Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
hahahahahahaa wote tutaenda kupumzika tu ujue shemHamna lolote nyie. We subiri uone wenzio watakavyomponda hapa lakini siku ya tukio walimpa kongole.
Sasa yeye aliyebaki duniani na mke wake marehemu nani kapumzika kwa amani?
Ni kweli. Lkn huoni kwamba huyu mwenzenu atafika amechoka sana? Hatakuwa sawa kisaikolojia...hahahahahahaa wote tutaenda kupumzika tu ujue shem
Ha haa we jisahaulishe tuLini hiyo mimi sikuwepo
Huu ushauri wako mzuri sana sana, hapo umesema vyema.Ni kweli. Lkn huoni kwamba huyu mwenzenu atafika amechoka sana? Hatakuwa sawa kisaikolojia...
Alipaswa ampe talaka mkewe avute pisi nyingine kali, sasa hivi angekuwa anafurahia maisha.
Tena hata akikuribisha kinywaji usiede apite kulia wewe kushoto.X harudiwi
Hamna lolote nyie. We subiri uone wenzio watakavyomponda hapa lakini siku ya tukio walimpa kongole.
Sasa yeye aliyebaki duniani na mke wake marehemu nani kapumzika kwa amani?
Kwani hakuna wanaume wanaokwaza wanawake? Humlaumu lakini hapo alipo anateseka, hayupo sawaBinafsi simlaumu hata kidogo, pombe inasaidia sana kupuuzia vitu vidogo vidogo kwa wenzetu ila kiukweli wanakwaza
Kwani hakuna wanaume wanaokwaza wanawake? Humlaumu lakini hapo alipo anateseka, hayupo sawa
Ndo umuue mkeo???Si umuachee TU.mbona mtaenda wengi msipojiangaliaHaya mambo kama mwanaume hupaswi kumcheka mwanaume mwenzio... hawa viumbe wanakwaza sana kama huna moyo wa kusamhehe na kumove on aisee unafanya mambp magumu. Katumikie adhabu kamanda huwezi jua nani kesho atakufataa.
Ni kweli mkuu wengi tutakwenda kama Tusipotumia akili na hekima kuishi na hawa viumbee...!!Ndo umuue mkeo???Si umuachee TU.mbona mtaenda wengi msipojiangalia
ππππLini hiyo mimi sikuwepo
Hiyo surname ya jamaa ina-sound kama ya Kiafrika Magharibi,jamaa ni wale Wanigeria wahamiaji haramu inawezekana!