Danguro jipya laibuka Mbezi Mwisho, wapangaji wahamishwa kupisha biashara

Danguro jipya laibuka Mbezi Mwisho, wapangaji wahamishwa kupisha biashara

Mbezi mwisho njia panda ya goba, ulizia kwa god
Ooh hiyo bar nishaijua nilishawahi kupita huko miezi kadhaa nyuma sema sikujua jina lake tu ni sehemu pamechangamka sana opposite kuna lodge zinaangaliana na hiyo bar then kwa nje ya bar niliona wadada wamekaa wanapiga stori,kumbe walikuwa kwenye mawindo hapo mimi sikuelewa.
 
Mleta mada utapata faida gani hili chimbo likipigwa stop?

Unapigwa miti wewe?

Wacha wateja tuendelee kujisevia, hawa watu ni muhimu sana yaani nikiwa na buku 5 kwa hapo mbezi nachakata mbususu tena yenye viwango saaafi

Hapa mjini kila mtu anamishe zake, wacha kupangia watu nini wafanye
 
Mleta mada utapata faida gani hili chimbo likipigwa stop?

Unapigwa miti wewe?

Wacha wateja tuendelee kujisevia, hawa watu ni muhimu sana yaani nikiwa na buku 5 kwa hapo mbezi nachakata mbususu tena yenye viwango saaafi

Hapa mjini kila mtu anamishe zake, wacha kupangia watu nini wafanye
Ana promote hana lolote, watu kibao waliokuwa hawapajui wamepajua na biashara itashamiri kuliko zamani.
 
Sasa yataniumiza vipi wakati hayo ni maneno tu.... Nilitaka nimalizie kama ya kwenye kanga nikajua utachukia kwamba nadharau maandiko.

2 Timotheo 3:16-17​

Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki; ili mtu wa Mungu awe kamili, amekamilishwa apate kutenda kila tendo jema.
 

2 Timotheo 3:16-17​

Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki; ili mtu wa Mungu awe kamili, amekamilishwa apate kutenda kila tendo jema.
Tutajuaje kwamba hili andiko lina pumzi ya Mungu, na kwamba sio maneno tu ya Paulo kwenda kwa Timoteo?
 
wanaojiuza ndugu zako? unawajua? kinakuuma nn watu waningiza hela zao wenye nyumba wanapiga pesa nzuri kuliko za wapangaji. mambo mengine yaache kama yalivyo sio kwamba mamlaka hazioni ila kila siku pilisi wana kibunda chao pale ndo maana huoni wakisumbua ww kama unaumia sana hamia kaburini hutaona ya dunia
 
Tutajuaje kwamba hili andiko lina pumzi ya Mungu, na kwamba sio maneno tu ya Paulo kwenda kwa Timoteo?

Mathayo 12:36-37​

Basi, nawaambia, Kila neno lisilo maana, watakalolinena wanadamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu. Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.
 

Mathayo 12:36-37​

Basi, nawaambia, Kila neno lisilo maana, watakalolinena wanadamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu. Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.
Swali langu ni hivi, tutajuaje kwamba haya ni maneno ya Mungu, na wala siyo ya Mathayo tu ametoka zake kuvua samaki akaamua kujiandikia tu?
 
Swali langu ni hivi, tutajuaje kwamba haya ni maneno ya Mungu, na wala siyo ya Mathayo tu ametoka zake kuvua samaki akaamua kujiandikia tu?

KUJUA HILI NI NENO LA MUNGU INATOKANA NA IMANI YAKO. VINGINEVYO UWE TAYARI KUFUNDISHWA NA WENYE IMANI ZAO


MITHALI 30: 5-6
5 Kila neno la Mungu limehakikishwa; Yeye ni ngao yao wamwaminio.
6 Usiongeze neno katika maneno yake; Asije akakulaumu, ukaonekana u mwongo.

KUMBUKUMBU 12: 32
32 Neno niwaagizalo lo lote liangalieni kulifanya; usiliongeze, wala usilipunguze.
 
KUJUA HILI NI NENO LA MUNGU INATOKANA NA IMANI YAKO. VINGINEVYO UWE TAYARI KUFUNDISHWA NA WENYE IMANI ZAO


MITHALI 30: 5-6
5 Kila neno la Mungu limehakikishwa; Yeye ni ngao yao wamwaminio.
6 Usiongeze neno katika maneno yake; Asije akakulaumu, ukaonekana u mwongo.

KUMBUKUMBU 12: 32
32 Neno niwaagizalo lo lote liangalieni kulifanya; usiliongeze, wala usilipunguze.
You are beating around the bush and am afraid we gonna waste a lot of time, let me try again;

Ndio maana ninauliza, ili nifundishwe na nyie wenye imani zenu, unajuaje ni maneno ya Mungu na si utunzi wa watu tu?
 
You are beating around the bush and am afraid we gonna waste a lot of time, let me try again;

Ndio maana ninauliza, ili nifundishwe na nyie wenye imani zenu, unajuaje ni maneno ya Mungu na si utunzi wa watu tu?

Wewe unajuaje sio ya Mungu 😃😃😃!?
 
Back
Top Bottom