John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,137
- 2,147
- Thread starter
-
- #61
Kiazi sijaelewa 😀 Kina dully, makomando, msami, belle9 walikosa elfu 50 tu mpaka leo?kuna mtu hapa duniani anahitaji hela kidogo tu awaonyeshe watu maajabu.
chino kapata hio fursa mtashangaa sana Kwani hafanyi vile mlivyo zoea
kuna mtu anahitaji elfu hamsini tu afanye makubwa na bado inamsumbua kuipata wakati wewe unayo na hujui uifanyie nini
umeelewa wewe kiazi?
Inawezekana, Nisaidie hapo inakuwajeMleta mada ni mgeni hapa mjini..
Nimemjua kupitia utajiri na kujinasibu mitandaoni, kufuatilia kumbe ni dancer. Alafu kujulikana sio kigezo cha utajiriKama Chino hajulikani kazi yake we umemjuaje?
🤣🤣🤣🤣Kutuletea mambo ya Insta ni kutudharau
Word.Jambo la msingi ni kupongeza kila juhudi za mtu hayo mambo mengine kama kajiongeza ni siri yake
acheni upuuzi million 200 hata kwa nani ni kubwaHatukatai ni ndogo, ila ni ndogo kwa mtu gani? Kwa mwanasiasa kama Msukuma ni ndogo sana, kwa wafanyabiashara kina vunjabei, Davidsports wear, Jose madini, au wachezaji kina Mayele, Aziz ki n.k ambao shughuli zao zinajulikana, mbona kuna dancers wamepiga show kama kina Msami, makomandoo, sijui Fm acadèmia?au wasanii wanaoimba na kupiga show kama kina Zuchu, maua samma,mrisho mpoto n.k ? Au show za chino anapiga huko mambele super bowl, BET, grammy n.k?? Kama milioni 200 ndogo hao kina kontawa wa dungamawe wangekuwa n pesa sana😀
Kina james delicious wangekuwa matajiri snLisemwalo lipo
Kila mwenye mafanikio yeye ndio anajua anakotoa hela. Wewe elewa ni dancer mengine muachie mwenyewe.Kweli unayosema, Lakini mbona wapo wengi waliopambana wakatoboa wanajulikana na wanapongezwa, kina Diamond, Harmonize, Rayvanny,Zuchu, au waigizaji na watangazaji kama kina Masanja (analima sana mpunga) Mpoki, Joti n.k Lakini kuna baadhi ya mafanikio yana ukakasi kidogo, mfano hao kina Chief Godlove (hajulikani anafanya shughuli gani) Chino nk.
Kwamba akina kukata mauno lwenye ziara ya tulia hapa Mbeya anapewa pesa nyingi hivyo?Nafikiri huyu kijana amepata hela nyingi kwa kina tulia ackson na viongozi wengine wa serikali kwenye shughuli zao alizotumbuiza.
Japo kiuwezo jamaa anauwezo mdogo sana wa dance na muziki sema bahati tu inamng'arisha zaidi, sikuizimziki sio kujua kuimba sana au kujua kucheza sana ni inategemea yani Kwahiyo kijana apiga mamillion kwa wakubwa wanchi ndio kama hivyo yani katoboa
Tuuzie na sisi huo wako mzee usiuweke tu uwe kama huyo.Msambwanda for sale
Kitu ambacho hata Mzee kikwete aliwahi hoji...."Ni pale watanzania wanapoona Kiongozi wa kawaida tu ila Mara baada ya kupata uongozi, anaanza kujikusanyia Mali ".Umezunguka sana, ila kinachokusumbua ni :
wivu
mtu asiyependa mwingine apate mafanikio; mtu mwenye kijicho
Hali iliyokufanya uwe na:
chuki
tabia ya kutopenda, hasa watu au ya kuwa na roho mbaya
Nb: Nipe uhusiano wa kufanya kazi muda mrefu na mafanikio. Mfano kuna mchezaji alicheza yanga miaka kumi iliyopita, halafu kuna mchezaji anacheza yanga mwaka wa tatu sasa.
Nb: Bado unaamini kuwa na umri mkubwa ndiyo mafanikio?? Linganisha dunia yako na dunia ya sasa, unaona ipi ina fursa zaidi?
Nb: Kuna nyakati huamua nini kifanyike coz ndiyo kinahitajika kwa wakati huo. Mfano Elon Musk na Mark Zuckerberg utajiri wao umepaa haraka sana kulingana na nyakati!
Una uhakika izo mali anamiliki au kakodisha Mzee.Tuache masikhara na maisha, watu wamecheza sana kiasi kwamba huyu anayejiita Chino kid hafiki hata nusu, hata akisema anaimba, watu wameimba sana, kina Jay melody, Ray vanny mwenyewe mpaka kufikia hapo ameshasota sana na hajapata mafanikio ya ghafla na haraka, amefanya mziki tukiwa tunamuona.
Sasa huyu chino hata ukiniuliza hit song yake hata moja sijui, hizo dancing labda anafanya huko background, sijui lakini najua kuna dancers wakali mno kumzidi yeye.Labxa anafanya biashara? Mbona hazijulikani?
Huu utajiri, Pesa, Mali, Majumba na magari ya kifahari na hana hata miaka mitano kwenye industry au hata akiwa nayo bado hajawa na impact yoyote ya kushtua, INATIA MASHAKA SANA 🤔🤔🤔
View attachment 3126070View attachment 3126072View attachment 3126073View attachment 3126074View attachment 3126075
Maisha yako ni wewe tu unaamua yawe vipi.Lifestyle take ndiyo gumzo mkuu, hata kama ni fake ila ni gharama sana