Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
.
Hawa ndio akina Shigongo from Drs la 7 mpaka Degree ya Mascom
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahahahha
Wee mpuuzi nitoleee ujinga wako hapa, kwetu kuna kila mifugo, hiyo 2015 ndama wa ng'ombe ni kuanzia 300k, huyo wako ni wa kuchorwa kwa Masoud Kipanya au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wengi wetu tunafikiria vile tunajua,ulizia kwa Bunda 2013-15 hiyo 150,000/= ilikuwa unanunua ng'ombe au beberu? Jamani wote hatuwezi kutumia akili zetu kwa namna moja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mchoro masudi Ila assembling ni China+SA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wee mpuuzi nitoleee ujinga wako hapa, kwetu kuna kila mifugo, hiyo 2015 ndama wa ng'ombe ni kuanzia 300k, huyo wako ni wa kuchorwa kwa Masoud Kipanya au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Itakuwa mifugo aina ya fisi,kama huna uelewa wa kitu usishupaze shingo.tafuta ushahidi ndo ubisheWee mpuuzi nitoleee ujinga wako hapa, kwetu kuna kila mifugo, hiyo 2015 ndama wa ng'ombe ni kuanzia 300k, huyo wako ni wa kuchorwa kwa Masoud Kipanya au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hopo utasema boom limejenga Ndugu wakati hulitumii Kwa madhumuni lengwa. Litumie libakie hlafu ijidai Nalo. Ila Kwa upande mwingne Kama una asilimia mia ya ada boom linaweza kukusaidia kufanya kitu Fulani Cha maendeleokwani tofali moja Tsh ngapi ?
Boom inajenga kabisa,nimesoma pia chuo wadada na wana wanatumia mi simu ya bei na kununua ma vitu ya ajabu ajabu tu kwa boom
so inawezekana kabisa kwa baadhi ya watu kujenga kwa pesa ya boom hasa wale wanaotoka familia za kipato cha kati.unakuta hategemei hilo boom kuishi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mchoro masudi Ila assembling ni China+SA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo sasa sawaaahAu mimi sikumsikiliza vizuri. Maana nilisikia kama huyo rafiki ake alitumia hela ya boom kununua ardhi Njiro. Ardhi ambayo baadaye ndiyo alikuja kujenga hizo apartments hapo. Wakati wao wapo busy na bata; rafiki yao alikuwa anajibana sana, kumbe alikuwa anafanya mambo ya msingi kimyakimya.
Huna hoja toa ujinga wako hapa, unadhan ndo tutakusifia huku unadanganya kweupee, kwenda huko. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Itakuwa mifugo aina ya fisi,kama huna uelewa wa kitu usishupaze shingo.tafuta ushahidi ndo ubishe
[emoji28][emoji28] asa sijui baada ya kufa iyo pesa wataipata vipi. Sijui wanahs Huli uko chuo?Kuna case ya hivi ilitokea huko kwetu, hadi kijana alitaka kujiua.
Hawa watu wanakera sana. Msieeeew zao.
Au mimi sikumsikiliza vizuri. Maana nilisikia kama huyo rafiki ake alitumia hela ya boom kununua ardhi Njiro. Ardhi ambayo baadaye ndiyo alikuja kujenga hizo apartments hapo. Wakati wao wapo busy na bata; rafiki yao alikuwa anajibana sana, kumbe alikuwa anafanya mambo ya msingi kimyakimya.