KWELI Dan Friedkin ana hifadhi ya ardhi kubwa Tanzania

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Hakuna kitu kama hicho, hunting block zinatolewa na wizara ya maliasili na utalii kwa makampuni kwa kukodishwa na wanalipa fee kila mwaka.

Umeingia kwenye eneo ambalo nimefanyakazi kwa muda mrefu.

Mzungu aliyewahi kuwa na vitalu vingi hasa Selous game reserve ni Gerald Pasanisi tu wa Nice France na ameshafariki, na vitalu vingi amevirudisha serikalini baada ya Magufuli kuvamia hiyo sector without know how
 

Watanzania watajakuwa walinzi na vibarua wa mali walizoziuza wenyewe.
 
Na nyie tafuteni fursa mkachukue maeneo huko

Ova
Siyo kweli, uongo mtupu, hata Dr Rick Abdallah mchambuzi wa mpira ana vitalu na ana kampuni ya hunting.

Rostam Aziz kampuni yake inaitwa Miombo safari ipo Masaki anaendesha Mdogo wake yupo na mzungu mmoja wa kunduchi anaitwa Michelle wana vitalu vya uwindaji.
 
American billionaire Dan Friedkin, Chairman of Friedkin Group,owns Italian football club AS Roma, and owns Gulf States Toyota is the owner of the 25 000 acres Mwiba Game Reserve in Tanzania. He also leases up to 6 million acres of Tanzanian wilderness he plans to privatise. source.
 
Huyu Mzungu alikimbia Tanzania kipindi cha Magufuli akaenda nunua timu ya mpira Italy As Roma akamuajiri Mourinho....

Huyu bilionea nchi kibao zinatamni akawekeze kwao ..Sisi Magufuli alimtibua Sana akatukimbia..


Tuache malalamiko ya kimasikini...
Mzungu abembelezwe arudi kuwekeza sehemu mbalimbali...
Hamtaki waarabu na Wazungu pia ?
 
Namkumbuka huyu Pasanisi na magari yAke kama maroli ya jeshi
 
Wanavyo mpaka nchi za kusini mwa africa! Miombo sio mchezo
 
Kama sio mwarabu acha achukue tu. Jamaa wanaojifanya wapinzani hawana mpango nae🤣🤣🤣🤣
Msichanganye mada, hunting block ziko wazi kuombwa na makampuni yote, Tena Kigwangwalla alileta mfumo wa kuomba kwa njia ya mnada.

Na kwa wawindaji local kwa ajili ya kitoweo zipo open area vibali vinatoka halmashauri husika.
 
Mkuu wawekezaji tunawahitaji wawe ni Wazungu au waarabu au watu weusi lakini katika kuwekeza kuwepo na makubaliano maalum yenye kunufaisha Taifa kwa ujumla. Siyo aje muwekezaji afanye mpango wa kuwekeza kwa maslahi yake mwenyewe, awape baadhi ya Viongozi wetu waliopo Serikalini Rushwa ya Pesa ili wapate kumpitishia Mkataba wa uwekezaji wake anavyotaka yeye mwenyewe aka awekeze kwa mfano miaka 100 au zaidi ya hapo. Na aje kufanya anavyotaka katika nchi yetu eti kwa sababu amewekeza sisi wananchi masikini ndio tutakuwa watumwa wake katika kuendeleza uwekezaji wake, hivyo hatutaji mambo ya ubwanyenye aka ukoloni mambo leo. Hatutaki Mambo ya mikataba feki au mikataba hewa ya kutuumiza sisi wenyewe katika nchi yetu.
 
Namkumbuka huyu Pasanisi na magari yAke kama maroli ya jeshi
Yes, yeye ndio aliyemshawishi Nyerere aruhusu uwindaji na Nyerere aliporuhusu Pasanisi alianza kuwinda kama PH kupitia Tawico ya serikali na baadaye yeye ndio akiwa mtu wa kwanza kuanzisha private company ya uwindaji ya Tanganyika wildlife Safari.

Kenya mpaka leo hawaruhusu uwindaji, huyu Pasanisi alikuwa lobbyists hasa kumshawishi Nyerere mpaka akalegea siyo mchezo.
 
Msichanganye mada, hunting block ziko wazi kuombwa na makampuni yote, Tena Kigwangwalla alileta mfumo wa kuomba kwa njia ya mnada.

Na kwa wawindaji local kwa ajili ya kitoweo zipo open area vibali vinatoka halmashauri husika.
Mbona umeanza kuona maluweluwe; Dr wa PhD ya mchongo?🤣
 

Wanaojua kuhusu huyu jamaa watupe details anafanya biashara gani na ardhi kubwa kiasi hicho?
Huyu jamaa ni Patner wa Nyaga Mawalla wa Mwiba Holdings, baada ya Nyaga kufariki yeye ndiye anaimiliki Mwiba.

Huyu jamaa ni mtu poa sana, na kampuni yake inafanya mambo makubwa mazuri ya hifadhi na kulisaidia taifa.

Nimemfanyia baadhi ya kazi zake za Publicity, he is a good man and the deal is a good deal.
Msiwe na wasiwasi nae, yuko legit kabisa!.
P
 
Ok
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…