Tetesi: Dangote kusimamisha kazi zake Tanzania

Tetesi: Dangote kusimamisha kazi zake Tanzania

Status
Not open for further replies.
Uwekezaji mkubwa lakini walishindwa kuforecast running costs na kinachotokea ni kutafuta public sympathy ili wapewe favor
Walisha focus sana kwny Cost Tatizo tumeingiza Mambo ya Ujamaa kwa kuwachagulia wapi wakanunue Nishati!

Style ya Uchumi wa Kijamaa ulligharimu sana Nchi wakati wa Nyerere na JPM analazimisha kurudia hilo kosa

Ni sawa na ile ya kulazimisha kila anaetaka kusafirisha Mahindi Basi asafirishe unga kutokna na kukariri kwetu kuwa Matumizi ya Mahindi ni kukorogea Uji na kusongea ugali pekee!
 
Hizi ni habari za uongo. JPM alimwambia Dangote kuwa akiwa na tatizo amwone yeye moja kwa moja. Kuna kundi la wapiga dili lililokuwa likitaka kupokea gesi kisha limuuzie Dangote, JPM alilitupilia mbali na kuagiza TPDC kuuza gesi moja kwa moja kiwandani kwa bei iliyopendekezwa na Kiwanda. Makaa ya mawe yanasombwa kwa malori zaidi ya 200 ya Kwanda kutoka Ruvuma. Kwa hiyo kama uzi haujazungumzia kutotekelezwa kwa operations hizi na badala yake unaeleza madai ya jumla kutoka mitaani, unachukuliwa kuwa ni uongo.
 
Uwekezaji mkubwa lakini walishindwa kuforecast running costs na kinachotokea ni kutafuta public sympathy ili wapewe favor
Kama habari hii ni ya ukweli, basi mtu aliyefanya visibility study ya kujenga kiwanda hiki alikosea

Suala la nishati/ energy supply kwa ajili ya kuendesha kiwanda lilitakiwa liwe ni kigezo muhimu sana cha akufanya maamuzi. Natural resources endowment ( raw materials) siyo kigezo pekee cha kujenga kiwanda eneo fulani. Kuna mambo megine kama legal framework, market accessibility, availability of affordable energy sources, etc.
Hivi mnaamini kabisa Dangote Group walishindwa kufanya kitu ambacho hata nyie, ambao huenda hata duka la pipi hamna, bado mnakifahamu!!!!

Kama habari ni za kweli, hivi itakuwa ni failure to forecast au emerged versatile business environment?!

Dangote from day one walishaona suala la high energy cost. Katika kuwavutia, Rais wa nchi, JK akawa-promise watakuwa supplied with gas watakayotumia kuzalisha umeme!!!

Sasa ni mwekezaji gani ambae ange-doubt ahadi ya rais wa nchi!!!

Jambo ambalo walisahau ni kwamba business environment kwa Africa can change at any time "t" provided kuna new leadership!
 
Hivi huwa mnapata faida gani mnapoleta uongo wa aina hii

Unajificha kwenye neno tetesi ili kueneza uongo.

Unafaa kupigwa ban ya mwaka kwa sababu unafanya hisa za dangote zishuke kwenye soko la hisa kwa sababu ya kueneza uongo.
Kumbe uko kwenye Management ya Dangote
 
Ingawa haijawekwa rasmi au wazi, nimepenyezewa habari kutoka ndani ya kiwanda Jana jioni, kwamba, muwekezaji na tajiri namba moja Barani Afrika, Ndg. Aliko Dangote anaelekea kusimamisha kazi zake Tanzania au kulifunga kabisa kwanda cha sementi kilichojengwa mkoani Mtwara. Haya ni baada ya gharama ZA uendeshaji kuwa kubwa sana, na pia baada ya serikali kusitisha uagizaji wa makaa ya mawe kutoka nje, kwa madai kwamba kuna makaa ya mawe ya kutosha nchini.

Gharama ZA nishati zimekuwa kubwa mno. Kwa sasa kiwanda hicho kinatumia genereta na makaa kidogo ya mawe yaliyoagizwa kutoka nje ambayo nayo yanaelekea kuisha. Ahadi ZA mtukufu rais hazitekelezeki leo, huku TRA ikiwa imewakaba koo watendaji wa kiwanda hicho. They need money my friend, we are running lossess , we cant continue operating. We must close the plant. Can't transport coal from Songea, that's too far and too expensive, until they build railroad tommorrow

Watanzania tukaze kamba hali inazidi kuwa mbaya
Ninavyofahamu mimi ni kuwa ili kupunguza gharama za uendeshaji, serikali imekipa kiwanda hicho eneo la kuchimba makaa ya mawe ili wachimbe wenyewe.
Na vilevile ufahamu kuwa baada ya Dangote kuwekeza kwenye kiwanda hicho, wamejitokeza wawekezaji wengine ambao siyo tu wameleta ushindani lakini hata bei ya simenti imeshuka. Hivyo hayo usemayo ni kweli, basi itakuwa wameshindwa kutokana na ushindani na siyo gharama kubwa kwani Dangote ni kiwanda pekee kilichopendelewa kwani viwanda vyengine vya simenti vinaweza vipi na dangote kimeshindwa nini?
 
Rais na miccm yote iko busy na upinzani................
 
Hivi huwa mnapata faida gani mnapoleta uongo wa aina hii

Unajificha kwenye neno tetesi ili kueneza uongo.

Unafaa kupigwa ban ya mwaka kwa sababu unafanya hisa za dangote zishuke kwenye soko la hisa kwa sababu ya kueneza uongo.
Vp mkuu mbona povu namna hii wakati hata yeye kaileta kama tetesi?
 
Hivi kwa akili yako unaamini kabisa Dangote Group walishindwa kufanya kitu ambacho hata wewe ambae huenda hata duka la pipi hauna, bado unakifahamu!!!!

Hivi hii ni failure to forecast au emerged versatile business environment?!

Dangote from day one walishaona suala la high energy cost. Katika kuwavutia, Rais wa nchi, JK akawa-promise watakuwa supplied with gas watakayotumia kuzalisha umeme!!!

Sasa ni mwekezaji gani ambae ange-doubt ahadi ya rais wa nchi!!!

Jambo ambalo walisahau ni kwamba business environment kwa Africa can change at any time "t" provided kuna new leadership!
Walishindwa kujua kwamba 2015 kutakuwa na uchaguzi mkuu ambao utabadilisha Viongozi wa Juu wa nchi?
 
Walishindwa kujua kwamba 2015 kutakuwa na uchaguzi mkuu ambao utabadilisha Viongozi wa Juu wa nchi?
Kwahiyo unaonea ufahari kuwa na uongozi usiotabirika kwenye masuala ya uwekezaji, au?!

Hoja yako ni kwamba hawakufanya forecast!! Sasa unapokuwa na mazingira ya kibiashara yasiyotabirika, hiyo forecast ingesaidia nini?!

Btw, kwanini wahofie uchaguzi kwenye nchi yenye taasisi zake?!! Au unatakiwa kukumbushwa kwamba JK kama Rais alikuwa ni taasisi?!
 
Uwekezaji mkubwa lakini walishindwa kuforecast running costs na kinachotokea ni kutafuta public sympathy ili wapewe favor
Ivi kwani jamaa huko alikowekeza kungine na kwenyewe anataka kufunga? Jiulize kwanza hilo swali halafu utapata majibu, tz sasa kuna mazingira mabovu ya uwekezaji over
 
Ingawa haijawekwa rasmi au wazi, nimepenyezewa habari kutoka ndani ya kiwanda Jana jioni, kwamba, muwekezaji na tajiri namba moja Barani Afrika, Ndg. Aliko Dangote anaelekea kusimamisha kazi zake Tanzania au kulifunga kabisa kwanda cha sementi kilichojengwa mkoani Mtwara. Haya ni baada ya gharama ZA uendeshaji kuwa kubwa sana, na pia baada ya serikali kusitisha uagizaji wa makaa ya mawe kutoka nje, kwa madai kwamba kuna makaa ya mawe ya kutosha nchini.

Gharama ZA nishati zimekuwa kubwa mno. Kwa sasa kiwanda hicho kinatumia genereta na makaa kidogo ya mawe yaliyoagizwa kutoka nje ambayo nayo yanaelekea kuisha. Ahadi ZA mtukufu rais hazitekelezeki leo, huku TRA ikiwa imewakaba koo watendaji wa kiwanda hicho. They need money my friend, we are running lossess , we cant continue operating. We must close the plant. Can't transport coal from Songea, that's too far and too expensive, until they build railroad tommorrow

Watanzania tukaze kamba hali inazidi kuwa mbaya


Mimi nilishtabiri haya humu humu JF.

Serikali iache kuchukia wawekezaji. Ielewe kuwa serikali ina hisa ya asilimia 30 katika kila kamouni Tanzania kupitia kodi ya mapato.
 
Aisee kama Ni kweli basi mambo yatakua magumu Sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom