Daniel Kijo: Nilikuwa nina rafiki yangu chuo alijenga Apartments kwa Boom la chuo!

Mbona umetoka nje ya mada mkuu! Af kingine sio kila mtu anaweza kujibana hasa kwenye chakula!
 
Kiwanja njiro Tsh ngapi?
Sijajua kwa wakati wanasoma ilikuwa Tsh ngapi exactly na kama hilo boom ndiyo alili-invest ndiyo likampa hela ya kiwanja au vipi, though kwa Njiro bei za plots zinajulikana zimesimama. Nilichokishika tu kwenye maelezo yake ni kwamba wakati wao wapo busy kuspend mwenzao alikuwa busy kuinvest. Japo inawezekana kuna vitu ali-exaggerate au kwa sababu hakutoa mchanganuo wa jinsi hilo boom lilivyotumika hadi kununua kiwanja na mengineyo baadaye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye kasema jamaa kajenga apartment wakt ni uwongo,hilo boom linatosha kununua kiwanja kisarawe au chanika huko ndanindani sio kujenga apartments...jamaa ni mrongo halafu anaona ujiko kudanganya
 
Njiro kiwanja cha 2m au 3m hakunaga,njiro imepimwa yote kiwanja huko miaka ya 2000 vilikua kuanzia 15m mpka 40...kuanzia 2010 bei ilipanda kiwanja kidogo 40m...aache urongo labda njiro aliyosema yeye sio hiyo
 
Ok!tuseme uliyoyasema ni ukweli,kwa hyo kwa pesa hyo uliyobak nayo unaweza au ungeweza jenga apartment?
 
[emoji16][emoji16] umeomba ukazie sio..
 
Huyo ni Muongo tu,Kwanza kipindi hicho boom 2500 TSH.kwa siku na wakitoa ya siku 60 x 60.Unajengaje hapo.Kuna jamaa yetu yeye alikuwa tayari ana nyumba ya vyumba viwili na Banda la chekechea,aliishi kwa taabu sana mpaka runamaliza chuo hali yake ilikuwa bado vile vile.Huyo rafiki yake jamaa yetu alikuwa na kipato kingine am alikuwa anapewa pesa kwao na siyo kutegemea boom.
 
basi mwemyewe anajiona ni bonge la motivational speaker.
 
nilikuwa mwalimu nalipwa laki 2 .nikajibana miaka mitatu sasa na scania 7.

haya mambo kuna mengine yasikia ukitaka kuchunguza ndio utaelewa kuwa humu duniani sio kila mtu anatembelea miguu,wengine wanaruka sarakasi
 
Huwezi kujenga apartment kwa hela ya boom hata siku mbili, Mimi binafsi ile hela niliiona ilikua haitoshi, 5000/- kwa siku
 
Tungepata mchanganuo walau ni appartment za aina gani, ngapi? Hakukuwa na booster ya external income….

Inspareshono speaker mtaatuua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Umegusia wadada wa chuo wengi wan external booster ya funds , masponsor, wazazi, ma bae booo ….
 
Hakuwa mwanafunzi tu huyo , alikua katokea kazini .
 
Kadanganye watoto wenzio!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…