[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Japo hii ni chai ila ngoja niulize
Asa huyo aliyejenga appartments atahadithia nini wajukuu wake?
Hao ndo wanaokuja kusumbua uzeeni kwao kwa kuruka stage.
Ndo hawa wanafanya baadhi ya wazazi kuanza kuwatupa wanao wa chuo kisa wana mikopo na boom.Ili nyumba ya chumba kimoja,choo,jiko na sebule iishe inakubidi angalau milioni tisa iwe peupe. Huyo mwanachuo hilo bumu lilizidi milioni tisa kwa mwaka hadi akaweza kuendeshea maisha ya chuo na kujenga? Kiwanja alitumia bumu kununulia?
Tunasomesha na tunajenga kwa wakati huo huo,tuache stori za kukatisha tamaa vijana wetu wajione hawakuutendea kazi ya maana mkopo.
Sh. 7,500 kwa siku kwa miaka 3/4 ale na kujenga apatimenti?!!!
Danielo Miaka Ile anasoma UDSM boom lilikuwa 2500 hebu atueleze huyo rafiki yake alijengaje apartments?View attachment 2180867
Mtangazaji maarufu hapa nchini Daniel kijo amesema kuwa boom la chuo likitumika vizuri linaweza leta mafanikio makubwa sana tena sana kwa wanafunzi tofauti na watu wanavyo fikiri!
Amesema yeye alipokuwa chuo alikuwa anatumia hela ya boom kula bata na kununua TV lakini kuna rafiki yake wakaribu ambaye yeye alikuwa ana jibana sana baada ya muda alikwenda kuwaonesha Apartments alizojenga kwa hela ya boom!
Angalizo!
Je wanachuo kwanini mlishindwa kujenga aprtments kama rafiki yake Daniel Kijo?
Ni kweli hela ya boom inaweza jenga apartments hata kijinini kabisa?
Duuuu kudadadeki..... khaaaaaaa bonge la kamba.View attachment 2180867
Mtangazaji maarufu hapa nchini Daniel kijo amesema kuwa boom la chuo likitumika vizuri linaweza leta mafanikio makubwa sana tena sana kwa wanafunzi tofauti na watu wanavyo fikiri!
Amesema yeye alipokuwa chuo alikuwa anatumia hela ya boom kula bata na kununua TV lakini kuna rafiki yake wakaribu ambaye yeye alikuwa ana jibana sana baada ya muda alikwenda kuwaonesha Apartments alizojenga kwa hela ya boom!
Angalizo!
Je wanachuo kwanini mlishindwa kujenga aprtments kama rafiki yake Daniel Kijo?
Ni kweli hela ya boom inaweza jenga apartments hata kijinini kabisa?
Mimi nimesoma chuo kipindi hakuna simu wala computer, jamaa kapinga fix huyo hata kama amesoma sasa wakilipwa 7500 per day labda awe na shughuli nyingine.kwani tofali moja Tsh ngapi ? Boom inajenga kabisa,nimesoma pia chuo wadada na wana wanatumia mi simu ya bei na kununua ma vitu ya ajabu ajabu tu kwa boom
so inawezekana kabisa kwa baadhi ya watu kujenga kwa pesa ya boom hasa wale wanaotoka familia za kipato cha kati.unakuta hategemei hilo boom kuishi
Tena familia zengine za kimaskini ni mpaka ugomvi, watu wanaitolea macho pesa ya boom kisa wamesikia kuwa ela ni nyingi mpaka unajengea kabisa.Ndo hawa wanafanya baadhi ya wazazi kuanza kuwatupa wanao wa chuo kisa wana mikopo na boom.
View attachment 2180867
Mtangazaji maarufu hapa nchini Daniel kijo amesema kuwa boom la chuo likitumika vizuri linaweza leta mafanikio makubwa sana tena sana kwa wanafunzi tofauti na watu wanavyo fikiri!
Amesema yeye alipokuwa chuo alikuwa anatumia hela ya boom kula bata na kununua TV lakini kuna rafiki yake wakaribu ambaye yeye alikuwa ana jibana sana baada ya muda alikwenda kuwaonesha Apartments alizojenga kwa hela ya boom!
Angalizo!
Je wanachuo kwanini mlishindwa kujenga aprtments kama rafiki yake Daniel Kijo?
Ni kweli hela ya boom inaweza jenga apartments hata kijinini kabisa?
Wanajua ushaajiriwaTena familia zengine za kimaskini ni mpaka ugomvi, watu wanaitolea macho pesa ya boom kisa wamesikia kuwa ela ni nyingi mpaka unajengea kabisa.
Ni hatari kwa kweli.
Halafu Uwaga nachukia Mtu ananiambia inspiration za Uongo.Wakati nasoma boom lilikuwa 5000 kwa siku.
Hata wangekuwa wnahesabu kuwa tunasoma siku zote kwa mwaka wanatupa pesa ya siku 363 kwa miaka 3 nliokaa chuo ni 5,475,000. Labda awe alizifanyia biashara zikazaana ila kwa hiyo pesa hawezi jenga apartment.
Tuambiane ukweli jamani tuache kuwa ma inspiration speaker wanaotia chumvi