Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,828
- 3,579
Mambo mawili kwenye uzi huu:
- Kutoa taarifa ya kuwepo kwa danguro ni kama kutangaza tu hiyo biashara
- Njia pekee ya uhakika ya kuua biashara ya madanguro ni kuacha kununua. Kama hamtaki madanguro msinunue makahaba, wakiona haina soko wataacha tu