Tetesi: Dangote kusimamisha kazi zake Tanzania

Tetesi: Dangote kusimamisha kazi zake Tanzania

Status
Not open for further replies.
Anatusumbua tu!
hivi kwani kipondi yeye hayulo, saruji haikiepo?

Aondoke tu
Naye ni mbabaishaji mkubwa
 
Inasikitisha sana...

Kama hizo taarifa ni z kweli...
Endapo wawekezaji watakua wanaondoka Tanzania...

Ila mbona sijasikia Twiga, Tembo, Nyati na wengineo cement wakilalamika..


Cc: mahondaw
 
Kuna kitu kinaendelea ktk hiki kiwanda. Haziishi kelele na vitisho. Basi safari hii wafunge kweli tujue moja maana inakuwa kama kuna siasa flani ili wapewe upendeleo mkubwa.
 
Afunge Kiwanda cha zaidi ya 300 Million US Dollars, hiyo gharama atamrudishia Babako?
Wewe sidhani kama unajua biashara, unadhani kama kiwanda kinatengeneza hasara somebody can go on running forever kisa amewekeza 300 mil USD? You are foolish true!
Sometimes You close and may be latter sell to someone who think can make money with it!
 
Afunge tu. Watakuja wengine kuwekeza ambao watakubaliana na masharti yetu. Magu kaza kamba. Hapa ni kazi tu
 
Moderator toeni upuuzi huu, habari ina dalili zote kuwa imetungwa, utumiaji mbaya wa "Tetesi" unaondoa credibility ya jukwaa lenu.
 
Ingawa haijawekwa rasmi au wazi, nimepenyezewa habari kutoka ndani ya kiwanda Jana jioni, kwamba, muwekezaji na tajiri namba moja Barani Afrika, Ndg. Aliko Dangote anaelekea kusimamisha kazi zake Tanzania au kulifunga kabisa kwanda cha sementi kilichojengwa mkoani Mtwara. Haya ni baada ya gharama ZA uendeshaji kuwa kubwa sana, na pia baada ya serikali kusitisha uagizaji wa makaa ya mawe kutoka nje, kwa madai kwamba kuna makaa ya mawe ya kutosha nchini.

Gharama ZA nishati zimekuwa kubwa mno. Kwa sasa kiwanda hicho kinatumia genereta na makaa kidogo ya mawe yaliyoagizwa kutoka nje ambayo nayo yanaelekea kuisha. Ahadi ZA mtukufu rais hazitekelezeki leo, huku TRA ikiwa imewakaba koo watendaji wa kiwanda hicho. They need money my friend, we are running lossess , we cant continue operating. We must close the plant. Can't transport coal from Songea, that's too far and too expensive, until they build railroad tommorrow

Watanzania tukaze kamba hali inazidi kuwa mbaya

Kama habari hii ni ya ukweli, basi mtu aliyefanya visibility study ya kujenga kiwanda hiki alikosea

Suala la nishati/ energy supply kwa ajili ya kuendesha kiwanda lilitakiwa liwe ni kigezo muhimu sana cha akufanya maamuzi. Natural resources endowment ( raw materials) siyo kigezo pekee cha kujenga kiwanda eneo fulani. Kuna mambo megine kama legal framework, market accessibility, availability of affordable energy sources, etc.
 
Hivi huwa mnapata faida gani mnapoleta uongo wa aina hii

Unajificha kwenye neno tetesi ili kueneza uongo.

Unafaa kupigwa ban ya mwaka kwa sababu unafanya hisa za dangote zishuke kwenye soko la hisa kwa sababu ya kueneza uongo.
Maamuzi ya ban hiyo yasubiri tetesi zitzkzpokanushwa rasmi. Si kwa matakwa au matamanio yako tu.
 
Uwekezaji mkubwa lakini walishindwa kuforecast running costs na kinachotokea ni kutafuta public sympathy ili wapewe favor

Tunning cost gani ? Mbona wakati wa jk hayakuwa haya
Wachieni wanunue mkaa nje
Wapelekeini gas kuzalisha....hamjui hata biashara basi..mnataka kodi tu utafikiri inaota kama majani
 
Afunge Kiwanda cha zaidi ya 300 Million US Dollars, hiyo gharama atamrudishia Babako?
Judge reasonably, hata kama ni kiwanda cha mabilioni ni ujinga kuendelea kukiendesha huku ukiona running costs ni kubwa.
 
Mbona kiwanda cha dangote kimesimamisha uzalishaji mda mrefu tuu kabla ya sikukuu ya idi, na sasa twiga wanajipandishia bei wanavyojisikia bei ya plus kwa dar ni 12,000/- kutoka 10000
 
bora asimamishe, awamu hii ina majungu sijai kuona. dangote hadi fobres rich top list amepotea
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom