UpdateHunisomi vizuri au unafanya tu makusudi nimesema Ayatolah Corridor ya kupitishia Silaha kutoka Iran ndio iinakatwa sasa bila Madaraja Silaha Nzito zitapitia wapi?!
Mpaka sasa wamekufa wangapi hukoLadies and Gentlemen, Mji wa Kusini mwa Syria Al Suwaida umetekwa muda huu, Wanajeshi wa Syria na Makamanda wa Kirussi wamepanda Ndege na kukimbilia Damascus Askari wa kawaida wamejisalimisha.
Source:Aljazeera π Adiosamigo
Post 361 bado ya moto.Update
Inakadiriwa 4000+ wengi ni Wanajeshi wa pande zote zinazopigana na Raia kadhaa.Mpaka sasa wamekufa wangapi huko
NimeonaPost 361 bado ya moto.
Dah roho za watu hizoInakadiriwa 4000+ wengi ni Wanajeshi wa pande zote zinazopigana na Raia kadhaa.
Si nasikia wajuzi wa mambo wanasema waasi wanachwa wafike Syria kisha urusi apige come back ya hatari sana
View: https://x.com/EndGameWW3/status/1865083030269813127?t=7etq7fo8VT13p1iISO4JRQ&s=19
Syria ni kama Imeanguka...
Kilichobaki ni namna watagawana hii keki
Kwan Assad aliwahi wakosea nini hao waislam wa Syria au chuki tuHabari za mda huu zinasema Jamii ya Druze imemgeuka Bashar Al-Assad na kujiunga na Waasi wa Kisunni.
Source: AJ English π Adiosamigo
Assad pia ameuwa sana kwahiyo Watu walikuwa na nidhamu ya uoga tu.Kwan Assad aliwahi wakosea nini hao waislam wa Syria au chuki tu
Kama Samia anavyowafanyia watanganyika auAssad pia ameuwa sana kwahiyo Watu walikuwa na nidhamu ya uoga tu.
Kinachomkuta Assad, ndicho kitakachowakuta CCM siku wakitolewa madarakani.Assad pia ameuwa sana kwahiyo Watu walikuwa na nidhamu ya uoga tu.
Nani kakuambia wahabi wanafuata ideology ya Sheikh Ahmad Bin Hanbal?Wahhabism is a conservative branch of Sunni Islam that originated in the 18th century and is practiced mainly in Saudi Arabia and Qatar:
- Origins
Wahhabism originated in the Hanbali school of Sunni Islam and was named after Muhammad ibn 'Abd al-Wahhab, a scholar from that time.
Kweli kanisani mnasomeshwa mpaa kuosha wanawake uchiHao Wananchi wamedanganywa na Mafundisho ya Kiislamu ya Madrasa,kwao kila Mkiristo ni Kafiri Myahudi ni Kafiri Mhindu Kafiri Shia Kafiri Sunni ambae haendani na mafundisho yao Kafiri.
Ndio maana Viongozi wa hizo Nchi wameanza kuwaondoa Wananchi wao hiyo Indoctrination ya chuki mfano MBS wa Saudi Arabia.
We mtu bana,kwa hiyo furaha yako na ili uwakubali hao ni mpaka warushe makombora lsrael sio?ππ Sasa wao na wewe mnatofauti gani hapa,nikisema na wewe pia ni gaidi kama wao nitakosea?Kama wao ni sunni wasingekuwa wanauwa sunni wenzao!
Wameuwa sunni kibao hapo Syria mfano mwanawazuoni wa kiislamu mkubwa hapo Syria anaitwa Sheikh Bouti. Wamemuuwa akiwa msikitini anatoa darasa kwa bomu la kujitoa mhanga.
Wamechinja sunni kibao huko Iraq. Wameuwa Sunni kibao huko Yemen mfano mwalimu wa Sheikh Al Habib Ally ibn Jifry ambaye ni Sunni. Tena huyu Sheikh ni kitukuu wa Mtume ila wamemuulia sheikh wake.
Hao watu ni mpango maalumu wa wakubwa! Kuna kipindi walipigwa wakaenda kutibiwa Israel na Netanyahu akaenda kuwatembelea.
Sasa jiulize hao waislamu ni wa aina gani ambao wanaonekana ni watata sana halafu wanafanya hivyo kwenda kutibiwa Israel? Au hata sikumoja hata kwa bahati mbaya hawajawahi kurusha kombora hata Israel?
Mbona Houth anarusha? Wao kipi kinawazuia? Hao ni project maalumu ya wakubwa.
Vikundi vya wana mgambo kutokea Iraq wanaenda kupambana nao huko Syria, Marekani anatumia helicopter zake kuwashambulia ili wasiende Syria, hapa unapata picha gani?
Yaani Marekani inawasidia magaidi?!
Wewe hazikutosh, vipu silaha nzito zipitishwe madarajani. We unadhani silaha nzito haziwezi kupelekwa vipande vipande, hivi we kweli ulikuwa jeshini au ulikuwa mpishi kwenye mess za jeshini.Hunisomi vizuri au unafanya tu makusudi nimesema Ayatolah Corridor ya kupitishia Silaha kutoka Iran ndio iinakatwa sasa bila Madaraja Silaha Nzito zitapitia wapi?!
Soma kwa ufahamu!We mtu bana,kwa hiyo furaha yako na ili uwakubali hao ni mpaka warushe makombora lsrael sio?ππ Sasa wao na wewe mnatofauti gani hapa,nikisema na wewe pia ni gaidi kama wao nitakosea?
'Sunni' comes from the Arabic word 'sunna' meaning tradition. 'Sunni' thus means one who follows the tradition of the Prophet Muhammad who is seen as the model for mankind.Wahabi ni mbili;
1)Qur'an
2)Sunna (hadithi)