pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Tutaamini vipi kama wote hao wanaenda daslam, pengine wengine wanaenda mikoani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni majizi sana hata hela za uendeshaji tu hawana wanakomba zoteWatanzania tushashindwa kujiendesha hasa hizi ofisi zilizo chini ya serikali maana stupidity wanajua afanye chochote mwisho wa mwezi mshahara unaingia,hamna biashara rahisi kama ya usafiri ila na bado wanashindwa!
Una mawazo mafupi sanaNdo ushindwe kujinunulia hata piki piki yakuchaji ya million na laki mbili!!!?
Na bila taarifa yoyoteHali ya usafiri wa katika Kituo cha Daladala cha Mbezi Mwisho ilivyo asubuhi ya leo Septemba 25, 2023, Mdau anasema hakuna gari za Mwendokasi, foleni ya abiria imefika zaidi ya watu 9,600
Hazifai ruti ndefu na kuna baadhi kama kashindwa baiskeli pikipiki ataweza?Ndo ushindwe kujinunulia hata piki piki yakuchaji ya million na laki mbili!!!?
Kwakuwa katololi kako umekanunua japan basi unahisi kila mtu kule ana gari?Barabara zitaongezwa tu,mbona japan kila mtu ana gari
Mbezi ni 1250 sio750 hiyo ni kuanziakimara..Hapo kabla ya kupanda gari unawapa maokoto yao kwanza then unaenda kuungana na abiria wenzio kusubiri gari.
9600 x 750 = 7,200,000 /= tsh
Hameni DarHali ya usafiri wa katika Kituo cha Daladala cha Mbezi Mwisho ilivyo asubuhi ya leo Septemba 25, 2023, Mdau anasema hakuna gari za Mwendokasi, foleni ya abiria imefika zaidi ya watu 9,600
Hujawahi kufika daslam ungenyamaza tu njombaTutaamini vipi kama wote hao wanaenda daslam, pengine wengine wanaenda mikoani
Ni kama serikali inatengeneza demand kwa sisi wananchi ili tupaze sauti hilo shirika libinafsishwe.Hali ya usafiri wa katika Kituo cha Daladala cha Mbezi Mwisho ilivyo asubuhi ya leo Septemba 25, 2023, Mdau anasema hakuna gari za Mwendokasi, foleni ya abiria imefika zaidi ya watu 9,600
Kama mwendokasi zingekua zinafanya kazi kwa inavyotakiwa hata hao wenye magari wangepaki na kutumia mwendokasi,ila kwa sasa mwendokasi inaendeshwa kihuniKila mtu awe na gari lake huko barabarani itakuaje?
Aisee kweli hawa jamaa mishipa ya aibu ilishakatikaMbezi ni 1250 sio750 hiyo ni kuanziakimara..
Hii unafika mjini kweli ukitokea mbezi? Naziona nyingi zipo city centreNdo ushindwe kujinunulia hata piki piki yakuchaji ya million na laki mbili!!!?