Varbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,121
- 885
kuamini kauli za mwanaccm ni sawa na kuamini binadamu hawaitaji maji kwenye maisha yao!!! ungekua sio uadui msingekua mnaumiza upinzani, msingekua mnabambikia watu kesi msingekua mnawaua wapinzani bila kosa mbowe huyo mmempa kesi ya uongo yaani kama kuna mwanaccm na polisi ataingia mbinguni ujue katoa rushwa. nauhakika magu anaogelea kwenye ule moto wa blue mda huu