Damu ya Ben Saanane sasa yaanza kuipasua CCM

Damu ya Ben Saanane sasa yaanza kuipasua CCM

Ulibaki wewe na una bahati.
Alipitwa na JK feki aliyeua 1m na akatembeza wazee uchi surrender bridge

R.I.P Silyvester Rwegasira shujaa wa TRL na mzalendo wa kweli. Hilter alimtoa roho 2008
Mkuu mbona unayajua wewe tu haya matukio yako ya kutunga?

Magufuli ni dikteta maarufu duniani. Ameua watu mpk dunia ikamtenga mjinga yule
 
Yaani amepiga kwenye mshono. Sukuma gang wanatafuta njia ya kutokea hawaioni
Nikichogundua mtoa mada upo unapambana na watu waliohusika moja kwa moja ktk kunyang'anya wenzao haki ya kuishi wamejitokeza wengi katika uzi huu
 
MTU asiye na Akili Tu ndo anayeweza kuwaza kwamba lisu alishinda Kwa sababu wanachama wa CCM Tu wanatosha kuipa CCM ushindi.
Hao wanachama uliwapigia kura wewe? Kama mnajiamini tuwe na tume huru kama kenya na mfumo wa kukusanya na kuhesabu uwe kama wa kenya kubalini hilo ndio mjisifu mmeshinda kwà haki.
 
Ben aliuwawa na chadema wenzako alikuwa PS wa mbowe aulizwe mbowe

USSR
Kumbe Chadema wako juu ya Sheria! Wanajulikana waliua, lakini vyombo vya Dola vikashindwa kuchukua hatua stahiki?!
 
DAB karudi tena kwenye uongozi.
Afanye reconsiliation na familia ya husika!
 
Back
Top Bottom