Pre GE2025 Dar: Abdul Nondo atekwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Pre GE2025 Dar: Abdul Nondo atekwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kaeni chonjo wanasiasa wa upinzani. Hili la kumteka Nondo ni matayarisho ya kuondoka na kigogo wa upinzani.

MTANISHUKURU
 
Kama kicha kinavyojieleza, kuwa hakuna upinzani ambao upo salama sasa sindano ianze kuwaingia
 
1.Askari police na wengine waliona kuwa tukimkamata nondo mkoani KIGOMA wananchi washazoea kuua fisi na VINGINE
2. Mkoani GEITA wakajua hatutatoboa washazoea kukata kata mapanga washenzi washenzi wote
3. Shinyanga usiseme
4.Tabora, singida, Dom Moro wakaona sehemu ya waliostarabika watu washazoea kuua kuku na panya tutaweza Da... Inauma INGEKUWA MWANZA HII TUNGECHOMA MOTO CHUKUA CHUPA YA SODA WEKA KITAMBAA NA PETROL LUSHIA CHAP AU SIPAT PICHA KWA WANANGU WA MBEYA.... Dar dar watu dhaifu tupu...
 
Pepo la visingizio limekuzonga gentleman. vyombo vya usalama vinashughulikia ushirikina na songombingo hiyo ya vyama vya siasa 🐒
Naona mmeteka Nondo bhana.
Anagalia Sana Zitto sio wa mchezo mtaungua.
 
Siku watamgusa mbowe! Itakuwa ndio mwisho wa ccm
Mbowe uyu alie papaswa kwenye kesi ya ugaidi au kuna mwingine ? Wame baki kulia lia yule kijana wao ana mwezi wa 2 huu kama sio wa 3 haonekani wamebaki kupost twitter
 
Back
Top Bottom