Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha nimecheka kama bwege Aiseeee dah! Ila ukikuta MTU Yuko CCM ujue huyo MTU ana ujasiri wa ajabu saaaana!
TRAB na TRAT
Hivi ulimsikia Vizuri???! Leta video nzima toka alivyoanza kuzungumzaVideo | Daniel Chongolo: Mkataba Unahusisha Bandari zote, za Bahari na Maziwa Makuu Zote
View attachment 2689529
Nawashangaa eti Rafiki! Watu hawajui Kabisa DPW ni mkombozi wetu! Au nasema uongo ndugu yangu?;Sasa nyie ndiyo kwanza mnayajuwa hayo?
Mmelala?
Yote sawa tu, Kiswahili kifupi.Je nichague jibu lipi kati ya haya:
a- Ni makubaliano,
b- Si Mkataba,
c- Ni mkataba,
Muache Rafiki yangu, ataweka link ya bandiko refuuu lisilo hata na uhusiano!Je nichague jibu lipi kati ya haya:
a- Ni makubaliano,
b- Si Mkataba,
c- Ni mkataba,
Kwahio zile posts zako tulizokua tunajibishana Mimi na wewe Leo unazikana? Au umesahau? Tufukue makaburi?Yote sawa tu, Kiswahili kifupi.
Naam, ninaelewa kiswahili kina changmoto zake.Yote sawa tu, Kiswahili kifupi.
Tumia lugha iliyopo kwenye mkataba. Ndiyo inayotumika kisheria.
Tena tukitumia ule wa tafsiri yao ya Kiarabu, itabidi utumie neno ndoa.
Nizikane nini sasa?Kwahio zile posts zako tulizokua tunajibishana Mimi na wewe Leo unazikana? Au umesahau? Tufukue makaburi?
Agreement.Naam, ninaelewa kiswahili kina changmoto zake.
Weka neno lako hapa, ili tujifunze zaidi.
"Kisheria, tunasema kila mkataba ni makubaliano, lakini sio kila makubaliano ni mkataba. Iko hivi, mkataba unakidhi matakwa yote ya kisheria, kama vile kuwa na maandishi, kuwa na pande mbili au zaidi zenye nia ya kisheria, kuwa na lengo halali na kuwa na ubadilishaji wa thamani.
Nikupe mfano, mimi na wewe tukikubaliana tuingie ubia wa kuuza magari, huu utaitwa mkataba kwasababu kuuza magari ni biashara halali, ili mradi tu tuzingatie sheria za nchi.
Lakini, makubaliano ni mikataba ambayo sheria na kanuni zake zinatawaliwa nje ya mfumo wa sheria mara nyingi, kwa sababu kuna makubaliano ya tabia nzuri ambayo yanaweza kuchukuliwa na umuhimu au uzito wa mkataba. Makubaliano hayo yanaweza kuzingatiwa kila siku, kwani watu kawaida huyatumia kufafanua masharti kuhusu shughuli ambayo inahitaji juhudi za pamoja kuzitimiza.
Kwa mfano, mimi na wewe tukikubaliana tuingie ubia wa kuuza madawa ya kulevya, huu hauwezi kuwa mkataba kwasababu kuuza madawa ya kulevya ni kosa kisheria, kwahiyo katika muktadha huu tutakuwa tumekubaliana tu lakini hatujaingia mkataba.
Kwa hiyo, tofauti ni kwamba mkataba una nguvu ya kisheria na unaweza kutumika katika mahakama ikiwa pande moja itavunja masharti yake, lakini makubaliano hayana nguvu hiyo na yanategemea imani na uaminifu wa pande zinazohusika."