Dancing ingelipa kiasi hiki basi Moze Iyobo na Angel Nyigu wangekuwa mabilionea

Kiazi sijaelewa 😀 Kina dully, makomando, msami, belle9 walikosa elfu 50 tu mpaka leo?
 
acheni upuuzi million 200 hata kwa nani ni kubwa
 
Kila mwenye mafanikio yeye ndio anajua anakotoa hela. Wewe elewa ni dancer mengine muachie mwenyewe.
 
Kwamba akina kukata mauno lwenye ziara ya tulia hapa Mbeya anapewa pesa nyingi hivyo?

Acha uzwazwa dogo Nifahamuvyo, usiamini sana picha za watu wanazoweka nitandaoni. Nyingi wanaenda kupigia kwa watu ili wajidanganye na kuwadanganya maboya kama nyie.

Hana pesa yoyote huyo dogo, ni maskini mwenzako tu sawa na mimi muuza madafu na maisha hayapo hivyo.
 
Kitu ambacho hata Mzee kikwete aliwahi hoji...."Ni pale watanzania wanapoona Kiongozi wa kawaida tu ila Mara baada ya kupata uongozi, anaanza kujikusanyia Mali ".

Hapa lazima wahoji.

Ukweli ni kua, Nyuma ya huyu Msanii Kuna utakatishaji mkubwa wa Pesa na Huenda nitakua sijakosea kua anajihusisha na biashara haramu.

Kwa aina ya muziki na dance ya hapa Bongo , HUWEZI KUA NA UKWASI MKUBWA NAMNA HIYO NDANI YA MUDA MFUPI HIVO

Sasa watu wanapohoji, msiwapige , Maisha unayoishi yanaonekana na yanapimika.
 
Una uhakika izo mali anamiliki au kakodisha Mzee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…