Danguro jipya laibuka Mbezi Mwisho, wapangaji wahamishwa kupisha biashara

Ma
Eneo lenye makahaba ujue kuna wanunuzi!!
 
Umenena vyema mkuu! Hali ni mbaya sana
 
Shukrani mzee. Hapo hapanifai. Nakomaa na Riverside na Sinza.
 
Hata wizi na mauaji yalikuwepo tangu Yesu yupo, ila haviwezi kuhalalishwa sababu eti vipo dunia nzima na havitakwisha. Ukahaba prostitution ni kosa la jinai kwa mujibu wa sheria za Tz na washughulikiwe kama wahalifu wengine panya road. Msilete hoja za kuhalalisha maovu ktk jamii.
 
Ukahaba wanaoweza kupelekea ukahalalisha ni Feminist. Hata ulaya ulipingwa mno kama ilivyotokea kwa pregnancy r termination tu. Kuna muda ukifika hili la ukahaba litabeba picha kama hii ya kamari Kwa Sasa (KUBETI). TULIPE mda tu
 
Oy picha zipo wapi?
 
Time will tell
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…