Tetesi: Dangote kusimamisha kazi zake Tanzania

Tetesi: Dangote kusimamisha kazi zake Tanzania

Status
Not open for further replies.
Afunge Kiwanda cha zaidi ya 300 Million US Dollars, hiyo gharama atamrudishia Babako?
Tatizo Barbarosa hufahamu mambo ya uchumi!!! Ingawaje siamini habari hizi lakini lazima ufahamu hoja yako haina msingi!!

Kiwanda kinaweza kuendelea kuzalisha hata kama kinapata hasara provided mapato wanayopata yanaweza ku-cover Total Variable Costs... operation costs. Lakini inapotokea mapato hayakidhi ku-cover hata variable costs, ni more economical kwa kiwanda kufungwa! Kwa sababu, usipofunga, kwa case ya Dangote kwa mfano, ina maana ipo siku utalazimika kuagiza mishahara kutoka Nigeria!!!

Kama wewe ndo Dangote, ungefanya hivyo?!

Jiongeze kwa kusoma "What's Shutdown Point" in economics! Hiyo ni point ambayo wachumi wanaangalia sana relation between total variable costs and revenues! TVC ziki-exceed mapato tu, utashauriwa kufunga!!!

Na hizo gharama za kufuata makaa ya mawe sijui wapi sijui, ni sehemuya variable costs!!!
 
Ingawa haijawekwa rasmi au wazi, nimepenyezewa habari kutoka ndani ya kiwanda Jana jioni, kwamba, muwekezaji na tajiri namba moja Barani Afrika, Ndg. Aliko Dangote anaelekea kusimamisha kazi zake Tanzania au kulifunga kabisa kwanda cha sementi kilichojengwa mkoani Mtwara. Haya ni baada ya gharama ZA uendeshaji kuwa kubwa sana, na pia baada ya serikali kusitisha uagizaji wa makaa ya mawe kutoka nje, kwa madai kwamba kuna makaa ya mawe ya kutosha nchini.

Gharama ZA nishati zimekuwa kubwa mno. Kwa sasa kiwanda hicho kinatumia genereta na makaa kidogo ya mawe yaliyoagizwa kutoka nje ambayo nayo yanaelekea kuisha. Ahadi ZA mtukufu rais hazitekelezeki leo, huku TRA ikiwa imewakaba koo watendaji wa kiwanda hicho. They need money my friend, we are running lossess , we cant continue operating. We must close the plant. Can't transport coal from Songea, that's too far and too expensive, until they build railroad tommorrow

Watanzania tukaze kamba hali inazidi kuwa mbaya
daah, Tanzania yangu wajameni
 
Tatizo Barbarosa hufahamu mambo ya uchumi!!! Ingawaje siamini habari hizi lakini lazima ufahamu hoja yako haina msingi!!

Kiwanda kinaweza kuendelea kuzalisha hata kama kinapata hasara provided mapato wanayopata yanaweza ku-cover Total Variable Costs... operation costs. Lakini inapotokea mapato hayakidhi ku-cover hata variable costs, ni more economical kwa kiwanda kufungwa! Kwa sababu, usipofunga, kwa case ya Dangote kwa mfano, ina maana ipo siku utalazimika kuagiza mishahara kutoka Nigeria!!!

Kama wewe ndo Dangote, ungefanya hivyo?!

Jiongeze kwa kusoma "What's Shutdown Point" in economics! Hiyo ni point ambayo wachumi wanaangalia sana relation between total variable costs and revenues! TVC ziki-exceed mapato tu, utashauriwa kufunga!!!

Na hizo gharama za kufuata makaa ya mawe sijui wapi sijui, ni sehemuya variable costs!!!
Kwa maana nyingine kwenye point ya kumwelimisha Barbarosa ni kwamba kama alitumia 300 million USD kujenga na sasa garama ya kuendesha inakuwa kubwa kuliko mapato ni kwamba unazidi kuongeza gharama kwenye 300 Million USD badala ya kurudisha
 
Kwa maana nyingine kwenye point ya kumwelimisha Barbarosa ni kwamba kama alitumia 300 million USD kujenga na sasa garama ya kuendesha inakuwa kubwa kuliko mapato ni kwamba unazidi kuongeza gharama kwenye 300 Million USD badala ya kurudisha
Ahsante, na maelezo haya mepesi kueleweka yamfikie Barbarosa!!
 
Serikali imeajiri watu milioni moja(au pungufu)

Tanzania ina watu milioni 50,hao milioni karibu 30 wameajiriwa au kujiajiri,sasa watu waliowajiri watanzania milioni 30 kila Siku wanatukanwa na kutishiwa kufungiwa biashara
kweli viroba havijawahi kumuacha mtu salama. unaposikia nchi ina watu milioni 50 unafikiri wote wanauwezo wa kufanya kazi?

Ulishawahi kuona wapi wananchi wote wanajiriwa na serikali?

Acheni kukurupukia mambo msiyoyaelewa au yaliyo juu ya uwezo wenu kuyajadili.

Mnaishia kupost pumba tu.
 
Mleta mada uwe unafikiri vyema!!
Sasa kama ulivyoandika hapo "can't transport coal from songea to expensive and very far" ina maana kusafirisha makaa kutoka nje na kutoka songea wapi mbali na panapohitaji gharama zaidi?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali imeajiri watu milioni moja(au pungufu)

Tanzania ina watu milioni 50,hao milioni karibu 30 wameajiriwa au kujiajiri,sasa watu waliowajiri watanzania milioni 30 kila Siku wanatukanwa na kutishiwa kufungiwa biashara
Ongelea watu wenye uwezo wa kufanya kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wa Tanzania lazima wajifunze biashara! Business is about people, profits and nature; has to be sustainable.

Militants like Dictator Pombe would not be allowed to rule business rather than being road supervisors!

Duh, is this a fair comment? have you truly done scaling part of his actions versus outcome? I highly doubt it looks like you are basing it on a hearsay of this post.
 
Uwekezaji mkubwa lakini walishindwa kuforecast running costs na kinachotokea ni kutafuta public sympathy ili wapewe favor
...mkuu Umewahi kufanya Biashara japo ya GENGE? Shida kubwa tuliyonayo kwenye hii NCH hatuna SERA ya UCHUMI inayoeleweka
kila RAIS angeingia madarakani anakuja na yake... so usidhani mtu kama Dándote anafanya Biashara kwa muda mrefu asijue hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nchi ina ngonjera nyingi sana, Dangote alijenga kiwanda Mtwara baada ya kugundulika kwa gesi nyingi lakini maajabu ya sisi ni kuwa tumeacha kutumia gesi yetu kurahisisha maisha tumempa makaa ya mawe atumie, angeambiwa hii gesi imebinafsishwa nina uhakika asinge jenga hicho kiwanda Mtwara angejenga huko yaliko makaa ya mawe...Halafu utasikia mkuu ana mtisha ukifunga nakuja kubomoa kiwanda..sijui ukweli utawekwa wazi lini hii gesi ina tumika kwenye mradi upi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom