Ndipo akili zako zilipoishia, kwani EPA walijilipa? Acheni upoyoyoyo baada ya kuichukia CCM unawachukia watanzania wenzako, kisa tu wana Asili ya Asia!!Naichukia hao Wahindi toka enzi za EPA na Richmond. Siwezi geuka kuwa mtetezi wao hata siku moja.
Wanamtisha ili wapate wanachokitaka, ila ukweli hakuna kitu chochote hapo.Dhulma gani amefanyiwa huyo tajiri?
Kwani huyo Jiwe na Bashite wanatajirika kwa hela gani?So kweli kabisa. Wengi wanaotaka tuamini wamefanikiwa hawasemi wametumia njia gani kupata hayo mafanikio.
Kufanikiwa kwa sababu ya kuwa jangili sio mafanikio....kuiba hela za wananchi kwa rushwa na ufisadi sio mafanikio.
Leo hii wengi waliotumia nafasi zao kwa dhuluma wanaona sifa tuwanyenyekee kama role model wa mafanikio.
Naamini katika haki. Kila mtu avune anachopanda. Ukweli peke yake ndio utatuweka huru
Mkuu kuna vibari vya kuwinda tembo?Watanzania tuamke!!! Mazingira haya yametengenezwa tu, kama taarifa ya mwanzo ilivyosema kua "askari wamemkamata akiwa na vibali sahihi, ila wakaamua kuondoka navyo vibali vyote original na kukataa kuacha copy ofisini kwake". Hapa kama kawaida, serekali inatuhamisha toka maswala fulani kutupeleka kwengine. Tumeshafanywa kama watoto wa chekechea sasa!!!
Watanzania lini tutapata akili jamani ya kuchanganua mambo na ukweli????? Tulishuhudia YUSUF MANJI alikamatwa na akafikishwa mahakamani kwa kukutwa na NYARA ZA SEREKALI, MIHURI YA JESHI, VITAMBAA VYA SARE ZA JESHI. Case iliishia wapi?????? Nani anaehoji mpaka sasa kuhusu hio tuhuma zake au case alizoshitakiwa nazo?????? Kama kweli angeachiwa huru????
Inasikitisha sana kuona mtu akitetea uonevu unaofanywa na askari kwa raia, na uongo tunaopewa raia na serekali yetu, kama huu na iliopita.
Na inasikitisha zaidi kuona wafanya biashara wakubwa wakionewa mpaka kufikia hatua wanafunga biashara zao na watanzania wenzetu kibao wanakosa ajira.
Toa mfano wa mfanyabiashara mkubwa alie fungasha!Watanzania tuamke!!! Mazingira haya yametengenezwa tu, kama taarifa ya mwanzo ilivyosema kua "askari wamemkamata akiwa na vibali sahihi, ila wakaamua kuondoka navyo vibali vyote original na kukataa kuacha copy ofisini kwake". Hapa kama kawaida, serekali inatuhamisha toka maswala fulani kutupeleka kwengine. Tumeshafanywa kama watoto wa chekechea sasa!!!
Watanzania lini tutapata akili jamani ya kuchanganua mambo na ukweli????? Tulishuhudia YUSUF MANJI alikamatwa na akafikishwa mahakamani kwa kukutwa na NYARA ZA SEREKALI, MIHURI YA JESHI, VITAMBAA VYA SARE ZA JESHI. Case iliishia wapi?????? Nani anaehoji mpaka sasa kuhusu hio tuhuma zake au case alizoshitakiwa nazo?????? Kama kweli angeachiwa huru????
Inasikitisha sana kuona mtu akitetea uonevu unaofanywa na askari kwa raia, na uongo tunaopewa raia na serekali yetu, kama huu na iliopita.
Na inasikitisha zaidi kuona wafanya biashara wakubwa wakionewa mpaka kufikia hatua wanafunga biashara zao na watanzania wenzetu kibao wanakosa ajira.
Wewe sio Kuwanda tembo, ni vibali vya kununua meno ya tembo. Acha kuchanganya mambo. Hayo meno serikali ikisha yakamata kutoka sehemu yoyote haramu, huyapiga mnada. Huyo Akram alinunua serikalini hayo meno 4, na hizo rifle ni siraha za kuwindia wanyama kwenye mapoli ya akiba jamani. Tufike sehemu tukiona utoto tunaujua na kuupuzia.Mkuu kuna vibari vya kuwinda tembo?
Ulitaka mtu akiwa na kosa aachwe tu? mbona mnapuyanga sana!Na ndio sababu ya uonevu unaofanywa, sababu ni chuki tuu!
Keshakuwa fisadi?? Hivi hukumu imeshatolewa??!!Hapa ndipo huwa nakuwa upande wa JPM wa kuwanyoosha mafisadi
Tanzania sheria inaruhusu kuwinda tembo, ila kwa watalii tu, yani kwa kibali cha uwindaji wa kitalii na malipo ni kwa Dollar$ tu. Na serekali imeweka bei maalum kisheria kwa uwindaji huo.Mkuu kuna vibari vya kuwinda tembo?
Ndio, vibali vipo vya kuwinda tembo inawezekana vimesitishwa sasa hivi ili wazaliane.Mkuu kuna vibari vya kuwinda tembo?
Mkuu kuna vibari vya kuwinda tembo?
Ndio, vibali vipo vya kuwinda tembo inawezekana vimesitishwa sasa hivi ili wazaliane.
Kibali cha kupiga tembo nakumbuka ilikuwa ni dola 10,000/= tu.
Vibali vya kupiga tembo vipo, kama visitishwa sasa hivi hilo ni jambo lingine ila nakuthibitishia nimefanyakazi kwenye hiyo industry, msidanganywe kafala namna hii.Wewe sio Kuwanda tembo, ni vibali vya kununua meno ya tembo. Acha kuchanganya mambo. Hayo meno serikali ikisha yakamata kutoka sehemu yoyote haramu, huyapiga mnada. Huyo Akram alinunua serikalini hayo meno 4, na hizo rifle ni siraha za kuwindia wanyama kwenye mapoli ya akiba jamani. Tufike sehemu tukiona utoto tunaujua na kuupuzia.