Danguro jipya laibuka Mbezi Mwisho, wapangaji wahamishwa kupisha biashara

Danguro jipya laibuka Mbezi Mwisho, wapangaji wahamishwa kupisha biashara

Mambo mawili kwenye uzi huu:
  1. Kutoa taarifa ya kuwepo kwa danguro ni kama kutangaza tu hiyo biashara
  2. Njia pekee ya uhakika ya kuua biashara ya madanguro ni kuacha kununua. Kama hamtaki madanguro msinunue makahaba, wakiona haina soko wataacha tu
Kwahiyo badala ya kukemea muuzaji, hebu pambaneni na wanunuzi. Fanyeni yatakayowasababisha wasihitaji wala wasiitake hiyo huduma. Wakiacha kununua na biashara itafia hapo, wauzaji watabuni biashara nyingine. Changamoto hata kwa wasomi na watafiti iwe kujibu swali hili: kwanini watu wananunua ngono? Majibu yatakayopatikana yasaidie kutatua hizo changamoto za wanunuzi ili waache kununua.
 
Wakuu

Kwa sasa hili jiji la Dar kila kona hali imeharibika, biashara ya ukahaba imekithiri kwelikweli mpaka kwenye maeneo ambayo hayakufikirika kama siku moja kunaweza kuwa na danguro

Madanguro yanaota kama uyoga kila siku na wenye mamlaka wamekaa kimya as if haya madanguro hayaonekani, hii ni kero kubwa kwa wakazi wa maeneo husika hasa katika makuzi na malezi ya watoto kwani madanguro hayo yanapatikana katika makazi ya watu

Kwa sasa kuna DANGURO kuuubwa limetengezwa maeneo ya Mbezi Mwisho, wananchi na wapangaji wa eneo lile walipewa notsi kuachia vyumba vyao kupisha biashara ya ukahaba

Kwa sasa danguro limekuwa kubwa mno, baa ya lubumbashi na Kwa GOD zimekuwa chachu ya ukahaba huu

Imagine lile eneo lote kati ya kwa god na lubumbashi, zile nyumba za kati zote ni madanguro
Eneo lile saa 1 jioni tu makahaba yamejaa wala hayaogopi kitu

Serkali na jeshi la polisi tunaomba danguro hili lisambaratishwe
polisi wafanye nini.Jamii ifunze maadili.

kama watu wa kuwanunua hawatoenda,hakuna mtu atakaa hapo kuuza nyapu.Kwahiyo wanaume wasinunue maku.

Hata ukienda kuwafurusha hapo watarudi tena,demand ni kubwa tatizo halipo kwao tu.

hiyo ni biashara kongwe toka enzi za manabii mpaka sasa!
 
polisi wafanye nini.Jamii ifunze maadili.

kama watu wa kuwanunua hawatoenda,hakuna mtu atakaa hapo kuuza nyapu.Kwahiyo wanaume wasinunue maku.

Hata ukienda kuwafurusha hapo watarudi tena,demand ni kubwa tatizo halipo kwao tu.

hiyo ni biashara kongwe toka enzi za manabii mpaka sasa!
Mbezi imechangamka sana kwenye ufuska toka tunapata viajira 2013.
Maana mabinti wengi wa Singidani na Kilimanjaro ndiko wanakofikia kwa ndugu zao
 
Mhhh piga ua garagaza kimboka buguruni chaaa hatari sana watu uchi saa mojaa asee🥸 pale Kuna matusi balaa sio ya nchi hii na usiende kama una roho
 
Four Two reporting...... Informant spotted....do you copy?
Suspect appears to deliver dangerous information for the wrong reasons. Over.
 
Yani hapo ndio umetangaza Biashara kaka, umewafumgulia njia.

Du!!!!
Tuwape watoto wetu Elimu.
Unazaa mtoto unashindwa kumlea anakuwa kahaba jamani Dahhhh inauma sana
 
Yani hapo ndio umetangaza Biashara kaka, umewafumgulia njia.

Du!!!!
Tuwape watoto wetu Elimu.
Unazaa mtoto unashindwa kumlea anakuwa kahaba jamani Dahhhh inauma sana
Kajala, Wema Sepetu, Irene Uwoya, Vicky Kamata, nk...orodha ni ndefu wanajua kusoma na kuandika tu?
 
Wakuu

Kwa sasa hili jiji la Dar kila kona hali imeharibika, biashara ya ukahaba imekithiri kwelikweli mpaka kwenye maeneo ambayo hayakufikirika kama siku moja kunaweza kuwa na danguro

Madanguro yanaota kama uyoga kila siku na wenye mamlaka wamekaa kimya as if haya madanguro hayaonekani, hii ni kero kubwa kwa wakazi wa maeneo husika hasa katika makuzi na malezi ya watoto kwani madanguro hayo yanapatikana katika makazi ya watu

Kwa sasa kuna DANGURO kuuubwa limetengezwa maeneo ya Mbezi Mwisho, wananchi na wapangaji wa eneo lile walipewa notsi kuachia vyumba vyao kupisha biashara ya ukahaba

Kwa sasa danguro limekuwa kubwa mno, baa ya Lubumbashi na Kwa GOD zimekuwa chachu ya ukahaba huu.

Imagine lile eneo lote kati ya kwa god na lubumbashi, zile nyumba za kati zote ni madanguro
Eneo lile saa 1 jioni tu makahaba yamejaa wala hayaogopi kitu

Serikali na Jeshi la polisi tunaomba danguro hili lisambaratishwe
mkuu, tafuta pesa, jenga nyumba. kupewa notisi kufukuzwa na mwenye nyumba naona umekuja mojakwamoja. hata hivyo, sitetei ukahaba.
 
Hayo maeneo kuna ka mwinuko kupanda juu kuelekea Mbezi sokoni ukikata mkono wa kulia hiyo njia ukinyoosha nayo kuna saloon,mafundi viatu vya kimasai.....aisee!!!
Nilipita hiyo mitaa mida ya saa kumi na mbili jioni kulikuwa na kabaridi baridi nikakuta mstari mrefu wa makahaba wanauza tukutuku sura zimepauka sana kwa umaruhuni.... Basi kimoja kikaniambia mambo nikajibu kimyaa nikapita zangu chap....hiyo mitaa ni shida biashara ni asubuhi.
Sasa hivi hadi hapo Mbezi standi ya mkoa wanajiuza makahaba wengi tu tena hadhaarani huku wafanyabiashara wakiendelea na shughuli zao wengi ni wateja wa madereva daladala na makonda.....Dar ndio Mji wenye laana zote Tanzania si mahali salama kwa malezi ya watoto hasa maeneo ya uswazi.
 
Wakuu

Kwa sasa hili jiji la Dar kila kona hali imeharibika, biashara ya ukahaba imekithiri kwelikweli mpaka kwenye maeneo ambayo hayakufikirika kama siku moja kunaweza kuwa na danguro

Madanguro yanaota kama uyoga kila siku na wenye mamlaka wamekaa kimya as if haya madanguro hayaonekani, hii ni kero kubwa kwa wakazi wa maeneo husika hasa katika makuzi na malezi ya watoto kwani madanguro hayo yanapatikana katika makazi ya watu

Kwa sasa kuna DANGURO kuuubwa limetengezwa maeneo ya Mbezi Mwisho, wananchi na wapangaji wa eneo lile walipewa notsi kuachia vyumba vyao kupisha biashara ya ukahaba

Kwa sasa danguro limekuwa kubwa mno, baa ya Lubumbashi na Kwa GOD zimekuwa chachu ya ukahaba huu.

Imagine lile eneo lote kati ya kwa god na lubumbashi, zile nyumba za kati zote ni madanguro
Eneo lile saa 1 jioni tu makahaba yamejaa wala hayaogopi kitu

Serikali na Jeshi la polisi tunaomba danguro hili lisambaratishwe
Wewe utakuwa ni mpangaji ambaye ulikuwa unatembelea kitonga cha kuishi sehemi ambapo huna uwezo wa kulipa kodi.
 
Hilo ni tatizo la KIROHO sio la kimwili!polisi hawatoweza hilo!

Operation ya kiroho inahitajika kuokoa Roho zao!!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
 
Ni tangazo tosha kwa wateja ambao sio na family man, kwa sie mafamilyman halituhusu
 
Back
Top Bottom