Tetesi: Dangote kusimamisha kazi zake Tanzania

Tetesi: Dangote kusimamisha kazi zake Tanzania

Status
Not open for further replies.
Dan
Ingawa haijawekwa rasmi au wazi, nimepenyezewa habari kutoka ndani ya kiwanda Jana jioni, kwamba, muwekezaji na tajiri namba moja Barani Afrika, Ndg. Aliko Dangote anaelekea kusimamisha kazi zake Tanzania au kulifunga kabisa kwanda cha sementi kilichojengwa mkoani Mtwara. Haya ni baada ya gharama ZA uendeshaji kuwa kubwa sana, na pia baada ya serikali kusitisha uagizaji wa makaa ya mawe kutoka nje, kwa madai kwamba kuna makaa ya mawe ya kutosha nchini.

Gharama ZA nishati zimekuwa kubwa mno. Kwa sasa kiwanda hicho kinatumia genereta na makaa kidogo ya mawe yaliyoagizwa kutoka nje ambayo nayo yanaelekea kuisha. Ahadi ZA mtukufu rais hazitekelezeki leo, huku TRA ikiwa imewakaba koo watendaji wa kiwanda hicho. They need money my friend, we are running lossess , we cant continue operating. We must close the plant. Can't transport coal from Songea, that's too far and too expensive, until they build railroad tommorrow

Watanzania tukaze kamba hali inazidi kuwa mbaya
Dangote alianzisha kiwanda akishirikiana na wanasiasa akijua atapata miteremko siku zote! Mambo yamegeuka ,aache visingizio alipe kodi.
 
Afunge Kiwanda cha zaidi ya 300 Million US Dollars, hiyo gharama atamrudishia Babako?
Kwani mwanzoni alivyotaka kufunga mpaka muheshimiwa akaingilia kati, hiyo pesa ulikuwa unataka kumrudishia ww
 
unaposema makaa ya mawe yanatoka nje nakuwa sikuelewi na pia watu wa kule songea watakushangaa maana kila siku asubuhi wanapishana na mamia ya malori ya dangote yakisomba makaa kupeleka kiwandani.

Vile vile nilichokisikia mimi ni malipo madogo sana kwa madereva wa hayo malori tofauti na mishahara mikubwa wanayolipwa raia wa kigeni

Na unaowaambia maji ya bomba yanapatikana kwa tabu mjini Dar es Salaam watakushangaa pia. Kwa sababu kila siku wanauona mto Ruvu umejaa maji!

Mleta mada kaeleza kwamba hayatoshi na gharama ni kubwa! Form 4 inee?
 
Ingawa haijawekwa rasmi au wazi, nimepenyezewa habari kutoka ndani ya kiwanda Jana jioni, kwamba, muwekezaji na tajiri namba moja Barani Afrika, Ndg. Aliko Dangote anaelekea kusimamisha kazi zake Tanzania au kulifunga kabisa kwanda cha sementi kilichojengwa mkoani Mtwara. Haya ni baada ya gharama ZA uendeshaji kuwa kubwa sana, na pia baada ya serikali kusitisha uagizaji wa makaa ya mawe kutoka nje, kwa madai kwamba kuna makaa ya mawe ya kutosha nchini.

Gharama ZA nishati zimekuwa kubwa mno. Kwa sasa kiwanda hicho kinatumia genereta na makaa kidogo ya mawe yaliyoagizwa kutoka nje ambayo nayo yanaelekea kuisha. Ahadi ZA mtukufu rais hazitekelezeki leo, huku TRA ikiwa imewakaba koo watendaji wa kiwanda hicho. They need money my friend, we are running lossess , we cant continue operating. We must close the plant. Can't transport coal from Songea, that's too far and too expensive, until they build railroad tommorrow

Watanzania tukaze kamba hali inazidi kuwa mbaya
Kuagiza makaa ya mawe toka songea ni gharama kubwa lakini kuagiza toka afrika ya kusini ni gharama nafuu!!!! Uongo mwingine hata shetani hajawahi kuufanya! Na aondoke! Hatukuanza maisha baada ya Nangote kuja Tanzania na maisha hayatakoma baada ya Dangote kuondoka Tanzania!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni kujichanganya alieanzisha uzi ni mkenya acheni kuendelea kuchangia hayo mambo sio kweli mm npo hapa mtwara baba yangu mdogo ni mwajiriwa wa dangote hakuna issue kama hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
They can't afford they are free to leave we are wishing them all the best

2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
 
Kiwanda kinaweza kuendelea kuzalisha hata kama kinapata hasara provided mapato wanayopata yanaweza ku-cover Total Variable Costs... operation costs.

Kama wewe ndo Dangote, ungefanya hivyo?!

Jiongeze kwa kusoma "What's Shutdown Point" in economics! Hiyo ni point ambayo wachumi wanaangalia sana relation between total variable costs and revenues! TVC ziki-exceed mapato tu, utashauriwa kufunga!!!
!
Point of correction. Hutakiwi kuendelea ku produce simply because una cover your variable cost kwani bado unaweza ku produce at a loss kwa kutoku cover fixed cost. Unatakiwa kuendelea ku produce from break even point and above.
 
Without him how we managed to live!? If he wants to go let him go who cares

2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
 
Laana ya kuwanyima ajira watanzania na kuwajaza wageni inakitafuna kiwanda cha Dangote. Acha wafe tu!
 
Nawaza kwamba watanzania wangap watapotez ajira zao na faida za uwekezaji wake tutazipoteza
Haya yalitarajiwa kufika kwa mazingira mabovu yaliyojitokeza ya kuwekeza tanzania kwa sasa

Maelekezo na Maamuzi kutoka Juu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom