Kida ze great
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 242
- 288
Naona mnahamisha magoli mdogo mdogo mtaelewa tu somo wacha tuendelee kuagiza chaki za kufundishiaAssad alikua mzembe sana hata kuleta upinzani hamna kabisa yaan anataka Urusi na Iran wapiganie kwa ajili yake kweli hata yeye kufurukuta hamna? Yaan kenya ivamiwe wakafe JW? Yule babu ata kama msaada hio haipo, hapo wabadili gia angani anaeshinda ndio huyo huyo wakuunga mkono