Tetesi: Dangote kusimamisha kazi zake Tanzania

Tetesi: Dangote kusimamisha kazi zake Tanzania

Status
Not open for further replies.
Tatizo Barbarosa hufahamu mambo ya uchumi!!! Ingawaje siamini habari hizi lakini lazima ufahamu hoja yako haina msingi!!

Kiwanda kinaweza kuendelea kuzalisha hata kama kinapata hasara provided mapato wanayopata yanaweza ku-cover Total Variable Costs... operation costs. Lakini inapotokea mapato hayakidhi ku-cover hata variable costs, ni more economical kwa kiwanda kufungwa! Kwa sababu, usipofunga, kwa case ya Dangote kwa mfano, ina maana ipo siku utalazimika kuagiza mishahara kutoka Nigeria!!!

Kama wewe ndo Dangote, ungefanya hivyo?!

Jiongeze kwa kusoma "What's Shutdown Point" in economics! Hiyo ni point ambayo wachumi wanaangalia sana relation between total variable costs and revenues! TVC ziki-exceed mapato tu, utashauriwa kufunga!!!

Na hizo gharama za kufuata makaa ya mawe sijui wapi sijui, ni sehemuya variable costs!!!
Ni Ngumu sana kuendesha kiwanda kwa kushindwa kukidhi hata mahitaji ya kila siku kama uzungumzapo.

Kwa wanaotambua Maana ya bajeti ndo watakuelewa ila kwa sisi watziii wengi wetu tunaamini kuwa ni poa tu kwa Matumizi kuzidi Mapato.

Maana ndo ukweli ulivyo utakuta mtu analipwa laki nane take home na anakaa nyumba ya laki tatu na daily Toyo kwenda na kurudi bado kula na gharama zingine za hapa na pale na bado maisha yanasonga tu.....

Hii ndo uhalisia wetu ila kwa wenzetu hakunaga hizi mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingawa haijawekwa rasmi au wazi, nimepenyezewa habari kutoka ndani ya kiwanda Jana jioni, kwamba, muwekezaji na tajiri namba moja Barani Afrika, Ndg. Aliko Dangote anaelekea kusimamisha kazi zake Tanzania au kulifunga kabisa kwanda cha sementi kilichojengwa mkoani Mtwara. Haya ni baada ya gharama ZA uendeshaji kuwa kubwa sana, na pia baada ya serikali kusitisha uagizaji wa makaa ya mawe kutoka nje, kwa madai kwamba kuna makaa ya mawe ya kutosha nchini.

Gharama ZA nishati zimekuwa kubwa mno. Kwa sasa kiwanda hicho kinatumia genereta na makaa kidogo ya mawe yaliyoagizwa kutoka nje ambayo nayo yanaelekea kuisha. Ahadi ZA mtukufu rais hazitekelezeki leo, huku TRA ikiwa imewakaba koo watendaji wa kiwanda hicho. They need money my friend, we are running lossess , we cant continue operating. We must close the plant. Can't transport coal from Songea, that's too far and too expensive, until they build railroad tommorrow

Watanzania tukaze kamba hali inazidi kuwa mbaya
hahahahah Bawacha bana kwa uongo na kusambaza uongo..... habari yako ikiwa kweli hata kidogo nitaomba Moderator Paw wanipige ban la miezi miwili
 
Mleta mada uwe unafikiri vyema!!
Sasa kama ulivyoandika hapo "can't transport coal from songea to expensive and very far" ina maana kusafirisha makaa kutoka nje na kutoka songea wapi mbali na panapohitaji gharama zaidi?


Sent using Jamii Forums mobile app
Kinachopelekea gharama kuwa kubwa ni usafirishaji pekee.

La hasha, kuna gharama kubwa sana haswa katika uchimbaji kuliko hata usafirishaji. Twenzetu wa naweza kuyatoa south Africa mpaka Ntwara kwa meli ambapo bei ni chee zaidi kwa usafiri maana unafika mzigo wa uhakika na kwa wakati ambayo wa naweza tulia hata kwa mwezi mzima kuliko kuyasubiria hayo malori toka mchuchuma.

Vile vile gharama Ndo zinazodi ongezeka maana ile Tsh 40 kwa kila Lita nayo inazihisu kampuni za uchimbaji, usafirishaji mpaka Mimi na Wewe moja kwa moja katika maisha yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada uwe unafikiri vyema!!
Sasa kama ulivyoandika hapo "can't transport coal from songea to expensive and very far" ina maana kusafirisha makaa kutoka nje na kutoka songea wapi mbali na panapohitaji gharama zaidi?


Sent using Jamii Forums mobile app
Kinachopelekea gharama kuwa kubwa ni usafirishaji pekee.

La hasha, kuna gharama kubwa sana haswa katika uchimbaji kuliko hata usafirishaji. Twenzetu wa naweza kuyatoa south Africa mpaka Ntwara kwa meli ambapo bei ni chee zaidi kwa usafiri maana unafika mzigo wa uhakika na kwa wakati ambayo wa naweza tulia hata kwa mwezi mzima kuliko kuyasubiria hayo malori toka mchuchuma.

Vile vile gharama Ndo zinazodi ongezeka maana ile Tsh 40 kwa kila Lita nayo inazihisu kampuni za uchimbaji, usafirishaji mpaka Mimi na Wewe moja kwa moja katika maisha yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
siziamini hizi tetes japo pia hali ya uzalishaji siku hiz zimekua za kusua sua mara oil com wanawadai mara jinan wazalishaji wenyewe wa umeme hapa dangote nao pia wanawadai, eeh Mungu tunusuru sisi waja wako tutaenda wapi....!!?
 
Ingawa haijawekwa rasmi au wazi, nimepenyezewa habari kutoka ndani ya kiwanda Jana jioni, kwamba, muwekezaji na tajiri namba moja Barani Afrika, Ndg. Aliko Dangote anaelekea kusimamisha kazi zake Tanzania au kulifunga kabisa kwanda cha sementi kilichojengwa mkoani Mtwara. Haya ni baada ya gharama ZA uendeshaji kuwa kubwa sana, na pia baada ya serikali kusitisha uagizaji wa makaa ya mawe kutoka nje, kwa madai kwamba kuna makaa ya mawe ya kutosha nchini.

Gharama ZA nishati zimekuwa kubwa mno. Kwa sasa kiwanda hicho kinatumia genereta na makaa kidogo ya mawe yaliyoagizwa kutoka nje ambayo nayo yanaelekea kuisha. Ahadi ZA mtukufu rais hazitekelezeki leo, huku TRA ikiwa imewakaba koo watendaji wa kiwanda hicho. They need money my friend, we are running lossess , we cant continue operating. We must close the plant. Can't transport coal from Songea, that's too far and too expensive, until they build railroad tommorrow

Watanzania tukaze kamba hali inazidi kuwa mbaya
Nyie ndio wachawi wa maendeleo kwnye hii nchi yetu..Mtafutwe mbanwe P**mbu ...bila hivyo Mtaendelea kuloga Sana
 
Kuagiza makaa ya mawe toka songea ni gharama kubwa lakini kuagiza toka afrika ya kusini ni gharama nafuu!!!! Uongo mwingine hata shetani hajawahi kuufanya! Na aondoke! Hatukuanza maisha baada ya Nangote kuja Tanzania na maisha hayatakoma baada ya Dangote kuondoka Tanzania!


Sent using Jamii Forums mobile app
Pumbavu kabisa! Majitu kutoka mtaa wa Lumumba ndiyo yaliyotufikisha hapa, afu eti kwenu mbinguni. Hivi hujui kusafirisha mzigo kwa neli ni nafuu, mbona hujiulizi gharama ya kusafirisha gari kwa meli toka Japan ni dollar 200 hadi 400?
Kuna kitu amazing Magufuli anataka kutufanyia ila kelele za kushangilia zitakapotulia ndio tutaelewa.

Yaani kizungu tuseme, anatu 'backdate '


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwekezaji mkubwa lakini walishindwa kuforecast running costs na kinachotokea ni kutafuta public sympathy ili wapewe favor

Katika plan zao walijua wange-import makaa ya mawe.

Sisi tunawalazimisha watumie makaa yetu, ambayo gharama hadi kufikishwa kiwandani ni kubwa.

Sidhani kama tatizo ni wao kushindwa Ku forecast.
 
Hivi huwa mnapata faida gani mnapoleta uongo wa aina hii

Unajificha kwenye neno tetesi ili kueneza uongo.

Unafaa kupigwa ban ya mwaka kwa sababu unafanya hisa za dangote zishuke kwenye soko la hisa kwa sababu ya kueneza uongo.
Mkuu huyo mleta maada ni mkenya asaikupe presha.Huwa sijui kwa nini anapenda kushinda majukwaa ya Jamii forums la siasa zetu anaacha kwenda kwenye jukwaa la wakenya wenzie wakamenyane na siasa zao za kikabila za wakikuyu na wajaluo.Na siku zote akiandika huandika uzushi dhidi ya serikali
 
Makaa kutoka nje gharama ya usafirishani ni ndogo kuliko kutoka Songea to Mtwara?

Sent using Jamii Forums mobile app
That's why I am wondering concerning the issue

2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
 
Wenzetu haooo
69994686aa6aae6a7d43d011225fe45a.jpg
 
Nawaza kwamba watanzania wangap watapotez ajira zao na faida za uwekezaji wake tutazipoteza
Haya yalitarajiwa kufika kwa mazingira mabovu yaliyojitokeza ya kuwekeza tanzania kwa sasa

Maelekezo na Maamuzi kutoka Juu
Nashukuru si kitu halisi maana ungekuwa huwazi ingekuwa balaa

2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
 
Huu Uchochezi Nina Hakika Mleta Mada Hutaki Viwanda Wewe Hapo Sasa Wakija Ccm Wenyewe Ndiyo Watakavyosema
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom