Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Kuna siku nilipanda daladala asubuhi hapo Mbezi kwenda Kariakoo! Aisee nilijuta kuzaliwa. Maana nilitumia karibia masaa 3-4 kufika Kariakoo. Ile route ilikuwa ni ndefu mpaka basi.
Halafu cha kushangaza kila kituo abiria waliokuwa wanapanda walikuwa ni wengi kuliko wale waliokuwa wanashuka!!! Hivi watu wa Dar mnawezaje kuvumilia hayo mateso aisee
Halafu cha kushangaza kila kituo abiria waliokuwa wanapanda walikuwa ni wengi kuliko wale waliokuwa wanashuka!!! Hivi watu wa Dar mnawezaje kuvumilia hayo mateso aisee