Hii ndio siasa Muraaa,inaweza kuwa zinawaingia wananchi moyoni kuliko zile za miaka 60,toka uhuru🤔Muulize hizo za CCM zimesaidia nini? miaka 60 plus baada ya uhuru watu wanakunywa maji ya tope kama wanyama, wanafunzi wanakaa chini hapana madawati?
Kweli hapo ufipa ni majinga sanaKatibu mkuu wa CCM bwana Chongolo amesema anateswa na hotuba za viongozi wa Chadema kwenye majukwaa kwani hazina tija yoyote kwa wananchi.
Bwana Chongolo amesema ukiwasikiliza viongozi wa Chadema kwenye hotuba zao kuanzia mwanzo mpaka mwisho hawataji mahitaji muhimu kwa wananchi kama hospital, barabara, maji, umeme, shule, kilimo, utalii, viwanda etc wao huwa ni kuhubiri matumaini hewa na kutukana viongozi waliopita ambao wamelifanyia makubwa taifa hili, mbaya zaidi wanatukana hadi wananchi waliojiajiri kihalali kabisa.
Bwana Chongolo amewataka wananchi kuwapuuza Chadema duniani na mbinguni kwani ni wapuuzi wasiojielewa kabisa.
Ila mkumbilia Ubelgiji ndiyo ana fit?Ila Chongolo naye kapata uongozi kimzaha. Sioni kama unafit hapo alipo.
HahahahaIla mkumbilia Ubelgiji ndiyo ana fit?
Mkuu, kwa nionavyo ana fit. Ila nadhani atakuwa karibu sana na CAG na TAKUKURU. Watumishi wa Umaa wa Serikali itabidi wazijue sheria zao za utumishi wa Umaa. Kwa ujumla SHERIA itasimama, ita-tamalaki kila eneo. Hivyo kwa wale wasiofuata taratibu, kanuni za msingi wa sheria watapata shida sana. Kwa mantiki hiyo, wavunja sheria hawata mpenda.Ila mkumbilia Ubelgiji ndiyo ana fit?
Huna akili kabisa, yani mtu amejibanza kwenye geto la Amsterdam alafu afit kuwa rais wa Tanzania?Mkuu, kwa nionavyo ana fit. Ila nadhani atakuwa karibu sana na CAG na TAKUKURU. Watumishi wa Umaa wa Serikali itabidi wazijue sheria zao za utumishi wa Umaa. Kwa ujumla SHERIA itasimama, ita-tamalaki kila eneo. Hivyo kwa wale wasiofuata taratibu, kanuni za msingi wa sheria watapata shida sana. Kwa mantiki hiyo, wavunja sheria hawata mpenda.
We wasemaChongolo hajui kwamba sasa CCM na Chadema ni kitu Kimoja?