dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Huyo s amezibaa vyeti vya mdg ake kujiendeleza kimasomo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ama kabisa au siyo? Wanajifanya watakatifu sana kumbe?Mithali 29:12 SRUV
Mwenye kutawala akisikiliza uongo; Basi watumishi wake wote watakuwa waovu.
ukisema twende hivi hatufikiama kabisa au siyo? Wanajifanya watakatifu sana kumbe?
Argentina: Kiongozi wa Kanisa mahakamani kwa kuwanyanyasa kijinsia wanaume
Argentine court starts trial of Catholic bishop accused of sexual abuse By Agustin Geist BUENOS AIRES, Feb 21 (Reuters) - The trial of a Roman Catholic bishop accused of sexually abusing young men in northern Argentina will start on Monday, in the latest court case to highlight allegations of...www.jamiiforums.com
Sikubaliani na Mkataba..
F****k technology
Nikajua kaongea kuhusu article ambazo zina ukakasi kweny mkataba 🤣🤣🤣🤣, kumbe porojo za kichama.Swala la Bandari ni la CCM siyo la Mtu Binafsi
Sentence Moja tu iliyonyooka imefunga mjadala
Unakuta tena Kigwangalla anataka kuongea na Waandishi wa habari, huo Siyo Utaratibu wa chama
Mungu wa mbinguni mbariki Komredi Chongolo!
Mwanasheria mbobevu Hamza alishaufafanua mkatabaNikajua kaongea kuhusu article ambazo zina ukakasi kweny mkataba 🤣🤣🤣🤣, kumbe porojo za kichama.
Ticts hawakupewa bandari yote walipewa baadhi y gate tu. Alafu ni wazawa walizingua wamezinguliwa. Hao DP world wakizingua tutawaweza na wanasheria wetu kina johari? Acheni utani. Wapeni DP world iliyokua Ticts basi ata wakikaa miaka mia kenda poa tu
Kitamkuta kilichomkuta Mabina.Video | Daniel Chongolo: Mkataba Unahusisha Bandari zote, za Bahari na Maziwa Makuu Zote
View attachment 2689529
Still wakuu wanazid kuja kujitetea public while mwanasheria nguli hamza kashatolea ufafanuzi!! Hii ngoma mpaka itoke na nyama walah 🤣🤣🤣Mwanasheria mbobevu Hamza alishaufafanua mkataba
CCM ni chama kikubwa kinamiliki Dola tofauti na vyama Mbadala akina Chadema &co 😂😂
Walijiongeza tu si unajua tena tekiniki za CHAWA 😂😂Hivi nani aliwapa mchongo wakina kitenge zembwele steve nyerere watoe elimu kuhusu mkataba wa bandari [emoji1] kama pesa wamewapa za bure
Ova
Ndio Komredi Chongolo kafunga Mjadala!Still wakuu wanazid kuja kujitetea public while mwanasheria nguli hamza kashatolea ufafanuzi!! Hii ngoma mpaka itoke na nyama walah 🤣🤣🤣
Mkuu wengi wapo ccm kwa sababu ya njaa.Hahahahaha nimecheka kama bwege Aiseeee dah! Ila ukikuta MTU Yuko CCM ujue huyo MTU ana ujasiri wa ajabu saaaana!
DP wamepewa bandari mzima?.Unahakika kuhusu hilo statement??Ticts hawakupewa bandari yote walipewa baadhi y gate tu. Alafu ni wazawa walizingua wamezinguliwa. Hao DP world wakizingua tutawaweza na wanasheria wetu kina johari? Acheni utani. Wapeni DP world iliyokua Ticts basi ata wakikaa miaka mia kenda poa tu