DAR: Akram Aziz akamatwa, afikishwa Mahakama ya Kisutu. Ana makosa 75!

Hii inanifanya nitafakari historia pale Wajerumani walivyokuwa wakishangilia madhila waliyokuwa wakikutana nayo Mayahudi(Jews) dhidi ya utawala wa Adolf Hitler. Exactly the same shit is happening in Tz.
 
Rubbish!
 
Kwahio unamtetea mtuhumiwa wa ujangili?

Si uachie mahakama iamue kama ni jangili au sio jangili?

Mtu ana makosa 75 wamtetea kweli, unayafahamu hayo makosa?


Mmmhh!!! Sitii neno huu uzi?
 
Huyu naye mshamba sana, hakusoma alama za nyakati kama kaka yake.
 
Utahitaji pia kumchukia Mkapa aliyeasisi skandali ya EPA. Kwa maneno mengine usibague kwa misingi ya kabila katika kuchukia ufisadi. Uchukie ufisadi lakini usichukie mtu kwa misingi ya kabila lake.
Umepatia mzee baba, Silipendi kabisa lile lizee.
 


Duuuuu!!
 
Mkuu achana nao, Nyumbu atabaki kuwa nyumbu,usihangaike sana kama unajua tabia za nyumbu!
 
Habari Mpasuko: Mtandao Ndugu wa Rostam, Zitto Wanaswa

Kuna habari huenda ikaripuka wakati wowote ya kukamatwa ndugu wa Rostam aitwae Ikram kwa kuhusika na ujangiri.

Huyu jamaa amekuwa akimiliki silaha na kuendeleza ujangiri nchini kwa manufaa ya wakubwa wengine walioko nyuma yake wa wenye maslahi flani.

Tetesi zinasema Mbunge Zitto Kabwe naye huenda yumo katika mtandao wa kunufaika na nyara hizo.

Taarifa kamili itawajia punde. Chini ni baadhi ya silaha na nyara hizo haramu.
 

Attachments

  • IMG-20181031-WA0018.jpg
    72.4 KB · Views: 35
  • IMG-20181031-WA0019.jpg
    70.4 KB · Views: 39
  • IMG-20181031-WA0026.jpg
    65.1 KB · Views: 38
Hahahaa!! Hivi thamani ya Vodacom Tanzania kwa sasa ni shilingi bilioni mia ngapi?! The question is: Mmiliki wa takribani 26% ya hayo mabilioni atakuwa tayari kumuona kaka yake anaozea jela kwa kesi ay tumilioni kadhaa?! Kaka ambae kwa namna moja au nyingine huwa anamtumia kwenye biashara zake kama ile ya kummilikisha tone la kampuni inayomiliki 26% ya Vocadom Tanzania!

Btw, yupo ndani au yupo nje kwa dhamana? Manake kwa hizo tuhuma anatakiwa kuwa ndani kwa sababu, mathalni kesi ya uhujumu uchumi nadhani haina dhamana!!!
 
Ni Tanzania pekee ambapo Mtu baada ya Kuikosoa Serikali anaaonekana anayo hatia, Sioni ajabu ata MAKONDA siku atakapoanza kumkosoa Baba yake atapelekwa kisutu na kupewa kesi ya vyeti Fake..
 
Jumatano siku ya kuzini, akili hua zinanirudia Alhamisi.
 
Ni Tanzania pekee ambapo Mtu baada ya Kuikosoa Serikali anaaonekana anayo hatia, Sioni ajabu ata MAKONDA siku atakapoanza kumkosoa Baba yake atapelekwa kisutu na kupewa kesi ya vyeti Fake..
kwa hiyo anayeikosoa Serikali hawezi kufanya uhalifu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…