Daniel Chongolo: Siasa sio Uadui, fitina, majungu, ugomvi wala chuki

Daniel Chongolo: Siasa sio Uadui, fitina, majungu, ugomvi wala chuki

Ujumbe huu umfikie spika wa Bunge ambaye pia ni mbunge kupitia chama kongwe CCM.
 
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM-Tanzania Ndg Daniel Chongolo amewataka wana -CCM kupendana na kuthaminiana wakati wote ili kukidhi matamanio na matarajio ya Watanzania kwa Chama na Serikali,

Katika ziara yake ya siku 12 katika mikoa sita Mhe Chongole amewaasa viongozi na wanachama kuwa siasa sio chuki, siasa sio uadui, sio ugomvi wala kufitiniana siasa ni kupendana na kutakiana mema wakati wote

Ccm ilishakufa zaman haipo tena ndo maana wakisikia tunadai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi wanaita hz ni chokochoko wajue katiba mpya ni sasa tunaitaka
 
Yasiwe maneno matupu, Mimi sio Chadema ila Mbowe aachiwe huyo Sabaya alipitiliza unyama wake alistahili kusukiwa mipango.
 
Huwezi kuwatenga raia wengine kisiasa na kuwadhulumu haki zao kinyume na Katiba ya nchi halafu ukasimama hadharani ukahubiri tofauti na mnayotenda CCM na Serikali yenu! Chongolo watanzania sio wajinga
....alijibwabwajia mwendazake
 
Ujumbe huu umfikie spika wa Bunge ambaye pia ni mbunge kupitia chama kongwe CCM.
Ujumbe ni mzuri wasiwasi wangu mlengwa atauelewa? Maana yule bundi pale mjengoni alifanya yake
 
Yasiwe maneno matupu, Mimi sio Chadema ila Mbowe aachiwe huyo Sabaya alipitiliza unyama wake alistahili kusukiwa mipango.
Mbowe ni tumaini la wana mabadiliko wa Tanzania.
 
Wanawekeana suku wenyewe kwa wenyewe aliwahi kusema mzee wetu mswahili.
Hawaachiani glasi za maji ya kunywa.
Hawa jamaa wanachukiana wenyewe kwa wenyewe kuliko wote kwa pamoja wanavyichukia CHADEMA.
Kinachowafanya waonekane wamoja ni kwa sababu wako madarakani.
Nje ya hapo Hawa jamaa ni vita vya wenyewe kwa wenyewe.
 
Hawaachiani glasi za maji ya kunywa.
Hawa jamaa wanachukiana wenyewe kwa wenyewe kuliko wote kwa pamoja wanavyichukia CHADEMA.
Kinachowafanya waonekane wamoja ni kwa sababu wako madarakani.
Nje ya hapo Hawa jamaa ni vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Upo sahihi maana hata mwenyekiti wao alishawahi kusema kabisa kuwa wana ccm kwa sasa hawawezi kuachina glass mezani.
 
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM-Tanzania Ndg Daniel Chongolo amewataka wana -CCM kupendana na kuthaminiana wakati wote ili kukidhi matamanio na matarajio ya Watanzania kwa Chama na Serikali,

Katika ziara yake ya siku 12 katika mikoa sita Mhe Chongole amewaasa viongozi na wanachama kuwa siasa sio chuki, siasa sio uadui, sio ugomvi wala kufitiniana siasa ni kupendana na kutakiana mema wakati wote

😍😍
 
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM-Tanzania Ndg Daniel Chongolo amewataka wana -CCM kupendana na kuthaminiana wakati wote ili kukidhi matamanio na matarajio ya Watanzania kwa Chama na Serikali,

Katika ziara yake ya siku 12 katika mikoa sita Mhe Chongole amewaasa viongozi na wanachama kuwa siasa sio chuki, siasa sio uadui, sio ugomvi wala kufitiniana siasa ni kupendana na kutakiana mema wakati wote

All the best KM wangu
 
Sasa katiba mpya hamuitaki kwanini??
Upinzani mnawanyanyasa yanini?
Tusiubiri tusichoweza kutekeleza!!
Alafuuuu...
Mbolea bei juu
Petrol juu
Mafuta yakula juu
Sukari juu
Nyama juu
Vifaa ujenzi juu
Machinga chini
Wafanyakazi mishahara chini
Biashara chini
Bei za mazao chini
NCHI YA WAKULIMA NA WAFANYAKAZI IMEGEUKA NCHI YA WANASIASA...
 
Sasa katiba mpya hamuitaki kwanini??
Upinzani mnawanyanyasa yanini?
Tusiubiri tusichoweza kutekeleza!!
Alafuuuu...
Mbolea bei juu
Petrol juu
Mafuta yakula juu
Sukari juu
Nyama juu
Vifaa ujenzi juu
Machinga chini
Wafanyakazi mishahara chini
Biashara chini
Bei za mazao chini
NCHI YA WAKULIMA NA WAFANYAKAZI IMEGEUKA NCHI YA WANASIASA...
Umeandika kinyume chake
 
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM-Tanzania Ndg Daniel Chongolo amewataka wana -CCM kupendana na kuthaminiana wakati wote ili kukidhi matamanio na matarajio ya Watanzania kwa Chama na Serikali,

Katika ziara yake ya siku 12 katika mikoa sita Mhe Chongole amewaasa viongozi na wanachama kuwa siasa sio chuki, siasa sio uadui, sio ugomvi wala kufitiniana siasa ni kupendana na kutakiana mema wakati wote

Hili chama kinaishi nje ya muda !
 
Back
Top Bottom