Deshbhakt
JF-Expert Member
- Jan 22, 2008
- 403
- 204
Na Tanzania uses the very British law modules and systems...Nyie mnabishana kijinga. IGA ipo Kingerea, itatafsiriwa kwa sheria za Kingereza kama kuna utata.
Nchi zote mbili zinalindwa na sheria ya Kimataifa ya Umoja wa Mataifa.
Sheria msumeno. Mnafikiri zipo kwa upande wa Tanzania tu?