milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Unauhakika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unauhakika?
Hili ni swali au jibu?Unauhakika?
Mtaje, ni Zitto au?Kaeni chonjo wanasiasa wa upinzani. Hili la kumteka Nondo ni matayarisho ya kuondoka na kigogo wa upinzani.
MTANISHUKURU
Duh, aisee kazi kweli kweli.Kijana hana influence yoyote mpk wamteke,hizi ni drama ili kuhalalisha uovu wao,na pia inawezekana lengo ni kumrudisha zito kwenye midomo ya watu coz mpk sasa kashasahaulika.
Unaandikiwa barua ya kujiuzulu tu.Kuna siku utasikia spika ametekw..
PROPAGANDAHuwezi kumtisha kwa mawe adui ALIYE SHIKA BUNDUKI.
QUOTED FROM FID Q
Sasa miongoni mwa wale wanashirikiana na UV kuteka, kutesa na kudhulumu uhai!Bila wale hafanyi ziara za mikoani
Na simu ya mtekajiKatika purukushani hiyo wahusika walidondosha pingu na sasa hatma yake haijulikani mpaka wakati huu🥺🥺🥺
Huyo mwenye akili hawezi kuteuliwa!Duh CCM wanatakaje? Siku akipatikana IGP mwenye akili ndio itakua mwisho wa CCM
Chips mayai na urojoDar dar watu dhaifu tupu...
Naona mmeteka Nondo bhana.Pepo la visingizio limekuzonga gentleman. vyombo vya usalama vinashughulikia ushirikina na songombingo hiyo ya vyama vya siasa 🐒
Mbowe uyu alie papaswa kwenye kesi ya ugaidi au kuna mwingine ? Wame baki kulia lia yule kijana wao ana mwezi wa 2 huu kama sio wa 3 haonekani wamebaki kupost twitterSiku watamgusa mbowe! Itakuwa ndio mwisho wa ccm