Daniel Chongolo: Siasa sio Uadui, fitina, majungu, ugomvi wala chuki

Daniel Chongolo: Siasa sio Uadui, fitina, majungu, ugomvi wala chuki

kuamini kauli za mwanaccm ni sawa na kuamini binadamu hawaitaji maji kwenye maisha yao!!! ungekua sio uadui msingekua mnaumiza upinzani, msingekua mnabambikia watu kesi msingekua mnawaua wapinzani bila kosa mbowe huyo mmempa kesi ya uongo yaani kama kuna mwanaccm na polisi ataingia mbinguni ujue katoa rushwa. nauhakika magu anaogelea kwenye ule moto wa blue mda huu
 
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM-Tanzania Ndg Daniel Chongolo amewataka wana -CCM kupendana na kuthaminiana wakati wote ili kukidhi matamanio na matarajio ya Watanzania kwa Chama na Serikali,

Katika ziara yake ya siku 12 katika mikoa sita Mhe Chongole amewaasa viongozi na wanachama kuwa siasa sio chuki, siasa sio uadui, sio ugomvi wala kufitiniana siasa ni kupendana na kutakiana mema wakati wote

Pingeni kazi Team, tunawaombea
 
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM-Tanzania Ndg Daniel Chongolo amewataka wana -CCM kupendana na kuthaminiana wakati wote ili kukidhi matamanio na matarajio ya Watanzania kwa Chama na Serikali,

Katika ziara yake ya siku 12 katika mikoa sita Mhe Chongole amewaasa viongozi na wanachama kuwa siasa sio chuki, siasa sio uadui, sio ugomvi wala kufitiniana siasa ni kupendana na kutakiana mema wakati wote

Utafikiri anachoongea ni kweli, Mbowe ni sehemu ya huu upuuzi wenu, mtalipa tu
 
Ujue hapo wanapanga kutuumiza tena, ujue kuna mkakati mwingine hatarishi dhidi yetu wanauandaa kwahio anajikosha Ritz bhana
 
Hakika iliyopita ilikua ni miaka mitano myeusi kwenye siasa za Tanzania. Hatutarudi huko. Tutakua makini kumpa dhamana ya Chama mtu tunaemjua historia ya Utanzania wake na uzowefu wake kwenye utamaduni wa siasa za ndani na nje ya chama
Bado iyo anayo sema ni siasa!! anatupiga za mbavu huyu jamaa!! tena bila aibu kabisaaaa!! wana siasa hayanaga aibu! kubwabwaja tu huku yamejaza mipaja ya kuku matumboni !! anagalia yanavo cheua tyuuu!

bila kuongopa TZ itakuwa Donor country!! siasa haiendi!
 
Hayo maneno alisitahili kuyatamka endapo Hangaya angekuwa amekutana na vyama pinzani na hayo mambo matano
1.Chuki
2.Uhasama
3.Uadui
4.Ugomvi
5.Vita
Ndio wangesema upinzani,sasa anasema mnyanyasaji

Huwezi kuwatenga raia wengine kisiasa na kuwadhulumu haki zao kinyume na Katiba ya nchi halafu ukasimama hadharani ukahubiri tofauti na mnayotenda CCM na Serikali yenu! Chongolo watanzania sio wajinga
....alijibwabwajia mwendazake
 
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM-Tanzania Ndg Daniel Chongolo amewataka wana -CCM kupendana na kuthaminiana wakati wote ili kukidhi matamanio na matarajio ya Watanzania kwa Chama na Serikali,

Katika ziara yake ya siku 12 katika mikoa sita Mhe Chongole amewaasa viongozi na wanachama kuwa siasa sio chuki, siasa sio uadui, sio ugomvi wala kufitiniana siasa ni kupendana na kutakiana mema wakati wote

Kaziiendelee
 
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM-Tanzania Ndg Daniel Chongolo amewataka wana -CCM kupendana na kuthaminiana wakati wote ili kukidhi matamanio na matarajio ya Watanzania kwa Chama na Serikali,

Katika ziara yake ya siku 12 katika mikoa sita Mhe Chongole amewaasa viongozi na wanachama kuwa siasa sio chuki, siasa sio uadui, sio ugomvi wala kufitiniana siasa ni kupendana na kutakiana mema wakati wote

Kazi iendelee kwa Speed hii hii
 
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM-Tanzania Ndg Daniel Chongolo amewataka wana -CCM kupendana na kuthaminiana wakati wote ili kukidhi matamanio na matarajio ya Watanzania kwa Chama na Serikali,

Katika ziara yake ya siku 12 katika mikoa sita Mhe Chongole amewaasa viongozi na wanachama kuwa siasa sio chuki, siasa sio uadui, sio ugomvi wala kufitiniana siasa ni kupendana na kutakiana mema wakati wote

Ngoja tuone kama ni kweli au uongo,
 
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM-Tanzania Ndg Daniel Chongolo amewataka wana -CCM kupendana na kuthaminiana wakati wote ili kukidhi matamanio na matarajio ya Watanzania kwa Chama na Serikali,

Katika ziara yake ya siku 12 katika mikoa sita Mhe Chongole amewaasa viongozi na wanachama kuwa siasa sio chuki, siasa sio uadui, sio ugomvi wala kufitiniana siasa ni kupendana na kutakiana mema wakati wote

KAZIIENDELEE Mr GS, We proud on you,
 
Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.

Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.

Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.



Natangaza rasmi kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan,
 
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM-Tanzania Ndg Daniel Chongolo amewataka wana -CCM kupendana na kuthaminiana wakati wote ili kukidhi matamanio na matarajio ya Watanzania kwa Chama na Serikali,

Katika ziara yake ya siku 12 katika mikoa sita Mhe Chongole amewaasa viongozi na wanachama kuwa siasa sio chuki, siasa sio uadui, sio ugomvi wala kufitiniana siasa ni kupendana na kutakiana mema wakati wote

Mkuu tunakwelewa sana tu
 
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM-Tanzania Ndg Daniel Chongolo amewataka wana -CCM kupendana na kuthaminiana wakati wote ili kukidhi matamanio na matarajio ya Watanzania kwa Chama na Serikali,

Katika ziara yake ya siku 12 katika mikoa sita Mhe Chongole amewaasa viongozi na wanachama kuwa siasa sio chuki, siasa sio uadui, sio ugomvi wala kufitiniana siasa ni kupendana na kutakiana mema wakati wote

Tanzania na Samia,

1.Uchumi Juu,

2. Uwekezaji juu

3. Diplomasia juu

4. Amani & Upendo juu

5. Maendeleo juu

6. Demokrasia juu
 
Back
Top Bottom