Damascus: Waasi wa HTS wauzingira mji wa Homa nchini Syria

Damascus: Waasi wa HTS wauzingira mji wa Homa nchini Syria

Kashasema. Unadhani Uturuki angeweza mtishia USSR hata kidogo? Lakini hawa Uturuki ni juz juz tu tulikuwa upande wao Ottoman Empire leo tena tunashindwa waunga mkono wanapopambana na Kafir Putin.
Na keshawahi kuidungua kwenye vita hivyo hivyo hapo swali
 
Mkuu wa Waasi wa Kisunni Kamanda Abu Mohamed Al Jolani kaamua kubadilisha muonekano wake kapunguza kuvaa Vilemba na Kanzu kaamua kuupunguza na Mzuzu kaamua kuvaa kawaida.

View attachment 3170608
Before muonekano wa Kigaidi.
View attachment 3170609
After amepiga Pamba za Kimagharibi na hana muonekano wa kutisha.
Huyu jamaa ameachana na siasa Kali alizikuwa nazo wakati wakijiita Jabhat Alnusra ?
 
Umekuwa unaitaja sana israel kwenye hii vita wkt wao awawezi fanya kitu kuzuiya chochote kwenye hii vita kwani kile kipindi Israel aikuwepo!! akijichanganya Iran itainyuka Israel vibaya na akuna wakuizuiya Iran.
Amka wewe utakojoa kitandani muda si mrefu
 
'Sunni' comes from the Arabic word 'sunna' meaning tradition. 'Sunni' thus means one who follows the tradition of the Prophet Muhammad who is seen as the model for mankind.
Haya mambo ni makubwa hutoyaelewa, utaishia ku Google Google na kuleta ubishi kwa mambo ambayo hauna uelewa nayo!

Sunni itikadi yao Mungu hayupo mbinguni, bali mamlaka yake kayaweka mbinguni na hakuna kilichomfunga. Yaani kaepukana na mambo 6. Mungu hayupo juu(1) ya, au chini(2) ya, au kuliani (3) mwa, au kushoto(4) mwa, au mbele (5) ya, au nyuma (6) ya!

Wahabi itikadi yao Mungu yupo juu mbinguni!

Wahabi itikadi yao Mungu ana mkono, mguu n.k

Sunni itikadi yao Mungu hamithiliki na chochote kwa maana chochote hakifanani na Mungu na kaepukana na (jism) yaani sifa ya kuwa na mkono au mguu!

Sunni itikadi yao Mtume bado yu hai mpaka kaburini kwake pamoja na mitume mengine.

Wahabi itikadi yao Mtume ameshakufa! Yaani kama mpeleka barua, kapeleka barua na kazi yake imeshakwisha.

------------------
Mpaka hapo wanafanana?
 
Haya mambo ni makubwa hutoyaelewa, utaishia ku Google Google na kuleta ubishi kwa mambo ambayo hauna uelewa nayo!
Acha kudanganya Watu, Internet yote iliyojaa Wanazuoni wanasema Wahabi ni Sunni wewe unajifanya kuleta ujuaji.

Uisilamu una madhehebu makuu mawili Sunni na Shia.

👇

Saudi Arabia yenyewe kwa Wahabi kuna Madhehebu mawili tu Sunni na Shia kwaivo unataka kumdanganya nani?!

Most of the 15 to 20 million Saudi citizens are Sunni Muslims, while the eastern regions are populated mostly by Twelver Shia, and there are Zaydi Shia in the southern regions.
 
Acha kudanganya Watu, Internet yote iliyojaa Wanazuoni wanasema Wahabi ni Sunni wewe unajifanya kuleta ujuaji.

Uisilamu una madhehebu makuu mawili Sunni na Shia.
Tangu lini elimu ya dini ya kiislamu ikapatikana kwenye internet?

Hebu nitolee mfano, elimu ipi ya uislamu inapatikana kwenye internet.

Na suala si kuleta ujuaji, bali najua kwa sababu nimesoma na ninaendelea kusoma.

Haya niletee kitabu cha houjatum mudhakkiriina cha Imam Suyutwi kwenye internet.

Mimi ni sunni, wahab tangu karne na karne wanafahamika kwenye ulimwengu wa kiislamu kwamba siyo sunni.

Unavyoona wanavyouwa watu kwa kuwachinja, walishawachinja sana sunni mpaka wakaiteka Makka.
 
Tangu lini elimu ya dini ya kiislamu ikapatikana kwenye internet?

Hebu nitolee mfano, elimu ipi ya uislamu inapatikana kwenye internet.
Wewe kwasasa ndio mbishi kuanzia Quruani nzima iko kwenye Internet kuna Islamic Chanel kwenye Internet kuna Historia ya Dini nzima ya Kiisilamu hadi jinsi Dhehebu la Shia lilivyopatikana sasa wewe unataka kumdanganya nani Shehe?!
 
Una ushamba mwingi sana mwanaume kamili hayuko hivyo.

Sijakuomba uwe mwalimu wangu wa lugha punguza ushamba basi..
Sheikh wangu ilimu ni muhimu. Zote Duniya na akhera. Ungepata hizo ungegundua hii si lugha mujarab kwa jamii iliyostaarabika. Huwa kamwe hatuongei hivi
..sheikh wangu ilimu ni muhimu. Zote Duniya na akhera. Ungepata hizo ungegundua hii si lugha mujarab kwa jamii iliyostaarabika. Huwa kamwe hatuongei hivi
 
Back
Top Bottom