Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
Katibu mkuu wa CCM bwana Chongolo amesema anateswa na hotuba za viongozi wa Chadema kwenye majukwaa kwani hazina tija yoyote kwa wananchi.
Bwana Chongolo amesema ukiwasikiliza viongozi wa Chadema kwenye hotuba zao kuanzia mwanzo mpaka mwisho hawataji mahitaji muhimu kwa wananchi kama hospital, barabara, maji, umeme, shule, kilimo, utalii, viwanda etc wao huwa ni kuhubiri matumaini hewa na kutukana viongozi waliopita ambao wamelifanyia makubwa taifa hili, mbaya zaidi wanatukana hadi wananchi waliojiajiri kihalali kabisa.
Bwana Chongolo amewataka wananchi kuwapuuza Chadema duniani na mbinguni kwani ni wapuuzi wasiojielewa kabisa.
Bwana Chongolo amesema ukiwasikiliza viongozi wa Chadema kwenye hotuba zao kuanzia mwanzo mpaka mwisho hawataji mahitaji muhimu kwa wananchi kama hospital, barabara, maji, umeme, shule, kilimo, utalii, viwanda etc wao huwa ni kuhubiri matumaini hewa na kutukana viongozi waliopita ambao wamelifanyia makubwa taifa hili, mbaya zaidi wanatukana hadi wananchi waliojiajiri kihalali kabisa.
Bwana Chongolo amewataka wananchi kuwapuuza Chadema duniani na mbinguni kwani ni wapuuzi wasiojielewa kabisa.