Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
ameshanyongwa tayar? Kuna ID yake humuR.I.P bwana Idofulo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ameshanyongwa tayar? Kuna ID yake humuR.I.P bwana Idofulo
Wakili arudishe pesa,kashindwa kazi yake! Nilimsikia ndg wa Mume akisema!!View attachment 2763050
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salalam, iliyoketi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu, All Balanda Idofulo, kunyongwa hadi kufa, baada kupatikana na hatia ya kumuua mkewe, aitwaye Selan Kondo kwa kumchoma kisu begani.
Hukumu hiyo imetolewa leo Jumanne Septemba 26, 2023 na Hakimu Mkazi Mkuu, Franco Kiswaga, aliyepewa mamlaka ya nyongeza kusikiliza kesi hiyo ya mauaji.
"Kwa namna yoyote ile, nimejiridhisha kuwa mshtakiwa ulimuua Kondo kwa kumchoma kisu begeni baada ya kupitia ushahidi wa mashahidi wanane akiwemo mtoto wa marehemu mwenye umri wa miaka minane, ambaye aliieleza mahakama kuwa alishuhudia ukimchoma kisu mama yake begani baada ya kutokea msuguano baina yako na marehemu," amesema hakimu Kiswaga na kuongeza
"Kwenye kosa hili la mauaji ya kuua kwa kukusudia, hakuna nafuu iliyotolewa na sheria zaidi ya adhabu ya kunyongwa, hivyo mahakama hii inakuhukumu kifungo cha kunyongwa hadi kufa ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye tabia kama hii na haki ya kukata rufaa ipo wazi iwapo hujaridhika na adhabu hii," amesema Hakimu Kiswaga.
Idofulo anadaiwa kumuua Selan Kondo, Mei 6, 2019 eneo la Tabata Liwiti, Wilaya ya Ilala.
Inadaiwa siku hiyo ya tukio, mshtakiwa alimuita Kondo waonane ili wajadiliane namna ya kurudiana baada ya kutengana kwa muda.
MWANANCHI
🤣🤣 Pole unclendio nini sasa unaniita kuja kushuhudia mwanaume mwenzangu akinyongwa... Hapa napunguza stress au ndio unanimalizia nife kabisa... Sawa tuuu uncle...
tafta nyingne basi uncle... Leo sina kazi uncle niburudike tuuu...Pole uncle
Sawatafta nyingne basi uncle... Leo sina kazi uncle niburudike tuuu...
ameshanyongwa tayar? Kuna ID yake humu
ila hukumu ya kunyongwa sio nzuri kwa kwel... Angefungwa kifungo cha maisha tuBado kunyongwa, kahukumiwa...
"Shem mie nitoe kwa list jamani" mtoto wakiume wewe, unarembuaShem mie nitoe kwa list jamani, au umesahau ninavyolinda?
Mwanaume anang'ang'ania mwanamke ni bwege... wanawake wako wengi, ukishindwana na mmoja; move to the next one.Nyie si huwa mnasifia mume akiua mke? Leo mnaonea huruma watoto.
Shem vipi tena?
Kwani kaua makusudi?Nyie si huwa mnasifia mume akiua mke? Leo mnaonea huruma watoto.
Shem vipi tena?
kuna aliyeua kwa bahati mbaya akahukumiwa kunyongwa hadi kufa?Kwani kaua makusudi?
Ni maboyaMwanaume anang'ang'ania mwanamke ni bwege... wanawake wako wengi, ukishindwana na mmoja; move to the next one.
Mungu atupe hekima na subira ya kudhibiti hasira zetu dhidi ya wenza wetu.View attachment 2763050
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salalam, iliyoketi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu, All Balanda Idofulo, kunyongwa hadi kufa, baada kupatikana na hatia ya kumuua mkewe, aitwaye Selan Kondo kwa kumchoma kisu begani.
Hukumu hiyo imetolewa leo Jumanne Septemba 26, 2023 na Hakimu Mkazi Mkuu, Franco Kiswaga, aliyepewa mamlaka ya nyongeza kusikiliza kesi hiyo ya mauaji.
"Kwa namna yoyote ile, nimejiridhisha kuwa mshtakiwa ulimuua Kondo kwa kumchoma kisu begeni baada ya kupitia ushahidi wa mashahidi wanane akiwemo mtoto wa marehemu mwenye umri wa miaka minane, ambaye aliieleza mahakama kuwa alishuhudia ukimchoma kisu mama yake begani baada ya kutokea msuguano baina yako na marehemu," amesema hakimu Kiswaga na kuongeza
"Kwenye kosa hili la mauaji ya kuua kwa kukusudia, hakuna nafuu iliyotolewa na sheria zaidi ya adhabu ya kunyongwa, hivyo mahakama hii inakuhukumu kifungo cha kunyongwa hadi kufa ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye tabia kama hii na haki ya kukata rufaa ipo wazi iwapo hujaridhika na adhabu hii," amesema Hakimu Kiswaga.
Idofulo anadaiwa kumuua Selan Kondo, Mei 6, 2019 eneo la Tabata Liwiti, Wilaya ya Ilala.
Inadaiwa siku hiyo ya tukio, mshtakiwa alimuita Kondo waonane ili wajadiliane namna ya kurudiana baada ya kutengana kwa muda.
MWANANCHI
Huenda Mimi ni Baba Yako ujue, haya!"Shem mie nitoe kwa list jamani" mtoto wakiume wewe, unarembua
Ndo muandiko huo?Huenda Mimi ni Baba Yako ujue, haya!