Daniel Chongolo: Hotuba za viongozi wa CHADEMA hazina tija kwa wananchi

Daniel Chongolo: Hotuba za viongozi wa CHADEMA hazina tija kwa wananchi

Hukumbuki hata kumiliki hiyo simu na kutuma ujumbe hapa kama hayo yoyote na mafanikio ya CCM Kwa miaka 60. Kwanza umedanganyaaa, hakuna watu wanaokunywa topeee
HATA KICHAA ANAJUA WATU WANAKUNYWA MAJI YA TOPE
 
Unaposema CCM hajafanya chochote, inaonesha hujui historian ya hiii nchi
Mkuu Ujamaa ni Mhimu, lakini umetupa wapi Azimio la Arusha? Maana utekelezaji wa huo UJAMAA ni lazima Azimio la Arusha liwepo. Ebu landana na jina lako.
 
Hajui hao jamaa kwa sasa ni CCM B?

Analikandia tawi lao?
 
Mkuu Ujamaa ni Mhimu, lakini umetupa wapi Azimio la Arusha? Maana utekelezaji wa huo UJAMAA ni lazima Azimio la Arusha liwepo. Ebu landana na jina lako.
Azimio la Arusha lingali hai, ukitaka kuliona ni huuu mwendelezo wa sera ya UJAMAA. chama Cha mapinduzi ambacho ni mtekerezaji mkuu wa ujamaa, kingali Bado kinafanya KAZI Kwa mjibu wa sera ya UJAMAA.

YAFUATAYO ni matendo yanayo fanyika dhahiri Kwa mjibu wa ujamaa,

Sera ya UJAMAA na kujitegemea inaaamini hasa katika mgawanyo sawa wa maendeleo Kwa wote. Mfano, Leo hiii ukiona barabara inajengwa Moshi basi utakuta barabara hiyohiyo inajengwa sumbawanga ambapo yanakuwa nimatokeo ya makusanyo bajeti yaliyotokana na wananchi wenyewee. Pia huduma zote za jamii husambazwa Kila pahala ambapo Pana raia wa kitanzania kwani naye Kwa mjibu wa ujamaa, anastahiri huduma hiyooo. Kama sio ujamaa, huenda ungekuta maendeleo yanakuwa na ubaguzi wa hali ya juuu.

Hivyo basi sera ya UJAMAA ni MUHIMU Kwa sababu kunakuwa na mgawanyo sawa wa maendeleo Kwa wote bila ubaguziiii.


Tuwapuuze watu wanaohuniri sera za majimbo na kusema Kila mkoa ujitegemee kutoka a na rasilimali zao, wakisahau yakwamba Kuna baadhi ya mikoa hata ukipanda mahindi hayaotii. Sasa hao wataishije kama tukiacha UJAMAA?? Hivyo tuipongeze CCM Kwa kuwa na sera nzuri ya UJAMAA.
 
Makonda yukwapi amwambie wewe! wewee! nyamaza!! Chongo lo hana mvuto kisiasa hana ushawishi wowoote bora nimskize chidibenzi kuliko yeye
 
Azimio la Arusha lingali hai, ukitaka kuliona ni huuu mwendelezo wa sera ya UJAMAA. chama Cha mapinduzi ambacho ni mtekerezaji mkuu wa ujamaa, kingali Bado kinafanya KAZI Kwa mjibu wa sera ya UJAMAA.

YAFUATAYO ni matendo yanayo fanyika dhahiri Kwa mjibu wa ujamaa,

Sera ya UJAMAA na kujitegemea inaaamini hasa katika mgawanyo sawa wa maendeleo Kwa wote. Mfano, Leo hiii ukiona barabara inajengwa Moshi basi utakuta barabara hiyohiyo inajengwa sumbawanga ambapo yanakuwa nimatokeo ya makusanyo bajeti yaliyotokana na wananchi wenyewee. Pia huduma zote za jamii husambazwa Kila pahala ambapo Pana raia wa kitanzania kwani naye Kwa mjibu wa ujamaa, anastahiri huduma hiyooo. Kama sio ujamaa, huenda ungekuta maendeleo yanakuwa na ubaguzi wa hali ya juuu.

Hivyo basi sera ya UJAMAA ni MUHIMU Kwa sababu kunakuwa na mgawanyo sawa wa maendeleo Kwa wote bila ubaguziiii.


Tuwapuuze watu wanaohuniri sera za majimbo na kusema Kila mkoa ujitegemee kutoka a na rasilimali zao, wakisahau yakwamba Kuna baadhi ya mikoa hata ukipanda mahindi hayaotii. Sasa hao wataishije kama tukiacha UJAMAA?? Hivyo tuipongeze CCM Kwa kuwa na sera nzuri ya UJAMAA.
Mkuu hayo yote uliyoelezea sio maudhui ya AZIMO LA ARUSHA. Nadhani ni vyema ukaenda kujifunza na ukajua nini kilichopo ndani yake. Haya unayoelezea ni sawa na kudandia garimoshi kwa mbele.
 
Mkuu hayo yote uliyoelezea sio maudhui ya AZIMO LA ARUSHA. Nadhani ni vyema ukaenda kujifunza na ukajua nini kilichopo ndani yake. Haya unayoelezea ni sawa na kudandia garimoshi kwa mbele.
Kikubwa ujumbe umepata, ila umeamuakuchagua ubishi. Hayaa Kaa Ivo ivooo
 
Kwahiyo tija ipo kwenye hotuba zake akitaka watu eti wenye degree waende VETA
 
Back
Top Bottom