John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,137
- 2,147
- Thread starter
-
- #41
Mbona kina kontawa, kina belle9, Dully sykes, Rich mavoko n.k hawajui hata bei ya Range π acheni utani, mziki unalipa sawa ila sio kirahisi hivyoMziki watu wanauchukulia poa Ila mziki unalipa Sana ukiwa na jina.
Mimi nimekaa na wasanii wanaoimba gospel mziki wa injili jamaa wanaishi vizuri sana
Sasa ikiwa msanii wa injili anamiliki Nyumba Kali na magari sasa itakuaje hawa wanaoimba circular Music?
Sanaa na kipaji vinalipa Sana
Mbona kina kontawa, kina belle9, Dully sykes, Rich mavoko n.k hawajui hata bei ya Range π acheni utani, mziki unalipa sawa ila sio kirahisi hivyo
Anasonga mbele kutokana na kuwa na shughuli nyingine, mfano mwalimu anaweza kuwa na biashara nyingine, ufugaji, kilimo nk. Lakini sio ualimu umtajirishe, Labda mwalimu wa Harvard, IST n.k au kama msanii apige show super bowl, Grammy, BET n.k au apate tuzo za Grammy na BET kama kina Davido, Burnaboy, Diamond n.k. Kusema kwamba kijana Mziki na dancing pekee ndivyo vinampatia utajiri huu ndani ya muda huu mfupi, tena hana tuzo wala hajawahi perform huko mbele, SI KWELI.Hata Kazi
Mnaweza kufanya moja na wenzako Ila wewe ukaishia kuwa kubaki pale pale na mwenzio akasonga mbele.
πππ Hapo sawaAnafanya dansi kwenye party za Diddy
Aise, Mrisho Mpoto hana hata Range mojaπ kwa perfomance anazopiga daily kwenye hizo shughuli za kisiasa angeshakuwa tajiri sana
Range nimetumia kama mfano tu, Point ni kwamba hana utajiri mkubwa kiasi hichoLakin kupanga ni Kuchagua kutokuwa na range inaweza ikawa ni maamuzi.. kuna watu wana pesa ndefu ila hizo gari sio mizuka yao.. utakuta ntu ametumia pesa nyingi ku customize Land rover 110 kwa vitu vya gharama
Au mwingine yeye gar yake pendwa ni land cruiser humkuti kwenye benzi wala range
Mwingine pesa ya kujichanga ila
Ana range kali
Ni kweliKumbuka huyo ni Msanii, usimchukulie serious sana
Kweli unayosema, Lakini mbona wapo wengi waliopambana wakatoboa wanajulikana na wanapongezwa, kina Diamond, Harmonize, Rayvanny,Zuchu, au waigizaji na watangazaji kama kina Masanja (analima sana mpunga) Mpoki, Joti n.k Lakini kuna baadhi ya mafanikio yana ukakasi kidogo, mfano hao kina Chief Godlove (hajulikani anafanya shughuli gani) Chino nk.Tanzania ni nchi ambayoukipambana ukashindwa watakucheka,ukipambana ukatoboa watakusema pia!so binafsi nampa hongera Wanaman kwa kutoboa
Hakika 100%Kila kitu kipe muda. Muda huwa unaongea
Kama Chino hajulikani kazi yake we umemjuaje?Kweli unayosema, Lakini mbona wapo wengi waliopambana wakatoboa wanajulikana na wanapongezwa, kina Diamond, Harmonize, Rayvanny,Zuchu, au waigizaji na watangazaji kama kina Masanja (analima sana mpunga) Mpoki, Joti n.k Lakini kuna baadhi ya mafanikio yana ukakasi kidogo, mfano hao kina Chief Godlove (hajulikani anafanya shughuli gani) Chino nk.
Kihasibu hii imekaaje mkuu?Kutuletea mambo ya Insta ni kutudharau
kumaanisha amem-songesha????π€Lisemwalo Lipo
View attachment 3126261
Na hili nalo utatutaka tukaliangalie kwa kutumia muda wa umma?Tuache masikhara na maisha, watu wamecheza sana kiasi kwamba huyu anayejiita Chino kid hafiki hata nusu, hata akisema anaimba, watu wameimba sana, kina Jay melody, Ray vanny mwenyewe mpaka kufikia hapo ameshasota sana na hajapata mafanikio ya ghafla na haraka, amefanya mziki tukiwa tunamuona.
Sasa huyu chino hata ukiniuliza hit song yake hata moja sijui, hizo dancing labda anafanya huko background, sijui lakini najua kuna dancers wakali mno kumzidi yeye.Labxa anafanya biashara? Mbona hazijulikani?
Huu utajiri, Pesa, Mali, Majumba na magari ya kifahari na hana hata miaka mitano kwenye industry au hata akiwa nayo bado hajawa na impact yoyote ya kushtua, INATIA MASHAKA SANA π€π€π€
View attachment 3126070View attachment 3126072View attachment 3126073View attachment 3126074View attachment 3126075
Hili nalo mkalitizame πMa hili nalo utatutaka tukaliangalie kwa kutumia muda wa umma?