Damascus: Waasi wa HTS wauzingira mji wa Homa nchini Syria

Unawajua vizuri hao waasi wanayoitaka Syria? Nenda kawasome objectives zao kwanza usikurupuke wote wako nchini ya mmarekani na Israel na mturuki. Hao ndio IS wanaosumbua mpaka Huku Africa wanachinja kupitia shingo very dangerous Lebanon itapitia wakati mgumu chini Hawa waasi pia Iraq na Iran wajiandae kuvamiwa Kama Hawa jamaa wataikamata Syria hivyo huwezi kumwambia Iran akae pembeni dhidi ya Hawa jamaa never
 
Mkutano wa Mashia umefanyika Leo Baghdad wamekubaliana kutuma msaada kwa Bashar Al Assad lakini Marekani inawapiga Mikwara 🤭
Mashia ndio nini ?

Wewe ni muislam ?
 
Dah roho inaniuma sana mimi hasa nikiwafikilia wakristo tu jamani watu wa MUNGU wale wataonewa sana jaman

MUNGU awatie nguvu sana
Wazee wa Madhehebu Druze pia wanahofia Usalama wao, wameamrisha Askari wote wa Kidruze walioko Jeshini waondoke waende kwenye Vijiji vya Druze huko Jebel Druze.

Sijui itakuwaje kwa Wakristo na Wayahudi na Minorities wengine kama Alawites.
 
Naona
Mkuu Kwan Damascus iko karibu sana Golan?
 
Uzuri vita haitapigwa siku moja au wiki moja bali ni muda mrefu sasa hapa itategemeana na mwenye pumzi ndefu.

Acha waasi waendelee kufurahia honeymoon Russia anavyopigana Ukraine na Syria ni tofauti kabisa nahofia uvunjifu mkubwa wa haki za binadamu hapo Syria.

Russia hapo Syria ni kama hana anacho hofia au jamii anayo ionea huruma.

Hapo Syria hamna ndugu zake warusi kama huko Ukraine useme atakuwa na ka chambe ka huruma.

Napata hofu kwa yanayo enda kutokea hapo Syria labda kama Russia aamue kumtupa Assad japo sina hakika sana.
 
Kwan Iran inapakana na Syria ndugu?
 
Wazee wa Madhehebu Druze pia wanahofia Usalama wao, wameamrisha Askari wote wa Kidruze walioko Jeshini waondoke waende kwenye Vijiji vya Druze huko Jebel Druze.

Sijui itakuwaje kwa Wakristo na Wayahudi na Minorities wengine kama Alawites.
Alawites si waislam hao Amna shida
 
Update: Israel ina solution nyingine. Imeitaarifu Marekani kuwa itafanya operation Kusini Magharibi mwa Syria endapo waasi watauteka mji wa Homs. Itaenda kuweka buffer zone ili waasi wasiijie Golan heights.

Mambo yanazidi kuharibika hapo ME.
 

View: https://x.com/Osint613/status/1864746846591046027
Safari hii Israel Ndio inaweza ikawa nchi itakayomtoa Assad hapo Damascus.

Utawala wa Assad umebakia miji mitatu ya Kuilinda Latakia, Homs na Damascus, hii situation inampa wakati mgumu Assad kubaki madarakani bila msaada wa Iran, Hezbollah ameumizwa sana hakuna impact ataleta.

Kama Iran hatomsikiliza Israel basi, Itabidi Israel aishambulie Serikali ya Syria jambo ambalo litazidi kumdhoofisha Sana na pengine Israel inaweza kuingia ndani kabisa ya Syria... Kutoka Golan heights hadi Damascus ni KM 60.

Assad akubali kuigawa Syria kwenye Federation
 
Uzuri mnaandika wenyewe kuwa Israel inawasaidia waasi(magaidi yanayo chinja chinja wakristo).

Na kule kwengine mnasema Israel vita vyake ni dhidi ya magaidi.

Kwa hakika dunia ya leo tunashuhudia uongo wa muda mrefu katika mambo mbalimbali tuliyo kuwa tukiaminishwa na ulimwengu wa magharibi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…