huyu naye kwahiyo mnapingana nyinyi kwa nyinyi ?? Unapingana na chombo cha habari
 
Ndege za Putin zinawashambulia Waasi lakini Waasi wako Very fast Wanamgambo wa Hezbollah na IRGC wa Iran hao wanakula kichapo cha kimya kimya kutoka kwa US Airforce na IDF.
Hao waasi wanashambuliwa hawafii tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…