Daniel Kijo: Nilikuwa nina rafiki yangu chuo alijenga Apartments kwa Boom la chuo!

Daniel Kijo: Nilikuwa nina rafiki yangu chuo alijenga Apartments kwa Boom la chuo!

Make hapo kwanza ncheke[emoji1787][emoji1787]

Boom hili hili au kuna lingine?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kupata vichekesho kama hivi tunapiga ngapi vile?[emoji1787][emoji1787]
Alikuwa anahojiwa na mtu Ambae Shule Hakwenda.
 
Ukajenga apartment?

Labda kama unaongelea mbavu za mbwa lakini sio apartmemt ambayo inaisha na unamkaribisha mtu kabisa.


Nakwambia mimi miaka yote mitatu tungekuwa tunalipwa kwa siku zote 363 kwa mwaka kwa miaka miatatu ni 5,475,000. H
Sure..tena biashara yenyewe iwe haramu ndio unaingiza pesa chapchap
 
Danielo Miaka Ile anasoma UDSM boom lilikuwa 2500 hebu atueleze huyo rafiki yake alijengaje apartments?

Vijana wawe wakweli kama alikuwa anaboostiwa na wazazi au anabishara haramu aeleze waache kudanganya
Alisoma Miaka ipi Hyo?
 
Bongo hata kijumba cha chini chumba sebule wanaita apartment...
 
Yuko sahihi sana japo mnamshambulia na kumkejeli maana hela ile ya boom kwa matumizi ni ndogo sana ila ukijibana ukaitunza nusu kwa semister 2(2×2) halafu ukawekeza pazuri na kujumlisha hela TP 600,000/=kwa tuliosoma Bead ni hela kubwa na kwa wale tuliotoka familia maskini na tuliokuwa tunauchukia umaskini ilituokoa.
Mimi nilipewa mkopo 78% kati ya ada 1,000,000/= nilikuwa nalipa 220,000/= na kwa muda ule {2013-2015} tulikuwa tunapata 450,000×2 kwa semister na ukiongeza semister ya pili 450,000×2 ina maana kwa mwaka wa masomo ni 1,800,000/= hapo tunapewa stationary 200,000/= na TP 600,000/=ambapo tulikuwa tunatafuta shule zinazotoa accomodations
Kwa mwaka mmoja wa masomo nilikuwa nanunua ng`ombe 6 wenye thamani ya 150,000/= kila mmoja na mpaka naingia 2015-2016 ambapo boom lilipanda na kufikia 520,000x4 kwa mwaka wa masomo (2,080,000) tayari nilikuwa na ng'ombe 12 na mwaka wa mwisho nilipamba kutunza hela keshi ambapo nilipata 1,100,000/= ambayo nilipanga nianzie mtaji punde nitakapoingia mtaani
na nipiweza kufanikisha hilo
NILIWEZAJE KUFANYA HIVYO NIKIWA CHUO?
Kwenye miaka yangu yote mitatu niliyokaa chuoni (Udsm) niliishi mabibo hostel ambapo tulikuwa tunashea chumba na wenzangu ambapo gharama ni nafuu lakini pia nilikuwa napiga shuttle pori daily labda itokee dharura ya mvua na kuhusu chakula bajeti yangu ilikuwa ina range 1,800-2,000 ambapo bajeti ya chai niliitoa kabisa maana kwetu sikuwahi kuiona na nilizoea kula mchana tu,hivyo mchana nilikuwa nakula RB mwanzo ilikuwa 600 baadaye ikapanda ikawa 800 na jioni nilikuwa nakula ugali mboga mboga au dagaa ilikuwa 1,000 mtaani (mama kifusi waliokaa mabibo hostel wanamjua).Kwa mfumo kiukweli niliweza kuishi japo ni maisha ya shida chuoni ila huwa nakaa najipiga kifua na kujisemea isingelikuwa CHUO nisingelikuwa naishi maisha haya ya leo.
NILIFANYA NINI BAADA YA CHUO?
Niliingia mtaani bahati nzuri nikaajiriwa kampuni binafsi sep 2016 nikafanya kwa muda wa miezi 6 nikapata uzoefu na nikaona ile kazi naweza kuifanya mwenyewe japo kwa mtaji niliokuwa nao, nilikuwa nilikuwa nalipwa 300,000/= kwa miezi hio linikusanya 700,000/= nikauza wale ng'ombe wangu 10 ambapo nilipata 4,800,000 na nikajumlisha ile akiba ya mwaka wa mwisho japo nilikuwa nimeitumia imebaki 800,000/= ukawa mtaji wangu nikaanza rasmi biashara yangu mwenyewe May 2017.
Kiukweli kwa sasa najiendesha vizuri na sijawahi kupata wazo la kuomba ajira serikalini na kile nachopata kimenipa heshima katika jamii na hata nyumbani kwetu nilishabadilisha maisha ya wazazi kutoka nyumba za nyasi kwenda nyumb za kisasa na siku zote naamini maono ya mtu ndo humfanya aone kidogo kwako ni kikubwa kwake na akakifanya hata kikawa kikubwa machoni pako.
TUSIDHARAU BOOM ILA TUJITHATHMINI MATUMIZI YETU TUWAPO CHUONI
 
Ndio motivation speakers wenyew hao
Biashara zote zina faida sana Ukisimuliwa [emoji851]
.
Motivational speaker anaeza kukuambia Kaanza banda la kuku na unyoya tu
.
Sio wa kuamini hawa Watu wanaojifanya Wako smart Kuliko wengine
 
View attachment 2180867

Mtangazaji maarufu hapa nchini Daniel kijo amesema kuwa boom la chuo likitumika vizuri linaweza leta mafanikio makubwa sana tena sana kwa wanafunzi tofauti na watu wanavyo fikiri!

Amesema yeye alipokuwa chuo alikuwa anatumia hela ya boom kula bata na kununua TV lakini kuna rafiki yake wakaribu ambaye yeye alikuwa ana jibana sana baada ya muda alikwenda kuwaonesha Apartments alizojenga kwa hela ya boom!

Angalizo!

Je wanachuo kwanini mlishindwa kujenga aprtments kama rafiki yake Daniel Kijo?

Ni kweli hela ya boom inaweza jenga apartments hata kijinini kabisa?
 
View attachment 2180867

Mtangazaji maarufu hapa nchini Daniel kijo amesema kuwa boom la chuo likitumika vizuri linaweza leta mafanikio makubwa sana tena sana kwa wanafunzi tofauti na watu wanavyo fikiri!

Amesema yeye alipokuwa chuo alikuwa anatumia hela ya boom kula bata na kununua TV lakini kuna rafiki yake wakaribu ambaye yeye alikuwa ana jibana sana baada ya muda alikwenda kuwaonesha Apartments alizojenga kwa hela ya boom!

Angalizo!

Je wanachuo kwanini mlishindwa kujenga aprtments kama rafiki yake Daniel Kijo?

Ni kweli hela ya boom inaweza jenga apartments hata kijinini ka
View attachment 2180867

Mtangazaji maarufu hapa nchini Daniel kijo amesema kuwa boom la chuo likitumika vizuri linaweza leta mafanikio makubwa sana tena sana kwa wanafunzi tofauti na watu wanavyo fikiri!

Amesema yeye alipokuwa chuo alikuwa anatumia hela ya boom kula bata na kununua TV lakini kuna rafiki yake wakaribu ambaye yeye alikuwa ana jibana sana baada ya muda alikwenda kuwaonesha Apartments alizojenga kwa hela ya boom!

Angalizo!

Je wanachuo kwanini mlishindwa kujenga aprtments kama rafiki yake Daniel Kijo?

Ni kweli hela ya boom inaweza jenga apartments hata kijinini kabisa?
Inategemea mkoa uliopo mikoa kama mbeya njombe iringa inawezekana lakini sio kwa dar dom arusha ni changamoto sana
 
View attachment 2180867

Mtangazaji maarufu hapa nchini Daniel kijo amesema kuwa boom la chuo likitumika vizuri linaweza leta mafanikio makubwa sana tena sana kwa wanafunzi tofauti na watu wanavyo fikiri!

Amesema yeye alipokuwa chuo alikuwa anatumia hela ya boom kula bata na kununua TV lakini kuna rafiki yake wakaribu ambaye yeye alikuwa ana jibana sana baada ya muda alikwenda kuwaonesha Apartments alizojenga kwa hela ya boom!

Angalizo!

Je wanachuo kwanini mlishindwa kujenga aprtments kama rafiki yake Daniel Kijo?

Ni kweli hela ya boom inaweza jenga apartments hata kijinini kabisa?
Inategemea unasoma mkoa gani mfano mbeya,iringa,njombe ni rahisi ukijibana,lakini sio kwa mikoa ya arusha dar dom ni changamoto sana
 
Tena familia zengine za kimaskini ni mpaka ugomvi, watu wanaitolea macho pesa ya boom kisa wamesikia kuwa ela ni nyingi mpaka unajengea kabisa.

Ni hatari kwa kweli.
Kuna case ya hivi ilitokea huko kwetu, hadi kijana alitaka kujiua.
Hawa watu wanakera sana. Msieeeew zao.
 
Back
Top Bottom