Dar: Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kumuua mkewe

unapiga chini unaendelea na maisha, sio unajipa shida ya kwenda jela bure kabisa.

anyway tuchunge hasira zetu sana.
 
Wakili arudishe pesa,kashindwa kazi yake! Nilimsikia ndg wa Mume akisema!!
 
ndio nini sasa unaniita kuja kushuhudia mwanaume mwenzangu akinyongwa... Hapa napunguza stress au ndio unanimalizia nife kabisa... Sawa tuuu uncle...
🤣🤣 Pole uncle
 
Ingekuwa MARA Uzi ungetembea kwa matusi,kejeli na kila aina ya uchafu kwa watu wa mkoa wa mara. Sasa ngoma imekita uswahilini huko kwenye jiji kubwa mko kimya.
Wanaume tambueni kuwa Hawa wanawake ndio chanzo Cha magonjwa ya akili.
#wapuuzen
 
Nyie si huwa mnasifia mume akiua mke? Leo mnaonea huruma watoto.
Shem vipi tena?
Mwanaume anang'ang'ania mwanamke ni bwege... wanawake wako wengi, ukishindwana na mmoja; move to the next one.
 
Huyo Hakimu ni taahira? Watu wakikwaruzana kisha katika ugomvi mmoja akafa si inaitwa ‘Manslaughter’ (kuua bila kukusudia), sasa hiyo kukusudia inatoka wapi?

Hivi ukitaka kuua mtu unamchoma begani au kifuani? , na ukitaka kuua mtu unamuua mbele ya watoto wake au unamvizia akiwa peke yake?
 
Mungu atupe hekima na subira ya kudhibiti hasira zetu dhidi ya wenza wetu.


Najiuliza, wale waliouawa kwa mikono ya serikali kama vile Mawazo, Ben Saanane, Azory Gwanda na kadhalika, nani anapaswa kushtakiwa na hukumu yake ipoje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…