mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
[emoji1]Walijiongeza tu si unajua tena tekiniki za CHAWA [emoji23][emoji23]
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1]Walijiongeza tu si unajua tena tekiniki za CHAWA [emoji23][emoji23]
Mleta mada hivi zembwela nae wa kumsikiliza kabisa yule mchumia tumbo na anamengi hajui mfuata mkumbo tuSwala la Bandari ni la CCM siyo la Mtu Binafsi
Sentence Moja tu iliyonyooka imefunga mjadala
Unakuta tena Kigwangalla anataka kuongea na Waandishi wa habari, huo Siyo Utaratibu wa chama
Mungu wa mbinguni mbariki Komredi Chongolo!
Hakuna articles zenye ukakasi kila kifungu kimeelezewa na kueleweka vyema.Nikajua kaongea kuhusu article ambazo zina ukakasi kweny mkataba 🤣🤣🤣🤣, kumbe porojo za kichama.
Hivi huu mkataba uliandaliwa na nani? Watanzania au waarabu?Swala la Bandari ni la CCM siyo la Mtu Binafsi
Sentence Moja tu iliyonyooka imefunga mjadala
Unakuta tena Kigwangalla anataka kuongea na Waandishi wa habari, huo Siyo Utaratibu wa chama
Mungu wa mbinguni mbariki Komredi Chongolo!
Chongolo tia tu petroli tuujue UKWELI wote.Hatimae CCM imekiri kuwa Mkataba utahusu BANDARI za BAHARI na MAZIWA Makuu yote
Wakati walidai ni Bandari ya DSM tu
Ccm oyeeeView attachment 2689603
Ila nchi hii tumekuwa mapumbavu sana! Yaani mnaenda kunyofoa kipande kidogo cha kuhalalisha umbumbu wenu? Hebu wekeni badi clip nzima! Hapo alikuwa anawajibu wachochezi kwamba wanasema bandari zote zimebinafsishwa ndipo wakaanza kuzitaja, msitufanye hatuna akili sisi umbwa nyie! Kwa taarifa yenu DP world lazima achukue sehemu ya bandari ya Dar mtake msitake!Video | Daniel Chongolo: Mkataba Unahusisha Bandari zote, za Bahari na Maziwa Makuu Zote
View attachment 2689529
Sasa walikuwa wanabisha niniVideo | Daniel Chongolo: Mkataba Unahusisha Bandari zote, za Bahari na Maziwa Makuu Zote
View attachment 2689529
Nchi hii tumejaza mitakataka sisi tunasema tuna watu! Wameenda kukata kipande kidogo tu kutuhadaa!Hivi ulimsikia Vizuri???! Leta video nzima toka alivyoanza kuzungumza
Wahuni Wametupiga Chuma Utosini Damu Zinatoka Puani, Mdomoni Na MasikioniKwani si ndio mkataba/makubaliano yanavyosema
Habari za Asubuhi Dada Faiza Foxy. Nakutakia siku njema.Sasa nyie ndiyo kwanza mnayajuwa hayo?
Mmelala?
Wee nae bahasha ishakubebea akili yako mazima!!Hakuna articles zenye ukakasi kila kifungu kimeelezewa na kueleweka vyema.
Acha uhuni, CCM ni cham dumeHahahahaha nimecheka kama bwege Aiseeee dah! Ila ukikuta MTU Yuko CCM ujue huyo MTU ana ujasiri wa ajabu saaaana!
Watanzania hawajui kutofautisha kati ya siasa na facts....Na wabaya wetu ndani na nje ya chama Wana capitalize kwenye mambo ya kihuni kama haya...Ndani ya chama they do not speak what is fact na hao wajanja wanafanya uovu kisha wakija public wanajua hatutakiwi kusema kweli kwakua tunapenda chama chetu....Hii dilemma tulikowekwa naligharimu taifa na kusababisha watu kutojua saa ngapi waseme facts na wakati gani wafanye siasa.Acha uhuni, CCM ni cham dume
Ungejua kwamba naandika haya yote kwa moyo wa uzalendo usingekuja na mawazo haya.Wee nae bahasha ishakubebea akili yako mazima!!